Kama Mbowe atatangaza kustaafu, Wajumbe wote mnatakiwa kumuunga mkono Lissu

Kama Mbowe atatangaza kustaafu, Wajumbe wote mnatakiwa kumuunga mkono Lissu

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Mwaka 2015 wakati Lowassa anaenguliwa kugombea urais ndani ya CCM ukumbi mzima ulilipuka na kuanza kuimba 'Tunaimani na Lowassa' maana 80% ya Wenyeviti wa mikoa CCM walikuwa upande wake.

Lakini baada ya Magufuli kuteuliwa kugombea wote waliokuwa upande wa Lowassa walitangaza kuvunja kambi na kumuunga mkono Magufuli.

Kwa ustawi wa chama, baada ya Mbowe kutangaza kung'atuka (kitu ambacho ni obvious), wajumbe wote waliokuwa upande wa M/Kiti Mbowe kuanzia Wenyeviti wa Mikoa, Wilaya vivyo hivyo kwa wanachama mnatakiwa kuvunja kambi zenu na kumuunga mkono Lissu kwa maslahi mapana ya chama, vinginevyo mtagawana mbao.

***Asubuhi njema na tafakuri njema wakati dunia ikisubiri kwa hamu tamko la Mwenyekiti.
 
Mwaka 2015 wakati Lowassa anaenguliwa kugombea urais ndani ya CCM ukumbi mzima ulilipuka na kuanza kuimba 'Tunaimani na Lowassa' maana 80% ya Wenyeviti wa mikoa CCM walikuwa upande wake.

Lakini baada ya Magufuli kuteuliwa kugombea wote waliokuwa upande wa Lowassa walitangaza kuvunja kambi na kumuunga mkono Magufuli.

Kwa ustawi wa chama, baada ya Mbowe kutangaza kung'atuka (kitu ambacho ni obvious), wajumbe wote waliokuwa upande wa M/Kiti Mbowe kuanzia Wenyeviti wa Mikoa, Wilaya vivyo hivyo kwa wanachama mnatakiwa kuvunja kambi zenu na kumuunga mkono Lissu kwa maslahi mapana ya chama, vinginevyo mtagawana mbao.

***Asubuhi njema na tafakuri njema wakati tukisubiri kwa hamu tamko la Mwenyekiti.
Kwa ustawi wa chama, baada ya Mbowe kutangaza kung'atuka (kitu ambacho ni obvious), wajumbe wote waliokuwa upande wa M/Kiti Mbowe kuanzia Wenyeviti wa Mikoa, Wilaya vivyo hivyo kwa wanachama mnatakiwa kuvunja kambi zenu na kumuunga mkono Lissu kwa maslahi mapana ya chama, vinginevyo mtagawana mbao.📌💪🏿🔨
 
Mwaka 2015 wakati Lowassa anaenguliwa kugombea urais ndani ya CCM ukumbi mzima ulilipuka na kuanza kuimba 'Tunaimani na Lowassa' maana 80% ya Wenyeviti wa mikoa CCM walikuwa upande wake.

Lakini baada ya Magufuli kuteuliwa kugombea wote waliokuwa upande wa Lowassa walitangaza kuvunja kambi na kumuunga mkono Magufuli.

Kwa ustawi wa chama, baada ya Mbowe kutangaza kung'atuka (kitu ambacho ni obvious), wajumbe wote waliokuwa upande wa M/Kiti Mbowe kuanzia Wenyeviti wa Mikoa, Wilaya vivyo hivyo kwa wanachama mnatakiwa kuvunja kambi zenu na kumuunga mkono Lissu kwa maslahi mapana ya chama, vinginevyo mtagawana mbao.

***Asubuhi njema na tafakuri njema wakati tukisubiri kwa hamu tamko la Mwenyekiti.
Lisu apigiwe kura ya hapana ikiwa mbowe atatangaza kustaafu,

na kwa hivyo Lisu akibaki pekeyake ulingoni, inafaa akataliwe kwa kura ya hapana, maana haukuna namna nyingine sasa ya kidemokrasia :pedroP:
 
Mwaka 2015 wakati Lowassa anaenguliwa kugombea urais ndani ya CCM ukumbi mzima ulilipuka na kuanza kuimba 'Tunaimani na Lowassa' maana 80% ya Wenyeviti wa mikoa CCM walikuwa upande wake.

Lakini baada ya Magufuli kuteuliwa kugombea wote waliokuwa upande wa Lowassa walitangaza kuvunja kambi na kumuunga mkono Magufuli.

Kwa ustawi wa chama, baada ya Mbowe kutangaza kung'atuka (kitu ambacho ni obvious), wajumbe wote waliokuwa upande wa M/Kiti Mbowe kuanzia Wenyeviti wa Mikoa, Wilaya vivyo hivyo kwa wanachama mnatakiwa kuvunja kambi zenu na kumuunga mkono Lissu kwa maslahi mapana ya chama, vinginevyo mtagawana mbao.

***Asubuhi njema na tafakuri njema wakati dunia ikisubiri kwa hamu tamko la Mwenyekiti.
Kuna watu kama Yericko Nyerere wwmeshaonesha wazi ni mapandikizi kutoka CCM, usitegemee watakubaliana na hilo. Wataweka dodoki lao ili wapate kilinge cha kumpigia kampeni hasi Lisu.

