Hoja yako ilikuwa ya msingi saana lakini kitendo Cha kupiga chapuo TTCL hapo umeenda chakanashauri kwakuwa Magufuli hayupo wa kuwashughulikia basi Watanzania tuungane kwa umoja wetu tujitoe soooote kwenye kampuni hii tuingie soooote TTCL
Wacha weeee mmeshindwa kuongoza mnataka tukomeshane??Another magu is coming,
Tutawakomesha tena
Tukiwaunga mkono watatoa huduma nzuri tu hawa,Hoja yako ilikuwa ya msingi saana lakini kitendo Cha kupiga chapuo TTCL hapo umeenda chaka
Hatujashindwa,Wacha weeee mmeshindwa kuongoza mnataka tukomeshane??
Nimefanya hivyo tangia jana hakuna kituUkiona hujaletewa Token ya LUKU,ingia kwenye menu ya Tigo Pesa kisha nenda no.6 halafu nenda TOKEN za LUKU,angalia kama Token zipo,mimi nilifanya hivyo nilikuta Token
Mmmmmgh subutuuuuuHatujashindwa,
Tunapigwa vita tu,
Ila tutakuja kivingine
Wahi yuko pale Chato utamkutaUmeme umekata ghafla, giza, joto unaamua kununua umeme kupitia tigo, 30,000/= cash, unasubiriiiii weeee hakuna token zinatumwa, unawapigia unasikilizishwa mzikiiii weeee nusu saa ndio wanapokea, unawaeleza shida yako kwa utulivu ili angalau waKusomee hizo token uendelee kufanya biashara ni usiku shughuli zimechangamka.
Unajibiwa majibu mepesi sana eti subiri masaa 24 utashughulikiwa, serious?
Hawa ni wezi kuliko wezi wenyewe.
Nashauri kwakuwa Magufuli hayupo wa kuwashughulikia basi Watanzania tuungane kwa umoja wetu tujitoe soooote kwenye kampuni hii tuingie soooote TTCL angalau tumuenzi Magufuli.
Kama kuna mteja angalau mmoja ambaye hajanyanyaswa na tigo nampa hongera sana.
Huduma zenu mbovu na hiyo hela labda musiirudishe tena lakini siku mukiirudisha tu na likadi lenu nalitia chooni.
Magufuli alikuwa na cheo gani hapo Tigo!?Umeme umekata ghafla, giza, joto unaamua kununua umeme kupitia tigo, 30,000/= cash, unasubiriiiii weeee hakuna token zinatumwa, unawapigia unasikilizishwa mzikiiii weeee nusu saa ndio wanapokea, unawaeleza shida yako kwa utulivu ili angalau waKusomee hizo token uendelee kufanya biashara ni usiku shughuli zimechangamka.
Unajibiwa majibu mepesi sana eti subiri masaa 24 utashughulikiwa, serious?
Hawa ni wezi kuliko wezi wenyewe.
Nashauri kwakuwa Magufuli hayupo wa kuwashughulikia basi Watanzania tuungane kwa umoja wetu tujitoe soooote kwenye kampuni hii tuingie soooote TTCL angalau tumuenzi Magufuli.
Kama kuna mteja angalau mmoja ambaye hajanyanyaswa na tigo nampa hongera sana.
Huduma zenu mbovu na hiyo hela labda musiirudishe tena lakini siku mukiirudisha tu na likadi lenu nalitia chooni.
Sawa na kweye gari tunaita mafuta ya kidebe,
Kile ni chuma, mwamba usiotingishika, wezi kama hawa tigo waliteseka sanaMagufuli alikuwa na cheo gani hapo Tigo!?
Wale ni wezi wezi kabisaSina hamu nao TIGO kadi Yao ninafanya yakupokelea tu simu nilisha achana nao 50k harafu wanajibu subir masaa 72.lakini ikafika miezi mi wili.
Ndio kashakufa sasa na anapokea marungu muda huu kwa ukatili wakeKile ni chuma, mwamba usiotingishika, wezi kama hawa tigo waliteseka sana
Na mifisadi yote ilipotea kabisa,
Magu alikuwa rais wa tanzani yote wakiwemo wezi Tigo,
Tutarudi kivingine wezi na mafisadi kaeni chonjo
Duh na marungu tena?Ndio kashakufa sasa na anapokea marungu muda huu kwa ukatili wake
Anapigwa marungu kwa kuhusika kwenye vifo vya akina Ben Saanane,Mawazo na wengineo kwenye viroba halafu muda huohuo alikuwa ananatuambia tumuombee,Watz hatukuwa na hiyana tukamuombea afe akafa kweli Mungu alisikiliza maombi yetuDuh na marungu tena?
Haki ya mungu safari hii tukija mutajuta
Kuzaliwa, we subiri tu
Hizo ni dhana tu na chuki zenu mafisadi,Anapigwa marungu kwa kuhusika kwenye vifo vya akina Ben Saanane,Mawazo na wengineo kwenye viroba halafu muda huohuo alikuwa ananatuambia tumuombee,Watz hatukuwa na hiyana tukamuombea afe akafa kweli Mungu alisikiliza maombi yetu