Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

Mkutano wa UN unaweza fanyika nchi yeyote ukipangwa., wewe fahamu alinyimwa visa akalalamika sana pia ufahamu tokea urusi ameekewa vikwazo hakuna kiongozi wa US wala Ulaya aliyeonyesha interest ya kuingia Russia sababu si nchi ambayo ulimwengu inaihitaji ndio maana Russia wanapapatua visa kuingia US.

Urusi wana umoja wao unaitwa BRICS kwanini hawafanyi vikao vyao huko Brazil, India na South Africa nchi yenye mgao wa umeme wanangangania Visa za kuingia US??
We uelewa wako sio mzuri, mkutano wa UN unahusikaje na BRICS? Yaani mkutano unahusu balaza la usalama la UN halafu ukafanyikie Brazil wakati Russia ni parmanent member na makao makuu ya UN yako NY! We unaelewa kweli hata unachoongelea?
 
Makao makuu ya kanisa la sabato yako Marekani.
Makao makuu ya mashahidi wa yehovah yako marekani.

Ellen G White alikuwa raia wa maerkanj.
 
Huu ndio ukweli wenyewe, na waislam wengine wamejilipua kama machoko ili waingie, cha ajabu wakishapata uraia wanajifanya kuwachukia LGBTQ, kuna time in Minneapolis wasomali ambao ndio wengi madereva wa Uber na Lyft walitaka kufanya mgomo kukataa kubeba watu waliokunywa pombe kwa ajiri ya uislam wao, mzungu akasema neno moja tuu kama unataka usiendeshe tena uber huu mji kataa kubeba mtu kwa sababu kanywa pombe, wasomali ilibidi waipotezee tuu maana watu walianza kuwaita makusudi wamelewa ili wapoteze licence zao
Hahaha, mtu anaishi kwa watu anaweka Sheria za kwao ambazo hazijawahi kumkomboa toka kwenye umaskini
 
Nchi mzuri ya kuishi na Takatifu ni SOMALIA na SUDANI.
Kwa mujibu wa Dini ya Haki.
 
Mkutano wa UN unaweza fanyika nchi yeyote ukipangwa., wewe fahamu alinyimwa visa akalalamika sana pia ufahamu tokea urusi ameekewa vikwazo hakuna kiongozi wa US wala Ulaya aliyeonyesha interest ya kuingia Russia sababu si nchi ambayo ulimwengu inaihitaji ndio maana Russia wanapapatua visa kuingia US.

Urusi wana umoja wao unaitwa BRICS kwanini hawafanyi vikao vyao huko Brazil, India na South Africa nchi yenye mgao wa umeme wanangangania Visa za kuingia US??
acha utaahira wewe, mikutano ya UN inafanyika New york, ulitaka asilalamike anapozuiwa kuingia Newyork kwenye mkutano wa UN?....

hata august mkutano wa BRICS utafanyika South Africa,.......

nyie vijana mbona akili zenu mmejaza matope sana aiseee
 
acha utaahira wewe, mikutano ya UN inafanyika New york, ulitaka asilalamike anapozuiwa kuingia Newyork kwenye mkutano wa UN?....

hata august mkutano wa BRICS utafanyika South Africa,.......

nyie vijana mbona akili zenu mmejaza matope sana aiseee
Waandae mkutano wao wa BRICS huko kwao South Africa au Russia ama Brazil kama wanalazimisha kuingia New york maana yake bado hizo nchi zinauhitaji mkubwa wa US., ndio maana nimekwambia US ni taifa ambalo hata izo nchi zako zinaiyona US kama lulu
 
Yesu alipandishwa mlimani na shetani kuonyeshwa utajiri wa dunia, nafikiri kidole cha shetani kilielekea Marekani. Jibu Ni kwamba wanafuata neema za shetani.
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?

sababu mamilioni ya watu wanapenda ushetani
 
Wanaopenda kwenda kuishi marekani ni watu wenye chembechembe za ushetani. Watu wenye hofu ya mungu sidhani kama wanapenda kwenda kuishi marekani
Thubutu watu wote wanapenda kuishi marekani , wengine sizitaki mbichi hizi, nani asiyependa good pay na better health care
 
Marekani ni nchi ya asali na maziwa, nchi ya ahadi (Kanani).
( the land of milk and honey wenyewe ndo wanaita hivo)
 
ℍ𝕦𝕦 𝕟𝕚 𝕞𝕥𝕚𝕙𝕒𝕟𝕚 𝕞𝕨𝕚𝕟𝕘𝕚𝕟𝕖 𝔸𝕝𝕝𝕒𝕙 𝕒𝕞𝕖𝕥𝕦𝕝𝕖𝕥𝕖𝕒 𝕤𝕚𝕤𝕚𝕤 𝕨𝕒𝕛𝕒 𝕨𝕒𝕜𝕖

ℕ𝕕𝕦𝕘𝕦 𝕫𝕒𝕟𝕘𝕦 𝕨𝕒 𝕚𝕞𝕒𝕒𝕟 𝕥𝕦𝕖𝕟𝕕𝕖𝕝𝕖𝕖 𝕜𝕦𝕥𝕠𝕒 𝔻𝕒𝕣𝕤𝕒 𝕞𝕓𝕒𝕝𝕚 𝕞𝕓𝕒𝕝𝕚 𝕛𝕦𝕦 𝕪𝕒 𝕜𝕦𝕒𝕔𝕙𝕒 𝕞𝕒𝕒𝕤𝕚 𝕟𝕒 𝕜𝕦𝕞𝕣𝕦𝕕𝕚𝕒 𝔸𝕝𝕝𝕒𝕙
 
Marekani kuzuri sana, hakuna Barabara za vumbi na maji hayakatiki, vitu muhimu kama chakula,umeme na maji ni bei rahisi sana karibu na bure, kazi nyingi sana kama unataka kazi huwezi kukosa, hakuna kuoneana kiboya kama polisi au wanasiasa wa bongo, Elimu bure mpaka high school, matibabu expensive lakini ni World class na yapo Kwa Kila mtu maana hata kama huna insurance utatibiwa tuu utatumiwa bill ila hawawezi kukuacha ufe, sehemu nyingi US ni kusafi kama peponi, standard ya Maisha ya mfanyakazi wa kiwandani US inamzidi waziri wa bongo ambaye sio mwizi, Kuna haki Kwa Kila mtu
 
Back
Top Bottom