mbaghato chaka
JF-Expert Member
- Jun 6, 2021
- 521
- 664
Nani alishalazimishwa kufata dini asoitaka?soma post namba 71 kwenye huu uzi
Zanzibar: Kanisa la T.A.G pamoja na makazi ya Mchungaji wake Daudi Suna, yamebomolewa na wanaodaiwa ni wakazi wa eneo hilo
Sijakataa Saudia wakisto wapo Nchi zote za kiaarabu wapo ila Nchi zote za kiarabu makanisa hamna labla Dubai japo siwezi kuweka asilimia [emoji817] Saudia nimekaa so usishupaze shingo.kuhusu kufanya ibada wana swali kwenye nyumba zao walizo panga hivi unaongelea Saudia ambayo hata kushikana...www.jamiiforums.com
Kama wewzanzibar ni makhuma tu
Kwanini jamii za imani ya kikristo zionekane kama ni wavamizi, wapitaji na wageni waliokosa mwenyeji kila mara huko Zanzibar?Nimeshuhudia taarifa na video mtandaoni ikionyesha kanisa dogo la TAG maeneo ya Zanzibar likivunjwa na greda kwa amri ya wakuu fulani wa serikali wa Zanzibar.
Sababu za kimsingi za hayo kutokea ni kukosekana kwa uvumilivu wa kidini kwa baadhi ya wakazi wa Zanzibar dhidi ya imani zingine, jambo ambalo linalindwa na watawala wa Zanzibar kwa miongo yote. Japokuwa wakuu wa serikali huko Zanzibar wamekuja na sababu nyingine duni na kijinga (wanadai wamevunja kanisa hilo kwa sababu za taarifa za kitisho cha hali ya hewa kuhusu mvua inayoweza kuleta mafuriko maeneo hayo!)
Tunapaswa kutambua haya.
1. Karibu mitaa yote ya Zanzibar kuna misikiti mikubwa au midogo.
2. Karibu misikiti yote ya Zanzibar ina vipaza sauti (horn speaker) zinazopiga adhana kila siku kutwa mara tano.
3. Karibu misikiti yote ya Zanzibar imejengwa kwenye makazi ya watu au jirani kabisa na makazi ya watu.
4. Mpaka sasa Zanzibar haina maeneo rasmi ya wazi yaliyotengwa mahususi kujenga nyumba za Ibada tu na kujulikana kwa watu wote.
5. Serikali ya Zanzibar na serikali ya Tanzania kikatiba zote hazina dini na hazipaswi kufuata mlengo wa imani yoyote ya kidini zaidi ya kuheshimu na kulinda uhuru wa imani zote.
MAMBO MUHIMU YA KUTAFAKARI
-Kwanini kuwe na shida kila mara dhidi ya taasisi za kikristo zinapotaka kujenga makanisa, kuabudu kwa uhuru au kueneza imani yao maeneo ya Zanzibar?
-Kwanini Serikali ya mapinduzi Zanzibar na serikali ya muungano zinashindwa kulinda uhuru wa kuabudu kwa wakristo waliopo Zanzibar?
-Kwanini jamii za imani ya kikristo zionekane kama ni wavamizi, wapitaji na wageni waliokosa mwenyeji kila mara huko Zanzibar?
TAFAKARI
Mkiambiwa hivi na wakristo mnasema ni islamaphobia !akina zumaridi nao wajenge makanisa yao. Uhuru wa kupitiliza hauna maana. makanisa yaliyopo hamjajaza mnajenga makanisa mengine ya nini
Subili nikitoka adhuhuriJibu hoja
Naona kuna tatizo hapa ; masharti, vigezo, desturi, imani na tamaduni haikuzingatiwa.
Unaweza kumiliki eneo lakini kuna masuala mtambuka ambayo mnunuzi hakuyazingatia akayaona ni mepesi, kumbe kuna mengine hayaandikwi lakini yanafuatwa na jamii husika wakaazi wenyeji wa mwanzo kabisa .
Serikali inaongozwa na watu, ila watu hao wana imani, desturi, tamaduni pia taratibu zao hivyo mtu makini hawezi kupuuza yale ambayo hayajaandikwa katika katiba.
Mfano hai wa babu zetu wanaelezea umuhimu wa utamaduni wao na unavyowasaidia kuishi wao kama jamii kwa amani
Nimeshuhudia taarifa na video mtandaoni ikionyesha kanisa dogo la TAG maeneo ya Zanzibar likivunjwa na greda kwa amri ya wakuu fulani wa serikali wa Zanzibar.
Sababu za kimsingi za hayo kutokea ni kukosekana kwa uvumilivu wa kidini kwa baadhi ya wakazi wa Zanzibar dhidi ya imani zingine, jambo ambalo linalindwa na watawala wa Zanzibar kwa miongo yote. Japokuwa wakuu wa serikali huko Zanzibar wamekuja na sababu nyingine duni na kijinga (wanadai wamevunja kanisa hilo kwa sababu za taarifa za kitisho cha hali ya hewa kuhusu mvua inayoweza kuleta mafuriko maeneo hayo!).
Tunapaswa kutambua haya.
1. Karibu mitaa yote ya Zanzibar kuna misikiti mikubwa au midogo.
2. Karibu misikiti yote ya Zanzibar ina vipaza sauti (horn speaker) zinazopiga adhana kila siku kutwa mara tano.
3. Karibu misikiti yote ya Zanzibar imejengwa kwenye makazi ya watu au jirani kabisa na makazi ya watu.
4. Mpaka sasa Zanzibar haina maeneo rasmi ya wazi yaliyotengwa mahususi kujenga nyumba za Ibada tu na kujulikana kwa watu wote.
