Kama Mama Malecela hafai, je Mbowe anafaa?

Kama Mama Malecela hafai, je Mbowe anafaa?

Tunaomba cv yako kada mpinzani wa maendeleo

UNAOMBA WEWE NA NANI ??mie nimekuwa mbowe anayegombea uongozi asioujua ?? nitakupa cv pale nitakapotaka kukutawala, but for the moment sina haja ya kukupa so siwezi kuitoa nitaibana, mwambie mbowe anayetaka kukutawala akupe cv yake !! kuwa makini na unayetaka akutawale kijana !!
 
Kuna wana JF waliosikiliza majadiliano kati ya Mzee Mwanakijiji na Mama Anna Kilango Malecela wakavutiwa kuangalia profile ya Mama Malecela kwenye tovuti ya Bunge. Kwa bahati mbaya kuna waliomdisqualify mbunge huyu aliyeonyesha ujasiri baada ya kusoma profile yake.


Mama Anne Kilango Malecela, Mbunge,

kwanza Mwalimu wa Sekondari ya Kisutu, huku akiwa mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Kionondoni, akawa Accountant ATC, akawa Senior Accountant Gulf Air, huku akiwa mmoja wa Directors wa Casino pale Sea View, akawa mbunge wa kuteuliwa na rais, baadaye akaw mbunge wa kuchaguliw na wananchi hadi sasa, pia ni mfanya biashara maarufu wa bidahaa mbali mbali toka USA na Europe, akimiliki maduka makubwa ya bidhaa hizo kati ya Dar, Dodoma, na Same, sasa hivi pia ni makamu mwenyekiti kamati ya bunge ya Miundo Mbinu, na pia mwenyekiti wa kamati ya maadili ya viongozi ya bunge,

Toka awe mbunge wa kuchaguliwa amekuwa kiongozi hodari wa kukataa ufisadi, ndiye aliyeongoza mapambano ya kumuondoa madarakani aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani Lowassa, baada ya hapo ndiye aliyepigana sana mpaka kuufuta mkatba wa kifisadi ulikouwepo bandarini kwa miaka kumi na ulikuwa uwepo kwa miaka 15 zaidi, akiwa kama mwenyekiti wa muda wa kamati ya Miundo Mbinu ya bunge kutokana na mwenyekiti wa kamati Ndugu Misanga, kutoweza kushiriki kikamilifu kwenye kamati hiyo kutokana na kuumwa sana ugonjwa wa kisukari, Mama mbunge pia kwa sasa yupo Chuo Kikuu Huria akimalizia Degree ya Uchumi.

Sasa mnyonge mnyongeni lakini haki apewe, ningeomba mtoa mada hii atuwekee qualifications za hao anaosema kuwa wameangalia CV ya huyu mbunge wetu wa taifa na kuona hafai, maana nina wasi wasi kuwa sio rahisi mwananchi mwenye CV ya wasi wasi kuweza kuielewa CV inayofaa au isiyofaa, au kuelewa kuwa ni kiongozi yupi anafaa na yupi hafai, halafu ikiwezekana atupe historia ya hao wanachi jinsi ambavyo wamewahi kulisaidia taifa letu na hizi hukumu, ambazo pia watuambie wamezi-base on CV za viongozi wapi hao wa taifa letu wanaofaaa!

Ninasema kuwa Mama Anne Kilango Malecela, anazo qualifications zote anazozihitaji kuwa na nafasi aliyonayo sasa, yaani mbunge wa kuchaguliwa na kuwawakilisha wananchi bungeni.
 
watu wabaya kweli, wanamdisqualify mama kilango? why people why ?
 
Its obviously way easier for you to demand answers to the kind of questions you've posed above (which appear to be loaded and skewed in disfavour of Mr. Mbowe's position). What you need to do instead is to convince us through rigorous and persuasive argumentation why (according to presumptions inherent in your questioning), Mr Mbowe's credentials appear to be lacking to justify his position as Party Chairman and potential candidate for office of President of Tanzania.


Can you show the forum what is skewed in, either my questioning or the Mbowe CV I posted? If not can you help MwK to answer the posed Qs because she seem to be of the lower level of education to the CV bearer?
 
Can you show the forum what is skewed in, either my questioning or the Mbowe CV I posted? If not can you help MwK to answer the posed Qs because she seem to be of the lower level of education to the CV bearer?

gat you questions answered

..... next!
 
watu wabaya kweli, wanamdisqualify mama kilango? why people why ?

Mama Kilango,

Is doing just fine, sasa hivi anamalizia mitihani ya nusu term, na anatuma salam sana hapa kwa ushirikiano aliopewa kuhusiana na ile interview na hasa kwa Mkulu Mwanakijiji, na anasema kuwa kuanzia sasa yupo open at anytime akitakiwa kuja hapa kutupa maelezo ya any ishu inayoendelea huko bungeni au taifa,

Yaliyojiri mpaka kuchelea kwa hizi attakcs tunayajua, kuna member mmoja kutoka hapa alijaribu majuzi kwenda kwake kujikomba akafukuzwa naye ni kwa sababu hakufuata protocol, mama alipotuarifu tutoe okay ya kukutana na huyu member tukamwambia hapana asimpe nafasi, sasa ndio yamekuwa haya, I hope huyu mkuu anajua anachokifanya, na yeye tumeshamfahamisha yanayojiri hapa na huyu member.

