Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
-
- #201
Hii simulizi kwa wengine ni kama ndoto vile.Marekani kuzuri sana, hakuna Barabara za vumbi na maji hayakatiki, vitu muhimu kama chakula,umeme na maji ni bei rahisi sana karibu na bure, kazi nyingi sana kama unataka kazi huwezi kukosa, hakuna kuoneana kiboya kama polisi au wanasiasa wa bongo, Elimu bure mpaka high school, matibabu expensive lakini ni World class na yapo Kwa Kila mtu maana hata kama huna insurance utatibiwa tuu utatumiwa bill ila hawawezi kukuacha ufe, sehemu nyingi US ni kusafi kama peponi, standard ya Maisha ya mfanyakazi wa kiwandani US inamzidi waziri wa bongo ambaye sio mwizi, Kuna haki Kwa Kila mtu
Kwa ivo Marekani hakuna watu watakatifu...??Sababu shetani anakupa starehe zote za dunia ambazo ni temporary
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
WapoKwa ivo Marekani hakuna watu watakatifu...??
We dogo hizo akili zako kama unadhani watu wakipenda nchi basi ni sababu ya dini unapindi ukapime akili.Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Leo hii ukienda Marekani ukataka kuona mwanaume mwenzio utampata,ukitaka kuona Mbwa ruksa,ukitaka,kuolewa kama wewe ni mwanaume utaolewa.Yote hayo yanafanyika waziwazi kabisa na katiba Yao inaruhusu.Kwa ivo Marekani hakuna watu watakatifu...??
Kwenda night club sio dhambi mbele za mwenyezi Mungu, sasa mtu akienda night club hapo utasemaje kafanya dhambi ni dini ndizo zimekuja kupotosha mambo.Jibu rahisi tu. Mambo ya kishetani ndiyo yenye kuvutia zaidi watu hapa duniani. Si unaona hata night clubs....
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
uUkiishi kwenye nchi ipi hapa duniani ndiyo unakuwa umepita kwenye njia nyembamba!!??
Mbona hata Africa Kusini haya yote yanaruhusiwa??Leo hii ukienda Marekani ukataka kuona mwanaume mwenzio utampata,ukitaka kuona Mbwa ruksa,ukitaka,kuolewa kama wewe ni mwanaume utaolewa.Yote hayo yanafanyika waziwazi kabisa na katiba Yao inaruhusu.
Wafia dini hapa watakupiga mawe vibaya sana kwa hiliKwenda night club sio dhambi mbele za mwenyezi Mungu, sasa mtu akienda night club hapo utasemaje kafanya dhambi ni dini ndizo zimekuja kupotosha mambo.
Dini zinadanganya sana watu, sasa ukienda night club kisha baadae ukajiondokea ukarudi zako nyumbani hapo utakuwa umemkosea Mungu nini.
Unapomfanyia mwenzako kile ambacho wewe hupendi ufanyiwe hapo ndipo utakua umetenda dhambi, tofauti na hapo ni porojo tu za dini ambazo zimeletwa na wanadamu na sio Mungu.
Eti dini zinataka watu wavaeje na hata majina watumie majina gani na hata waowe wake wangapi kisha wanadai eti ni maagizo ya Mungu..!! Uongo mtupu na kutapeli watu kiakili.
Kama Iran ?Ni kheri nikaishi nchi za kiislamu kuliko huko, huko ni kwenda kutembea tu
Wewe ni mnafiki tu, mbona hujaenda Afghanistan, Yemen au hata Iran na kwanza watakufukuza kwamba wewe ni nyani na tena kafiri usiyestahili raha ya mabikra 72 wa akhera.Ni kheri nikaishi nchi za kiislamu kuliko huko, huko ni kwenda kutembea tu
Wafia dini gani wanafiki wakubwa hao.Wafia dini hapa watakupiga mawe vibaya sana kwa hili
Kwann watanzania wanatamani kwenda dar es Salaam wakati kila aina ya uchafu inaanzia na ipo ya kutosha kuanzia lbgt+ mpaka mauwaji, utekaji nk?Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Ndo maana idadi kubwa ya wanadamu wanatamani mambo ya dunia hii ambayo yamejaa marekaniHuwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Wewe ni mnafiki tu, mbona hujaenda Afghanistan, Yemen au hata Iran na kwanza watakufukuza kwamba wewe ni nyani na tena kafiri usiyestahili raha ya mabikra 72 wa akhera.