Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #101
Usijibu kirahisi. Kwenda Marekani ni hiyari ya mtu kama kuwa mzinzi. Kama Marekani ni nchi ya Kishetani Makanisa, Misikiti na Masinagogi yaliyoko kule kazi yake ni nini??Jiulize ni kwanini watu wanapenda sana mambo ya kishetena. Hata wewe huo uzinzi unaoupenda ni Shetani huyo. Shetani huvutia ilimradi tu atimize huo ushetani wake