Swenti
Member
- Oct 13, 2013
- 67
- 50
Wewe huwezielewa sababu umedatanayo. Halafu si unajua ushetani unanguvu kuliko breakdownWe tema mate chini beer sio kitu chakishetani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe huwezielewa sababu umedatanayo. Halafu si unajua ushetani unanguvu kuliko breakdownWe tema mate chini beer sio kitu chakishetani
Tanzania ni nchi nzuri ukiwa CCM na upo kwenye cycle ya walamba asali. Ila kama ni graduate ambaye huna mbele wala nyuma bongo is no longer safe.Hakuna haja ya kuikimbilia nchi yoyote. Mbona tz inatosha sana. Kitu gani kinachokuambia ukienda marekani utakuwa na maisha mazuri sana?
You see! Sio kila mtu duniani anatamani kuishi Marekani japo ndio nchi inayoongoza kwa kupokea wahamiaji.Sidhani ni "Kila mtu" anataka kwenda kuishi Marekani!!
Ndio maana nawaambia hawa vijana Marekani sio dream country ya kila mtu.Kwa mfano mimi huwezi nambia saa hii nikaishi marekani sitakuelewa maana kwa niliyoyaona yakiendelea na lifestyle yao inatosha kusema hakuna taifa pale ni takataka.
Kwa hili hata uzao wa mudi na Pro - Russia wanakuwa wapole tu...Once you have a US passport, you'll find it to be a very valuable piece of paper! The American passport is one of the strongest passports in the world, and holding one will give you visa-free access to 186 countries around the globe (that's almost every country, practically speaking).
Fursa za kiuchumi zinawapeleka huko 'States'.Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Halafu sasa pasafii,watu wasafii dah afu kila mtu na habari zake mwenye bukuta hayaa,mwenye kyupii twendee yaani hakuna umaarufu kila mtu anahesabu sekunde,dakika,masaa anatamani asizeekee ili aendelee kuyafaidi hayo.Huwa natamani sana yale mafukwe yanayooneshwaga kwenye video sijui ni Brazil au Jamaica sio siri huwa yananishawishi sana hakika watu wanastarehe
Huu ni uongo!!Ndoa za jinsia moja zilianza kualalishwa marekani. Ndio maana ninaiita nchi ya kishetani
wengi wanaoshindwa nibongo lala au watoto wamama haiwezekani fulsa ziwenyingi halafu maisha yakushindeNdio maana nawaambia hawa vijana Marekani sio dream country ya kila mtu.
Wengi tu wamefika US wakaona hapafai wakasepa..
AaasanteHalafu sasa pasafii,watu wasafii dah afu kila mtu na habari zake mwenye bukuta hayaa,mwenye kyupii twendee yaani hakuna umaarufu kila mtu anahesabu sekunde,dakika,masaa anatamani asizeekee ili aendelee kuyafaidi hayo.
Sisi huku tutaishiaga kulike,kucoment na kushea tuu pia kusubukribe[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787]
sasa kama unajua ananguvu sibola umtumikie kwanini unatumia njia ndefu wakati fupi unayoWewe huwezielewa sababu umedatanayo. Halafu si unajua ushetani unanguvu kuliko breakdown
Wewe mzee , shetani ana wafuasi wengi kuliko wale wa Mungu , mbona logic ndogo sanaHuwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Syria na Iraq hakuna dini wala sheria kali ni secular state hizo acha kuchanganya mambo, kuhusu Iran angalau ila pia ni secular stateUnakuta wale swala tano kabisa,wanatamani kwenda kuishi marekani,najiulizaga kwanini hawatamani iraq, Syria,Iran kwenye dini na sheria kali
Kwahiyo unajaribu kuniconvice mimi sio, kisa uko addicted. Haahah! Hivyo vitu ni kwa ajili ya wafuasi wa shetani sio mimi.sasa kama unajua ananguvu sibola umtumikie kwanini unatumia njia ndefu wakati fupi unayo
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie Marekani ni kuzuri kuna jamaa alilia alipopigwa pini ya kwenda Marekani pamoja na kwamba alikuwa anaongoza kuishi kwa raha mkoani daslamu[emoji205]
View attachment 2591647