Be my guest bro!
 
Mama Anne Kilango Malecela, Mbunge,

kwanza Mwalimu wa Sekondari ya Kisutu, huku akiwa mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Kionondoni, akawa Accountant ATC, akawa Senior Accountant Gulf Air, huku akiwa mmoja wa Directors wa Casino pale Sea View, akawa mbunge wa kuteuliwa na rais, baadaye akaw mbunge wa kuchaguliw na wananchi hadi sasa, pia ni mfanya biashara maarufu wa bidahaa mbali mbali toka USA na Europe, akimiliki maduka makubwa ya bidhaa hizo kati ya Dar, Dodoma, na Same, sasa hivi pia ni makamu mwenyekiti kamati ya bunge ya Miundo Mbinu, na pia mwenyekiti wa kamati ya maadili ya viongozi ya bunge,

Toka awe mbunge wa kuchaguliwa amekuwa kiongozi hodari wa kukataa ufisadi, ndiye aliyeongoza mapambano ya kumuondoa madarakani aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani Lowassa, baada ya hapo ndiye aliyepigana sana mpaka kuufuta mkatba wa kifisadi ulikouwepo bandarini kwa miaka kumi na ulikuwa uwepo kwa miaka 15 zaidi, akiwa kama mwenyekiti wa muda wa kamati ya Miundo Mbinu ya bunge kutokana na mwenyekiti wa kamati Ndugu Misanga, kutoweza kushiriki kikamilifu kwenye kamati hiyo kutokana na kuumwa sana ugonjwa wa kisukari, Mama mbunge pia kwa sasa yupo Chuo Kikuu Huria akimalizia Degree ya Uchumi.

Sasa mnyonge mnyongeni lakini haki apewe, ningeomba mtoa mada hii atuwekee qualifications za hao anaosema kuwa wameangalia CV ya huyu mbunge wetu wa taifa na kuona hafai, maana nina wasi wasi kuwa sio rahisi mwananchi mwenye CV ya wasi wasi kuweza kuielewa CV inayofaa au isiyofaa, au kuelewa kuwa ni kiongozi yupi anafaa na yupi hafai, halafu ikiwezekana atupe historia ya hao wanachi jinsi ambavyo wamewahi kulisaidia taifa letu na hizi hukumu, ambazo pia watuambie wamezi-base on CV za viongozi wapi hao wa taifa letu wanaofaaa!

Ninasema kuwa Mama Anne Kilango Malecela, anazo qualifications zote anazozihitaji kuwa na nafasi aliyonayo sasa, yaani mbunge wa kuchaguliwa na kuwawakilisha wananchi bungeni.


http://www.parliament.go.tz/bunge/Mp_Cv3.asp?PTerm=2005-2010&fpkey=112&vusername=GUEST")



CV ya mama Malecela ni nzuri sana hasa kwa mwanamama wa rika lake na haiwezi kulinganishwa kabisa na CV tupu ya Mbowe, ingawa Mbowe was more priviledged than 99% ya watanzania.





[/quote]


CV ya Mbowe

Members Profile >> MP CV
Mbowe , Freeman A.

GENERAL
ID No.:

MEMBER'S PICTURE​


1260.jpg


First Name: Freeman

Middle Name: Aikaeli

Last Name: Mbowe

Member Type: Constituency Member

Constituent: Hai

Political Party: CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO

Office Location: P.O. Box 3070, Moshi

Office Phone:

Office Fax: 2112538

Office E-mail: fmbowe@parliament.go.tz

Member Status: Current Member

Start Date: 15 Oct 2005

End Date: 30 August 2005

Date of Birth :


EDUCATION:

Secondary School Secondary Education - - HIGH SCHOOL


CERTIFICATIONS:

No items on list

EMPLOYMENT HISTORY:

Bank of Tanzania Bank Officer - -

POLITICAL EXPERIENCE

No items on list

PUBLICATIONS:

No items on list

SPECIAL SKILLS:

No items on list
 
Mama Kilango,

Is doing just fine, sasa hivi anamalizia mitihani ya nusu term, na anatuma salam sana hapa kwa ushirikiano aliopewa kuhusiana na ile interview na hasa kwa Mkulu Mwanakijiji, na ansema kuwa kuaniza sasa yupo open at anytime akitakiwa kuja hapa kutupa maelezo ya any ishu inayoendelea huko bungeni au taifa,

Yaliyojiri mpaka kuchelea kwa hizi attakcs tunayajua, kuna member mmoja kutoka hapa alijaribu majuzi kwenda kwake kujikomba akafukuzwa naye ni kwa sababu hakufuata protocol, mama alipotuarifu tutoe okay ya kukutana na huyu member tukamwabia hapana asimpe nafasi, sasa ndio yamekuwa haya, I hope huyu mkuu anajua anachokifanya, na yeye tumeshamfahamisha yanayojiri hapa na huyu member.