Unapoona Yericko anafanyakazi chini ya maelekezo ya Lucas Mwashambwa au chini ya mbatata Tlaatlaah basi ujue CCM imesimama baada ya Lisu kurejesha fomu
 
Mwaka 2015 wakati Lowassa anaenguliwa kugombea urais ndani ya CCM ukumbi mzima ulilipuka na kuanza kuimba 'Tunaimani na Lowassa' maana 80% ya Wenyeviti wa mikoa CCM walikuwa upande wake.

Lakini baada ya Magufuli kuteuliwa kugombea wote waliokuwa upande wa Lowassa walitangaza kuvunja kambi na kumuunga mkono Magufuli.

Kwa ustawi wa chama, baada ya Mbowe kutangaza kung'atuka (kitu ambacho ni obvious), wajumbe wote waliokuwa upande wa M/Kiti Mbowe kuanzia Wenyeviti wa Mikoa, Wilaya vivyo hivyo kwa wanachama mnatakiwa kuvunja kambi zenu na kumuunga mkono Lissu kwa maslahi mapana ya chama, vinginevyo mtagawana mbao.

***Asubuhi njema na tafakuri njema wakati dunia ikisubiri kwa hamu tamko la Mwenyekiti.
Umenena vema. Ndiyo maana siku zote ni vema kuwa na akiba ya maneno.
 
Mwaka 2015 wakati Lowassa anaenguliwa kugombea urais ndani ya CCM ukumbi mzima ulilipuka na kuanza kuimba 'Tunaimani na Lowassa' maana 80% ya Wenyeviti wa mikoa CCM walikuwa upande wake.

Lakini baada ya Magufuli kuteuliwa kugombea wote waliokuwa upande wa Lowassa walitangaza kuvunja kambi na kumuunga mkono Magufuli.

Kwa ustawi wa chama, baada ya Mbowe kutangaza kung'atuka (kitu ambacho ni obvious), wajumbe wote waliokuwa upande wa M/Kiti Mbowe kuanzia Wenyeviti wa Mikoa, Wilaya vivyo hivyo kwa wanachama mnatakiwa kuvunja kambi zenu na kumuunga mkono Lissu kwa maslahi mapana ya chama, vinginevyo mtagawana mbao.

***Asubuhi njema na tafakuri njema wakati dunia ikisubiri kwa hamu tamko la Mwenyekiti.
Na kama akitangaza kugombea wenyeviti wafanye nini?
 
Kuna watu kama Yericko Nyerere wwmeshaonesha wazi ni mapandikizi kutoka CCM, usitegemee watakubaliana na hilo. Wataweka dodoki lao ili wapate kilinge cha kumpigia kampeni hasi Lisu.

Unapoona Yericko anafanyakazi chini ya maelekezo ya Lucas Mwashambwa au chini ya mbatata Tlaatlaah basi ujue CCM imesimama baada ya Lisu kurejesha fomu
Mimi nafikiri Yericko ana uhuru wa kuchagua mtu anayemwamini lkn uchaguzi ukiisha lazima ataungana na kundi la ushindi, kila mtu anamhitaji mwingine na kila mwanachama ana mchango wake.
 
Kuna watu kama Yericko Nyerere wwmeshaonesha wazi ni mapandikizi kutoka CCM, usitegemee watakubaliana na hilo. Wataweka dodoki lao ili wapate kilinge cha kumpigia kampeni hasi Lisu.

Unapoona Yericko anafanyakazi chini ya maelekezo ya Lucas Mwashambwa au chini ya mbatata Tlaatlaah basi ujue CCM imesimama baada ya Lisu kurejesha fomu
naona laana ya BAWACHA ya kuchoma vitenge imeanza kuwatembelea hadi vibwengo dah :pedroP:
 
Wewe ni Nani mpaka kuingilia mambo ya CDM wakati wewe ni mfuasi wa CCM?
Huwa najiuliza sana hili swali ; hivi wanaccm wana masilahi gani na uenyekiti wa Mbowe? Kama Mbowe na yeye ameshajiuliza hili swali haya madudu yanayoendelea kufumuliwa yasingetokea. Kuna damage kubwa sana imeshafanyika beyond control.
 
Lissu angetaka kuukwaa uewenyekiti ki ulaini asingetumia approch kama hiyo - kuanza kuwashambulia viongozi wenzake kwa tuhuma ambazo ni za ki jumla jumla wakati yeye pia akiwa miongoni mwa hao hao watoa maamuzi wa chama.

Sasa mtu kama huyo unamwamini vipi kumkabishi taasisi nyeti kama CDM.

Ni hivi, mwenyekiti mpya ajaye wa CDM either katika uchaguzi huu au ama ujao ni LAZIMA apate baraka toka kwa Mwemyekiti wa sasa Mbowe, yaani hata kama hujui siasa ila hili ni la wazi kabisa.

Kwa hiyo Lissu kama hatapata baraka zote za Mh. Mbowe katika hili jambo lake alilotangaza basi ausahau uwenyekiti kabisa sababu hatapata kura hata 15.
 
Back
Top Bottom