Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

Jiulize ni kwanini watu wanapenda sana mambo ya kishetena. Hata wewe huo uzinzi unaoupenda ni Shetani huyo. Shetani huvutia ilimradi tu atimize huo ushetani wake
Usijibu kirahisi. Kwenda Marekani ni hiyari ya mtu kama kuwa mzinzi. Kama Marekani ni nchi ya Kishetani Makanisa, Misikiti na Masinagogi yaliyoko kule kazi yake ni nini??
 
Kama Marekani ni nchi ya Kishetani Makanisa, Misikiti na Masinagogi yaliyoko kule kazi yake ni nini??
Kuabudu Ila usisahau makao makuu ya kanisa la shetani yapo Marekani New York City
 
Kuabudu Ila usisahau makao makuu ya kanisa la shetani yapo Marekani New York City
Lakini si kila mtu Marekani ni mtu wa shetani na jee kwenye hizo nchi "takatifu" zinazofuata maadili hakuna watu wa shetani pia??
 
Sio kila mtu.
Mimi sina ndoto ya kufika state na sijawahi kutamani licha ya kuwa na access ya kufika huko.

NB: Hakuna nchi ya kishetani wala ki Mungu.
Eee kumbe Ila hapo umeniacha kwenye access ya kufika huko umepewa Serikali ya US au
 
Tuanze na ya kwetu ni ya nani ?
Ukisoma vizuri siyo mimi mwenye sifa ya kutoa hizo sifa za utofauti. wapo watu ndiyo kila siku wanasema kwamba Marekani ni nchi ya Kishetani. Kwamba nchi yetu ni ya nani siyo lengo la bandiko hili.
 
Kwamba nchi yetu ni ya nani siyo lengo la bandiko hili.
Hapàna kabla hatujafika Marekani tuanzie kwetu nimesikia zile Pesa za wajasiriamali billion 88 watu wamezitumbua bila uoga, kwa hio sisi ni wa Nani?
 
Usijibu kirahisi. Kwenda Marekani ni hiyari ya mtu kama kuwa mzinzi. Kama Marekani ni nchi ya Kishetani Makanisa, Misikiti na Masinagogi yaliyoko kule kazi yake ni nini??
Nenda kwenye madangulo na night club utajua jinsi Shetani anavyofanya kazi.
Tatizo lako watu wanatoa maoni yao halafu unachukia, inaonyesha upo bias ktk bandiko lako hilo, unataka comments zinazokufurahisha wewe
 
Nenda kwenye madangulo na night club utajua jinsi Shetani anavyofanya kazi.
Tatizo lako watu wanatoa maoni yao halafu unachukia, inaonyesha upo bias ktk bandiko lako hilo, unataka comments zinazokufurahisha wewe
Ndoa za jinsia moja zilianza kualalishwa marekani. Ndio maana ninaiita nchi ya kishetani
 
Nenda kwenye madangulo na night club utajua jinsi Shetani anavyofanya kazi.
Tatizo lako watu wanatoa maoni yao halafu unachukia, inaonyesha upo bias ktk bandiko lako hilo, unataka comments zinazokufurahisha wewe
Ndoa za jinsia moja zilianza kualalishwa marekani. Ndio maana ninaiita nchi ya kishetani
 
Kwanza USA ni kama dangulo tu haifai kuitwa Nchi maana haina asili,ni sehemu ya kila MTU wa culture yoyote.
 
Ukiona Mtu povu linamtoka Sanaa ujue Mvaa Kobazi alafu huyo huyo Ripoti ya CAG ikisomwa Analalamika Eti Watu Wezi Alafu tukikupa Nafasi nenda Afghanistan Hutaki Sa Tukueleweje chagua 1
 
Back
Top Bottom