Be my guest bro!

kwi kwi kwi kwi,

inatia huruma maana huyo memba hakujua kuwa habari zake zitafika JF kama kawa... sasa ni huruma tu na si kingine.
 
CV ya mama Malecela ni nzuri sana hasa kwa mwanamama wa rika lake na haiwezi kulinganishwa kabisa na CV tupu ya Mbowe, ingawa Mbowe was more priviledged than 99% ya watanzania.

Umeanza lini kujikomba komba kwa mama malecela? jambo moja tu nina hakika nalo kuhusu Mbowe ambaye bado anaendeleza biashara zake, kuendesha chama, na kupigania haki za wananchi na huku akijiendeleza accordingly ni kimoja - Mbowe hana chuki za kidini kama zako.
 
Mugabe Robert ana degree za kusoma kama nne hivi, na kapewa za bure tu kama sita vile kwa hiyo anazo za kutosha, lakini Uchumi wa Zimbabwe ndio tunaousoma wa quadrillion kununua sijui mkate au embe.

Bila kusahau mafisadi wengi wa Tanzania waliosoma Havard kwa pesa ya walipa kodi Mramba, nk. Lakini wapi? Kwa hiyo basi elimu ndio ufunguo wa maisha lakini sio elimu ya degree tu. Elimu iko kwa namna mbali mbali sio elimu ya kikasumba tu.
 
Hapana mkuu wangu, sio Kubwajinga wala Kada, au mtoa hii topic, yupo mwenyewe kwa pembeni pembeni, yaani side kick!

Ninamjua ila nimempa kubwajinga dosier yake pia hapa hapa maana kwa vile leo ameanza kujikombakomba kwa mama Malecela wakati huyu mama hapendi watu wenye chuki za kidini kama yeye.
 
Mugabe Robert ana degree za kusoma kama nne hivi, na kapewa za bure tu kama sita vile kwa hiyo anazo za kutosha, lakini Uchumi wa Zimbabwe ndio tunaousoma wa quadrillion kununua sijui mkate au embe.

Bila kusahau mafisadi wengi wa Tanzania waliosoma Havard kwa pesa ya walipa kodi Mramba, nk. Lakini wapi? Kwa hiyo basi elimu ndio ufunguo wa maisha lakini sio elimu ya degree tu. Elimu iko kwa namna mbali mbali sio elimu ya kikasumba tu.

Dua, unajua hata Kichaka amesoma ivy league.... huyu kubwa jinga ana chuki zake na Mbowe na Chadema kwa ujumla na zinahusu vitu vingine kabisa ila kila mara akitokeza kichwa hapa JF anaumbuliwa.
 
1. Jamani hivi kweli hii CV ya Mbowe inafaa kuwa kiongozi wa nchi au wa chama au hivi vyeo tunapeana tu?

Oyeaaa, Mbowe rocks, anawapa hell 'em mafisadi na anafaa kuwa kiongozi wa chama chochote chenye kutetea masilahi ya wananchi.


Quote:
2. Licha ya elimu ndogo, form six, experience aliyonayo ni ya ukarani tu, BOT. Je hivi vinatosha kuongoza nchi au hata chama cha siasa?

Ukilinganisha na fisadi Chenge, I would rather go with bad boy MBowe


Quote:

3. Hivi akina Dr. Slaa, Zitto n.k. wamekubali vipi au wanajisikiaje kuongozwa na mtu wa elimu ya form six?

Wanafurahi sana kuwa na mpiganaji mwenye bollz kama Mbowe na anayewapa hell mafisadi wa ccm.


Quote:
4. Je elimu ndogo na uwezo mdogo wa Mbowe ni kikwazo kwa Chadema katika kuwabana vihiyo ndani ya CCM?

Sidhani kama MBowe anahusika na wanaofoji vyeti vyao huko ccm. I would trade elimu ya Mkapa kwa ujasiri na utetezi wa wanyonge wa Mbowe na Mzee wa Kiraracha.

Next .......



Kama hayo ndio majibu uliyoona yanafaa kuelezea mapungufu ya Mbowe, basi tukiogope Chadema. Maana hayo uliyotupa ni majibu ya darasa la saba la kijiweni.
 
Kama hayo ndio majibu uliyoona yanafaa kuelezea mapungufu ya Mbowe, basi tukiogope Chadema. Maana hayo uliyotupa ni majibu ya darasa la saba la kijiweni.

ukileta maswali ya kijiweni unapata majibu ya kijiweni. Ukileta hoja za maana nawe utapata hoja za maana. Kwa sasa watu wabaguzi na wenye chuki za kidini kama wewe hawaitaji majibu ya maana. Wanapata majibu yanayolingana na level ya maswali yao.

Next.....
 
ukileta maswali ya kijiweni unapata majibu ya kijiweni. Ukileta hoja za maana nawe utapata hoja za maana.


I like this one, maana yake in short ni kwamba hoja hujibiwa kwa hoja, na sio viroja! Mimi siku hizi mambo ya vyama niliaacha kabisaa niko taifa tu!
 
Back
Top Bottom