William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
[B
Watajisema wenyewe tu mkuu hakuna haraka, ila ninawaambia hivi lets take this war nje ya hapa, maana sasa tunawasumbua watu hapa, niliwatwanga hapa kwenye ule mjadala na nje ya hapa pia nitawafundisha adabu, mkuu kama unajua kuwa huhusiki vipi ukikaa pembeni ukawaachia wenyewe wajibu maana wanajijua, ninasema hivi now it is about time tukahamia nje ya hapa na hii vita maana naona mmepania sana mimi sina noma, the matter of fact I love it na ninawasubiri kwa hamu sana!
]kwa kweli siwezi kuacha duku duku langu liendelee hivi hivi..nafikiri utatusaidia sana uwataje hawa watu maana kwangu mimi binafsi naona imekuwa kero ya "HAO" watu wanaozingua wenzao humu na "hayo majina mengi wanayotumia".... hii imekuwa kero kweli sasa, naomba uwaexpose !!
wataje tu mzee ![/B]
Watajisema wenyewe tu mkuu hakuna haraka, ila ninawaambia hivi lets take this war nje ya hapa, maana sasa tunawasumbua watu hapa, niliwatwanga hapa kwenye ule mjadala na nje ya hapa pia nitawafundisha adabu, mkuu kama unajua kuwa huhusiki vipi ukikaa pembeni ukawaachia wenyewe wajibu maana wanajijua, ninasema hivi now it is about time tukahamia nje ya hapa na hii vita maana naona mmepania sana mimi sina noma, the matter of fact I love it na ninawasubiri kwa hamu sana!