mkuu kwanza samahani after this sitakujibu tena maana huwa isna mjadala na watu wanaotumia majina mengi kama wewe, nikikosea nitasema mwenyewe kuwa nimekosa hata kabla ya kuambiwa na wewe, lakini kama sijakosa huwezi kunilazimisha, wewe huwezi kunifundisha mimi dini wakati ninajua madhambi yako emngi sana mkuu ya kutisha, sasa kama huji kuwa kwenye mijadala ya siasa kuna kushindwa na kushinda sina la kukusaidia tena, ulileta ubishi ukakushinda kwenye ileishu ya Balali, sasa naona mpaka leo unajaribu tu kwa nguvu kunitafuta lakini unapoteza muda wako bure mkuu huniwezi, huwezi kunlizimihsa kukosea wewe ndio hujui unachosema!
Ni mawazo kama haya huwa ninayaita ujuha, Mwalimu ametuongoza wabongo ambao wengi mapka leo tupo hai, lakini mpaka leo hatukubaliani kama alikuwa kiongozi bora au hapana, sasa itakuwa Hitler wa Germany? Mkuu acha kujifanya unajua sana wakati hujui lolote atakayechekwa ni wewe kwa kujaribu klazimsha theory unazozijua wewe tu, it does not work that way bro, anayechekesha hapa ni wewe kwa sababu mimi nimekaa Hamburg, Germany na ninawajua wajerumani wengi sana ambao huwezi kuwaambia neno lolote kuhusu Hitler ingawa hawawezi kusema hadharani kwa sababu ya kuogopa political correctness, taaluma inayotahminiwa na wengi ni kwamba Mwalimu was the best ever mbona wewe kila siku unakataa hapa kwa kulumbana na Mwanakijiji, mkuu kua kidogo na usitudanganye na elimu njiwa hiyo ulioyonayo ya Urusi hapa!
Look at this, unachokubali ni nini na unachokataa ni nini? Wewe kwenye accademic world ni nani kwamba ukisema basi ndio authority? Wewe umesoma vitabu vya Hitler na kumuona unavymuona na mimi nimesoma na kumuona ninavyomuona, tena besides mkuu mimi nimeishi kule, haya maneno ya kusema hakuna uchambuzi wa kushehsimika kuhusu Hitler umayatoa wapi bro? Mimi nimeishi Germany watu karibu wote wanazimia na Hitler, the matter of fact all the local politics za Germany zinaongozwa na vyama vinavyokuabaliana na itikadi zake, sasa haya yako umeyatoa wapi? Acha kudanganya watu hapa mkuu!
Unaona always unajiweka kwenye position ya kwamba uksiema wewe basi ndio mwisho, kuna wanaooona kitendo cha Mwalimu kutokemea baadhi viongozi waliokuwa karibu naye kuwa ni mfisadi na they have a very strong case to watu kama Mtikila wana very strong case against ufisadi wa MWalimu, kwa hiyo mkuu unachojua wewe, sio mwisho wa dunia kuna wanaojua zaidi yako kitu ambacho hutakikukubali lakini huna choice! Halafu usiniite hayo majina yako ya mutu, mimi sio mutu mimi hapa ni Field Marshall ES, sio Mutu acha mabmo ya bara bro mijini hatuitani mutu!
Juzi ulisema hutaki double standard nikafikiri uko serious, sasa naona ni yale yale tu ya majina yako kwa hiyo mkuu you can have this deabte vipi ukiendelea kama uluvyokuwa unafanya, yaani kuandika na kujijibu mwenyewe, mimi huwa sina huo muda wa ujinga!