Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

Marekani kuzuri sana, hakuna Barabara za vumbi na maji hayakatiki, vitu muhimu kama chakula,umeme na maji ni bei rahisi sana karibu na bure, kazi nyingi sana kama unataka kazi huwezi kukosa, hakuna kuoneana kiboya kama polisi au wanasiasa wa bongo, Elimu bure mpaka high school, matibabu expensive lakini ni World class na yapo Kwa Kila mtu maana hata kama huna insurance utatibiwa tuu utatumiwa bill ila hawawezi kukuacha ufe, sehemu nyingi US ni kusafi kama peponi, standard ya Maisha ya mfanyakazi wa kiwandani US inamzidi waziri wa bongo ambaye sio mwizi, Kuna haki Kwa Kila mtu
Hii simulizi kwa wengine ni kama ndoto vile.
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?

HAPO INACHANGANYA SANA. HATA SISI TUNAPENDA KWENDA KUISHI HUKO.
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
We dogo hizo akili zako kama unadhani watu wakipenda nchi basi ni sababu ya dini unapindi ukapime akili.

Watu wanapenda ushetani kuliko uhalali duniani. We huoni zinaa inavyo pendwa ni halali hiyo? Huoni ribaa inavyo pendwa ni halali hiyo.

US lazima ipendwe sababu kila upumbafu uko huko, we kama mlevi uta enjoy kule, kama mvuta bangi au mtumia ma drugs kule ni peponi, we kama gay huko umefika lazima watu wataipenda tu US.

Mtu mwenye dini yake ataipenda nchi ilio tulia hakuna zina au ulevi.

Hio Saud Arabia sasa hivi wazungu wananza kupeleka utamaduni wao wa ushoga, drugs na zina karibu watu watanza kwenda Saud Arabia badala ya Thailand hahaha. Watu wanapenda uchafu na ushetani hauwendi bila uchafu.
 
Siku zote vitu vya shetani vinakimbiliwa. Mfano waseme Kuna sehemu wanawake wanaocheza uchi au wanafanya ngono hadharani watu wengi watatamani kwenda ingawa ni haramu Tena wengine utakuta ni watumidhi wa Mungu.
 
Jibu rahisi tu. Mambo ya kishetani ndiyo yenye kuvutia zaidi watu hapa duniani. Si unaona hata night clubs....
Kwenda night club sio dhambi mbele za mwenyezi Mungu, sasa mtu akienda night club hapo utasemaje kafanya dhambi ni dini ndizo zimekuja kupotosha mambo.

Dini zinadanganya sana watu, sasa ukienda night club kisha baadae ukajiondokea ukarudi zako nyumbani hapo utakuwa umemkosea Mungu nini.

Unapomfanyia mwenzako kile ambacho wewe hupendi ufanyiwe hapo ndipo utakua umetenda dhambi, tofauti na hapo ni porojo tu za dini ambazo zimeletwa na wanadamu na sio Mungu.

Eti dini zinataka watu wavaeje na hata majina watumie majina gani na hata waowe wake wangapi kisha wanadai eti ni maagizo ya Mungu..!! Uongo mtupu na kutapeli watu kiakili.
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?

kwani hujui kazi ya shetani jombi?
shetani kazi yake kukushawishi ufanye kitu opposite na Mungu anavyotaka...usinywe pombe yeye anakwambia kunywa,usidhini yeye anakwambia peleka moto,usiibe yeye anakwambia ibia wajinga hao,usiende USA ushetani ndo ulipozaliwa kule shetani mwenyewe anakwambia wacheni ufala nyie njooni huku Amerika tuendeleze ushoga ndo mpango mzima
 
Ni kheri nikaishi nchi za kiislamu kuliko huko, huko ni kwenda kutembea tu
 
Leo hii ukienda Marekani ukataka kuona mwanaume mwenzio utampata,ukitaka kuona Mbwa ruksa,ukitaka,kuolewa kama wewe ni mwanaume utaolewa.Yote hayo yanafanyika waziwazi kabisa na katiba Yao inaruhusu.
Mbona hata Africa Kusini haya yote yanaruhusiwa??
 
Kwenda night club sio dhambi mbele za mwenyezi Mungu, sasa mtu akienda night club hapo utasemaje kafanya dhambi ni dini ndizo zimekuja kupotosha mambo.

Dini zinadanganya sana watu, sasa ukienda night club kisha baadae ukajiondokea ukarudi zako nyumbani hapo utakuwa umemkosea Mungu nini.

Unapomfanyia mwenzako kile ambacho wewe hupendi ufanyiwe hapo ndipo utakua umetenda dhambi, tofauti na hapo ni porojo tu za dini ambazo zimeletwa na wanadamu na sio Mungu.

Eti dini zinataka watu wavaeje na hata majina watumie majina gani na hata waowe wake wangapi kisha wanadai eti ni maagizo ya Mungu..!! Uongo mtupu na kutapeli watu kiakili.
Wafia dini hapa watakupiga mawe vibaya sana kwa hili
 
Ni kheri nikaishi nchi za kiislamu kuliko huko, huko ni kwenda kutembea tu
Wewe ni mnafiki tu, mbona hujaenda Afghanistan, Yemen au hata Iran na kwanza watakufukuza kwamba wewe ni nyani na tena kafiri usiyestahili raha ya mabikra 72 wa akhera.
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Kwann watanzania wanatamani kwenda dar es Salaam wakati kila aina ya uchafu inaanzia na ipo ya kutosha kuanzia lbgt+ mpaka mauwaji, utekaji nk?
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Ndo maana idadi kubwa ya wanadamu wanatamani mambo ya dunia hii ambayo yamejaa marekani
 
Wewe ni mnafiki tu, mbona hujaenda Afghanistan, Yemen au hata Iran na kwanza watakufukuza kwamba wewe ni nyani na tena kafiri usiyestahili raha ya mabikra 72 wa akhera.

Ushawahi kusikia mtu yeyote katika nchi za kiarabu akimwambia mtu mweusi ni NYANI! Ewe msemaji wa mzayuni na mmarekani!
 
Back
Top Bottom