5. Serikali ya Zanzibar na serikali ya Tanzania kikatiba zote hazina dini na hazipaswi kufuata mlengo wa imani yoyote ya kidini zaidi ya kuheshimu na kulinda uhuru wa imani zote.
MAMBO MUHIMU YA KUTAFAKARI
-Kwa nini kuwe na shida kila mara dhidi ya taasisi za Kikristo zinapotaka kujenga makanisa, kuabudu kwa uhuru au kueneza imani yao maeneo ya Zanzibar?
-Kwa nini Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na serikali ya muungano zinashindwa kulinda uhuru wa kuabudu kwa wakristo waliopo Zanzibar?
-Kwa nini jamii za imani ya Kikristo zionekane kama ni wavamizi, wapitaji na wageni waliokosa mwenyeji kila mara huko Zanzibar?
TAFAKARI
Majority ni Waislam lakini wakristu pia wapo.Haki za minority ziheshimiwe unless ingekuwa declared ni nchi inayoongozwa kwa sharia.
Zanzibar tuna jamaa zetu wakristu wengi tu wanakaa huko kwa hiyo hiyo notion ya kuwa ni nchi ya waislamu tupa kule.
Aliyekwambia ni nani kuwa anaejilipua anakwenda peponi? Ukitaka kuwa na majadiliano ya namna hii basi kwanza pata elimu sahihi. Hakuna sehemu yeyote ile katika dini yetu inaposema kuwa ukijiua unaingia peponi. Usibabaishwe na wanaojilipua au kuwaambia wenziwao wajilipue kwa manufaa ya siasa zao na za nchi zao. Pia jihad sio kujiua bali ni KUPIGANIA dini ya kiislamu kwa hali mali na nafsi. Nimeweka neno kupigana kwa herufi kubwa kwa sababu kupigana ni tafauti na kujiua.Sio hamtaki kupotoshwa ila mnataka nyie na watoto na vizazi vyenu visiione pepo kwa mafundisho ya uongo na ya chuki..... Eti ukijilipua unaenda peponi huyo allah wenu bana aisee....
Kwasababu ni mali ya mwingerezaZanzibar kuna makanisa mangapi? kanisa kubwa kabisa la kihistoria lipo zanzibar na halijabomolewa... Kwanini libomolewe hilo???
Dini zote ni keroHili Swala inabidi tuliendee bila kutumia hisia,nani hajui KERO ya makanisa ya kilokole yaliyotapakaa kila Kona ya nchi hii,kwa wakazi wa Dar,pale kawe Kuna makanisa kila Kona,yamefunga maspika makubwa,yaani yakiachia mziki mpaka mtaa wa saba masikio yanauma,Hawa wachungaji wa jasiliamali wao ni kuanzisha Kanisa kila Kona na mziki usiokoma.
Adhana ya waislam hai haichukui hata nusu saa,wakati ibada za kilokole ni siku nzima kuanzia saa sita na kuendelea.yule taperi mfalme zumaridi aliyekamatwa mwanza ni kwa sababu ya KERO,angekuwa amekamatwa Zenj,ingekuwa story nyingine.
Kwa Zenj,na nchi nyingi zenye wakristo kama minority group,kuwa na Kanisa au kuabudu kwa uhuru ni shida kidogo,hili serikali inabidi iliweke vzr.sasa kuhusu hilo Kanisa huko Zenj,lilijengwa kwa vibali?au ndio kama huku Bongo,yanaanzishwa kama uyoga Ili kupiga sadaka
Tanzania kuna uhuru wa kuabudu, sasa mimi nikifungua kilinge changu ni kosa kisa 90% ni watu wa dini hilo eneo. Kama dini haikuhusu pita tuuMimi naona huyo jamaa aliyejenga kanisa hapo hakufanya sawa. Kwasababu asilimia 98 ya wazanzibar ni waislam. Ni hatari hata kwa maisha yake japo gharama ya ukristo ni zaidi ya uhai na mali. Kuna vitu vingine unatumia tu common sense na kupotezea.
Unaonaje ndugu kama utaenda kuwasaidia kutekeleza hilo pendekezo lako?Wayabomoe basi kwakua tayari yapo katikati ya makazi ya watu.
Wazinzibar hawana tofauti na mwanamke Malaya kitu chao ni chao ila chako cha wote,kama kununua tu ardhi shida basi huo muungano unashida
Kwa steji uliyofikia wakitokea wale jamaa wa itikadi kali wakakubrainwash kidogo tu unatembeza mjegeja hata kwa familia yako.Wadanganyika mnakimbele mbele kweli kwenda kujenga makanisa huko kuna kipindi mlikuwa mnauliwa mnapigwa lakini hamkomi...Wangetia moto makanisa yote sio Catholic wala Anglican warelax wenyewe katika ardhi yao,nyinyi mnawawekea kiwingu
Kuna umuhimu kufuata sheria na utamaduni katika kujenga Nyumba za ibada. Serikali ya Zanzibar inafanya vizuri kuthibiti ujengaji holela wa makanisa kama ilivyo sasa hivi huko bara!! Watu wanageuza makazi yao kuwa nyumba za ibada na hivyo kuwa kero kwa Majirani yote hiyo kwa kisingizio cha kuabudu. Kuabudu bila nidhamu na mpangilio inakuwa ni fujo!! Zanzibar msiruhusu huo utitili kwani mmejionea kero zinazopatikana na haya makanisa. Uzoefu pia umeonesha kuwa haya makanisa yamekuwa biashara na mengine hujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.Hizi dini ni ujinga mtupu