Mara nyingi sana mbona.? Unapinga nini wakati hata unapofuata utamaduni wake lkn bado anaamini kwamba wewe ni kafiri tu.Ushawahi kusikia mtu yeyote katika nchi za kiarabu akimwambia mtu mweusi ni NYANI! Ewe msemaji wa mzayuni na mmarekani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara nyingi sana mbona.? Unapinga nini wakati hata unapofuata utamaduni wake lkn bado anaamini kwamba wewe ni kafiri tu.Ushawahi kusikia mtu yeyote katika nchi za kiarabu akimwambia mtu mweusi ni NYANI! Ewe msemaji wa mzayuni na mmarekani!
Idadi kubwa ya watu wa duniani sasa hivi ni mashetani.Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Weka ushahidi! Usikimbie tuMara nyingi sana mbona.? Unapinga nini wakati hata unapofuata utamaduni wake lkn bado anaamini kwamba wewe ni kafiri tu.
Unataka ushahidi gani.Weka ushahidi! Usikimbie tu
Kwani tunaongelea nini?Unataka ushahidi gani.
Mashetani wekundu😉 😛Idadi kubwa ya watu wa duniani sasa hivi ni mashetani.
Nani kasema anatamani kwenda marekani
NB:MAREKANI KATAWALIWA NA UINGEREZA