Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

Kwa mfano mimi huwezi nambia saa hii nikaishi marekani sitakuelewa maana kwa niliyoyaona yakiendelea na lifestyle yao inatosha kusema hakuna taifa pale ni takataka.
Ndio maana nawaambia hawa vijana Marekani sio dream country ya kila mtu.
Wengi tu wamefika US wakaona hapafai wakasepa..
 
Nyie Marekani ni kuzuri kuna jamaa alilia alipopigwa pini ya kwenda Marekani pamoja na kwamba alikuwa anaongoza kuishi kwa raha mkoani daslamu🐒

images - 2023-04-18T072327.341.jpeg
 
Once you have a US passport, you'll find it to be a very valuable piece of paper! The American passport is one of the strongest passports in the world, and holding one will give you visa-free access to 186 countries around the globe (that's almost every country, practically speaking).
Kwa hili hata uzao wa mudi na Pro - Russia wanakuwa wapole tu...
Huwezi kusikia hata mmoja wao anatamani kuhamia Afghanistan, Urusi, Iran, North Korea, nk😁
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Fursa za kiuchumi zinawapeleka huko 'States'.
 
Huwa natamani sana yale mafukwe yanayooneshwaga kwenye video sijui ni Brazil au Jamaica sio siri huwa yananishawishi sana hakika watu wanastarehe
Halafu sasa pasafii,watu wasafii dah afu kila mtu na habari zake mwenye bukuta hayaa,mwenye kyupii twendee yaani hakuna umaarufu kila mtu anahesabu sekunde,dakika,masaa anatamani asizeekee ili aendelee kuyafaidi hayo.
Sisi huku tutaishiaga kulike,kucoment na kushea tuu pia kusubukribe😅😅😅🤣
 
Halafu sasa pasafii,watu wasafii dah afu kila mtu na habari zake mwenye bukuta hayaa,mwenye kyupii twendee yaani hakuna umaarufu kila mtu anahesabu sekunde,dakika,masaa anatamani asizeekee ili aendelee kuyafaidi hayo.
Sisi huku tutaishiaga kulike,kucoment na kushea tuu pia kusubukribe[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787]
Aaasante
 
Unakuta wale swala tano kabisa,wanatamani kwenda kuishi marekani,najiulizaga kwanini hawatamani iraq, Syria,Iran kwenye dini na sheria kali
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Wewe mzee , shetani ana wafuasi wengi kuliko wale wa Mungu , mbona logic ndogo sana
 
Unakuta wale swala tano kabisa,wanatamani kwenda kuishi marekani,najiulizaga kwanini hawatamani iraq, Syria,Iran kwenye dini na sheria kali
Syria na Iraq hakuna dini wala sheria kali ni secular state hizo acha kuchanganya mambo, kuhusu Iran angalau ila pia ni secular state
 
watu wanafuata fursa za kifedha, uasi wao wenyewe sisi tunafuata vibunda mwaisa. uende mataifa ya kumcha Mungu tutakula nin
 
sasa kama unajua ananguvu sibola umtumikie kwanini unatumia njia ndefu wakati fupi unayo
Kwahiyo unajaribu kuniconvice mimi sio, kisa uko addicted. Haahah! Hivyo vitu ni kwa ajili ya wafuasi wa shetani sio mimi.
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?

Marekani ni nchi nzuri saaana, ndo maana inatupiwa mawe, mfano wa mti wenye matunda matamu hutupiwa mawe sana! Pili Marekani ni nchi yenye fursa(opportunities) lukuki, ndo maana binadamu kutoka pande zote za dunia hukimbilia huko!!nchi dhalimu ni Afghanistan, Iran, Russia(superpower inadiriki kuvamia nchi huru(sovereign and independent nation) Ukraine na kufanya jimbo lake! Nitoa mfano mitatu tu ya nchi dhalimu duniani. Marekani ni pepo ndogo duniani. Period.
 
Back
Top Bottom