Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

Marekanj ndiko dunia ya sasa iliko,free world. Kila mwanadamu anatamani kuishi ulaya na usa
Hata maandiko matakatifu yanasema hivyo, kuwa dunia inamilikiwa na shetani;

Matthew 4:8-9
[8]Then the Devil took Jesus to a very high mountain and showed him all the kingdoms of the world in all their greatness.

[9]“All this I will give you,” the Devil said, “if you kneel down and worship me.”
 
Jibu rahisi tu. Mambo ya kishetani ndiyo yenye kuvutia zaidi watu hapa duniani. Si unaona hata night clubs....
shetan uliwai muona wap na je nan alithibitisha hayo unayoamin ni kwel matendo ya kishetan ? au ndo walitaka kututisha tusiish kwa amani tu?
 
Mi navyojua hata mitaani ukisikia mtu katika stori anakuambia habari za "mambele" huwa hamaanishi China, Urusi, Korea, india, Uk, wala Mexico

Hapo ni Marekani inakusudiwa.

Hata mtu akiwa yuko positive kwa kila jambo utasikia "fulani ni mzungu sana" yani huo uzungu haumaanishi huyo mtu amefananishwa na mfaransa sijui au nani... hapo ni MMarekani

Hata slang, lifestyle watu wanaangalia Marekani wanafanya nini.

Hata wasanii wetu wa hapa hawafanyi mziki kwa kumuangalia msanii fulani maarufu wa China, Urusi, Korea, India ili awe motivated au kama role model wake

Marekani ndio inspiration nation karibia kila Carrier, mapungufu yao kwenye maswala madogo madogo ya ushoga yasiwe sababu ya watu kushindwa kuusema ukweli ambao unaonekana dhahiri.

Kulikuwa na wahindi na wachina walikuwa wanajifanya wao wame-stick kwenye utamaduni wao

Hapa ni mchina akiwa na vazi lake la kiasili ambalo ndio walikuwa wabishi kujifanya watunza misingi

View attachment 2590942

Angalia saizi
View attachment 2590947
Na ndio maana hata Bruce Lee alienda kuishi Marekani, aliona home ni miyeyusho

Wahindi ndio kabisaaa kama ulikuwa unafatilia hata zile nyimbo zao kwenye movies wanazoigiza saizi ni tofauti na za miaka ile.

Kumekuja na evolution yenye taste mpya ya kimarekani ambapo humo na rap zipo, hiyo ni department ya sanaa ya upande wa nyimbo tu, ila kuna mengi.

Na ndio maana Mkorea kaskazini akaona bila kutumia nguvu ya ziada kuweka sheria ngumu hapa baada ya miaka kadhaa nitakuwa natawala Taifa ambalo lina falsafa zote za kimarekani.

Na ndio maana akapiga marufuku uvaaji wa jinsi ya blue. Lakini baadaye alipoona hata hizi rangi nyingine nazo zimekuwa zikivaliwa sana akaamua nazo apige marufuku totally.

Nchi yetote ambayo raia wakapewa uhuru bila sheria za kuwabana wote wata adapt culture ya kimarekani.

Ukiona nchi raia wanaishi katika lifestyle tofauti na ya Marekani ujue kuna sheria kali imesimikwa na wala sio jambo la kuwapa pongezi raia kuwa wamekubali asili yao kwasababu wameshurutishwa kuishi hivyo.
Umemalizaaaaaaa haswaaaaah.
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Mt 7:13-14 SUV

Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo. Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.

Hakuna dhambi chungu
 
shetan uliwai muona wap na je nan alithibitisha hayo unayoamin ni kwel matendo ya kishetan ? au ndo walitaka kututisha tusiish kwa amani tu?
Shetani ni kiumbe mtenda maovu hata binadamu anaweza kuwa shetani kama mfumo wake wa maisha alioichagua ni wa laana tupu.
Kwahiyo kama hujawahi muona tafadhali omba hivyo hivyo usimuone.
 
Njia zipo mbili tu!

1. kuna njia nyembambaa iendayo uzimani... ni watakatifu walio-wachache sana huenda huko

2. Kuna njia pana iliyojaa vivutio vya kila aina.... hiyo hutumiwa na watu wengi sana wenye dhambi wasiomtii Mwenyezi Mungu.......

kazi kwako kuchagua uende wapi....
naenda RUSSIA
 
Muulize mtoa post usiniulize mimi. Mimi nimejibu kulingana na swali. Yeye ndo amesema ya kishetani na mimi nimejibu kulingana na vitu vingine vya kishetani vinavyopendwa kama "beer" nk.
We tema mate chini beer sio kitu chakishetani
 
Napitia comments hapa naona watu wanaandika andika tuu uongo uongo tuu na unafiki.
Kiukweli sisi watu weusi tumejaa unafiki.
Hapa wanaandika hawataki kwenda,hawapapendi na kebehi zingine.
Lakini amini nakwambia America ni bara nambari moja duniani wanaadamu kwa % kubwa wanatamani kufika,kutembelea ama hata kuishi maana mapicha na mavideo yake tuu yanashawishi.
Hakuna mtu asiyependa vitu vizuri.
Huwa natamani sana yale mafukwe yanayooneshwaga kwenye video sijui ni Brazil au Jamaica sio siri huwa yananishawishi sana hakika watu wanastarehe
 
Back
Top Bottom