Kama Magufuli angekuwepo tusingechezewa hivi na Tigo

Kama Magufuli angekuwepo tusingechezewa hivi na Tigo

Una suggest tujiunge TTCL hivi unajua huo mtandao ama mhemko tu baba usiingize watu choo cha kike

Uko tatizo la internet linaweza kutatuliwa baada ya siku hata 3 hupati internet IT wao jmos& jpil wapo home mapumzikoni
 
Pia, TIGO wamehusika kufanya UTAPELI kwa baadhi ya wateja wao.

Wanawatumia hawa Freelances kufanya utapeli, na wanaofanya ni baadhi ya watu waliofanya kazi na kampuni ya Tigo wakijifanya kusajilia watu line mitaani.

Hili nina uhakika nalo.
 
Your just an idiot, ukinunua umeme kupitia tigo pesa usipopata token nani kakwambia ni shida ya Tigo?

Shida sio Tigo, mitandao ya simu imekaa kama midlemen tu kurahisisha huduma (mtu wa katikati) anayeku link wewe na Serikali ( Tanesco) anachukua pesa yako anaifikisha kwa Tanesco na ndio maana unapata message kutoka tigo inayoonesha fedha zimepelekwa mahala husika kutokupata Token ni issue nyingine ya sever ya serikali kushindwa kurudisha message so sio tatizo ka Tigo.

Ushawai kuskia mtu anatumiwa token baada ya kununua umeme ila still Token zinagoma kuingia then anaenda mtandao wa simu kuuliza mbona toen azikubali kwa akili ya kawaida mtu uwa anajua mtandao wa simu ndio unatoa token ila sivyo inabid aende au awasiliane na Tanesco
Ahsante kwa kukazia.. I just told the man the same thing..
 
Huu mtandao ni wa hovyo sana Leo upande wa tigo pesa inakataa kabisa ...Huduma kwa wateja napo simu inajikata automatic
 
Back
Top Bottom