Rudia kusoma nilicho andika halafu nitajie Mataifa ya Kiislamu niliyoyasahau ambayo wanachinjana kweli sio utani kama unavyosema..Lakini kwenye kutaja mataifa ya kiislamu kama umeedit hivi bro maana yako mengi na wanachnjana kweli sio utani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudia kusoma nilicho andika halafu nitajie Mataifa ya Kiislamu niliyoyasahau ambayo wanachinjana kweli sio utani kama unavyosema..Lakini kwenye kutaja mataifa ya kiislamu kama umeedit hivi bro maana yako mengi na wanachnjana kweli sio utani.
Misikiti haijengwi tu huko chochoroni bila ya ridhaa ya wakaazi wa hizo chochoro.Wanathibiti makanisa ila misikiti inajengwa kila uchochoro hapo unaona sawa? Kwenu kanisa mnaona kama nini kwa mfano ni threat kwenu?
Na wao je, waondoke Bara?Waachieni kisiwa chao ondokeni huko
Ndio waondokeNa wao je, waondoke Bara?
😂😂Ndio waondoke
Wana ubinafsi wa kupitiliza😂😂
Kwa wao, Tanganyika ni shamba la Bibi.
Pia, wanapenda mikopo wanayokopewa na Tanganyika, na ardhi pia!
Aliyekwambia ni nani kuwa anaejilipua anakwenda peponi? Ukitaka kuwa na majadiliano ya namna hii basi kwanza pata elimu sahihi. Hakuna sehemu yeyote ile katika dini yetu inaposema kuwa ukijiua unaingia peponi. Usibabaishwe na wanaojilipua au kuwaambia wenziwao wajilipue kwa manufaa ya siasa zao na za nchi zao. Pia jihad sio kujiua bali ni KUPIGANIA dini ya kiislamu kwa hali mali na nafsi. Nimeweka neno kupigana kwa herufi kubwa kwa sababu kupigana ni tafauti na kujiua.
Allah wetu? Hivi wewe unaamini vipi kuwa yesu ni mungu aloumba ulimwengu na watu wake halafu akamfanya mtu mmoja mja mzito ili azaliwe yeye! Akili gani hizo? sasa kwa muda wa miezi tisa nani kulikuwa hakuna mungu? Hivi nyinyi mna akili za aina gani hadi mkaamini utatu? Eti m ungu ndie huyo huyo mtoto, halafu tena mungu huyo huyo eti akawaezesha watu wamuue mtoto wake, ambae ni yeye mwenyewe ili aweze kuwasamehe! WTF?
Unaposema kero kwenye makanisa na misikiti inayojengwa kama utitiri je haileti kero?
Siungi mkono ya Putinumewahi kufikiri athari zinazoweza kutokea? unavyoona putin anaivamia ukrain sio kwa sababu ni mbabe tu ila ana sababu zake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sjajua kwanini huu uzi umenichekesha tu aiseeNimeshuhudia taarifa na video mtandaoni ikionyesha kanisa dogo la TAG maeneo ya Zanzibar likivunjwa na greda kwa amri ya wakuu fulani wa serikali wa Zanzibar.
Sababu za kimsingi za hayo kutokea ni kukosekana kwa uvumilivu wa kidini kwa baadhi ya wakazi wa Zanzibar dhidi ya imani zingine, jambo ambalo linalindwa na watawala wa Zanzibar kwa miongo yote. Japokuwa wakuu wa serikali huko Zanzibar wamekuja na sababu nyingine duni na kijinga (wanadai wamevunja kanisa hilo kwa sababu za taarifa za kitisho cha hali ya hewa kuhusu mvua inayoweza kuleta mafuriko maeneo hayo!).
Tunapaswa kutambua haya.
1. Karibu mitaa yote ya Zanzibar kuna misikiti mikubwa au midogo.
2. Karibu misikiti yote ya Zanzibar ina vipaza sauti (horn speaker) zinazopiga adhana kila siku kutwa mara tano.
3. Karibu misikiti yote ya Zanzibar imejengwa kwenye makazi ya watu au jirani kabisa na makazi ya watu.
4. Mpaka sasa Zanzibar haina maeneo rasmi ya wazi yaliyotengwa mahususi kujenga nyumba za Ibada tu na kujulikana kwa watu wote.
5. Serikali ya Zanzibar na serikali ya Tanzania kikatiba zote hazina dini na hazipaswi kufuata mlengo wa imani yoyote ya kidini zaidi ya kuheshimu na kulinda uhuru wa imani zote.
MAMBO MUHIMU YA KUTAFAKARI
-Kwa nini kuwe na shida kila mara dhidi ya taasisi za Kikristo zinapotaka kujenga makanisa, kuabudu kwa uhuru au kueneza imani yao maeneo ya Zanzibar?
-Kwa nini Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na serikali ya muungano zinashindwa kulinda uhuru wa kuabudu kwa wakristo waliopo Zanzibar?
-Kwa nini jamii za imani ya Kikristo zionekane kama ni wavamizi, wapitaji na wageni waliokosa mwenyeji kila mara huko Zanzibar?
TAFAKARI
[emoji23][emoji23] masa alkhayr bwanaAliekwambia serekali haina dini nani ? Zanzibar wakaazi wake wa kiislamu lakini skuli zinafuata kalenda ya kikristo na wala hawajalalmika miaka yote wakati wao ndio majority.
Tumeondoshewa lugha ya kiarabu ambayo inaendana na uislamu sasa imekuwa kiengereza ili watu wafahamu biblia vizuri. Bado waislamu wa Zanzibar wamekaa kimya.
Mie nadhani huo uvumilivu unaotaka wewe utakuwa labda ni woga. Serekali lazima ina dini kwa maana serekali ni watu. Na watu wote wana dini zao!
Wacha wakristo wajaze hayo makanisa walioyo nayo kwanza kabla hawajajenga mengine!
Maasalaam,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] duh!Kuna sababu sio bure.. Nadhani itakuwa ni noise pollution si unajua tena walokole FULL KUPIGA MAKELELE, MZIKI MNENE KAMA DISCO.
Makanisa ya kistaarabu kama Catholic mbona yanahudumia wakristo wa Zanzibar bila tatizo lolote tokea enzi za Sultan..?
Fundisho:
Ukienda kwa mamwinyi kuwa na ibada za kistaarabu, watu washatoka kupiga urojo, gahwa wamepumzika wewe unawapigia makelele? Wengine wanamabusha.. teh teh
Kwamba Tanganyika ni ya watu wa dini fulani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu uwe unawaza cha kuandika aisee you sound stupid !Wao pia waondoke huku?
Sasa mtu unatoka Ipogolo unaenda kutafuta kiwanja mchamba wima una akili timamu kweli?Mkuu sio kujenga makanisa tu hata mtanganyika kununua na kumiliki kipande cha ardhi huko visiwani ni ndoto ya alinacha tena ukiwa mgalatia ndio usahau kabisa
Msalimie Zumaridi.Hakuna wakukemea hapo
Huo ujinga huwa wanaufurahia kimoyo moyo
Ndio maana umeendelea kuwepo mpaka leo