Kama Mbowe anaweza kuonewa. Je, mimi na Wewe tuko Salama?

Kwanini usipite kimya ? Ushabiki wa ki shule za kata dv 4 pereka Lumumba
Kwa nini mleta uzi anatuuliza?
Hivyo kila mtu anatoa maoni yake kama hatajakupendeza kwa nini usikae kimya upite kushoto kwenye comment yangu.
 
Hatupo salama kabisa tunahitaji katiba mpya ili siku moja wale wote walihusika kuumiz watu wachukuliw hatua kali
 
SISI TUNAWEZA HATA KUCHINJWA PALE POSTA KWENYE PICHA YA ASKARI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…