Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Lakini kwenye kutaja mataifa ya kiislamu kama umeedit hivi bro maana yako mengi na wanachnjana kweli sio utani.
Rudia kusoma nilicho andika halafu nitajie Mataifa ya Kiislamu niliyoyasahau ambayo wanachinjana kweli sio utani kama unavyosema..
 
Wanathibiti makanisa ila misikiti inajengwa kila uchochoro hapo unaona sawa? Kwenu kanisa mnaona kama nini kwa mfano ni threat kwenu?
Misikiti haijengwi tu huko chochoroni bila ya ridhaa ya wakaazi wa hizo chochoro.

Wazenji ni wakarimu sana kwa wageni wao, ongeeni nao vizuri wanaweza hata kukuachieni msikiti mkaugeuza kanisa almuhimu ridhaa ya wakaazi wa hilo eneo tu.
 
Aliyekwambia ni nani kuwa anaejilipua anakwenda peponi? Ukitaka kuwa na majadiliano ya namna hii basi kwanza pata elimu sahihi. Hakuna sehemu yeyote ile katika dini yetu inaposema kuwa ukijiua unaingia peponi. Usibabaishwe na wanaojilipua au kuwaambia wenziwao wajilipue kwa manufaa ya siasa zao na za nchi zao. Pia jihad sio kujiua bali ni KUPIGANIA dini ya kiislamu kwa hali mali na nafsi. Nimeweka neno kupigana kwa herufi kubwa kwa sababu kupigana ni tafauti na kujiua.

Allah wetu? Hivi wewe unaamini vipi kuwa yesu ni mungu aloumba ulimwengu na watu wake halafu akamfanya mtu mmoja mja mzito ili azaliwe yeye! Akili gani hizo? sasa kwa muda wa miezi tisa nani kulikuwa hakuna mungu? Hivi nyinyi mna akili za aina gani hadi mkaamini utatu? Eti m ungu ndie huyo huyo mtoto, halafu tena mungu huyo huyo eti akawaezesha watu wamuue mtoto wake, ambae ni yeye mwenyewe ili aweze kuwasamehe! WTF?

Yaani sisi kuamini utatu ndo mchome makanisa yetu? Nikiwa raisi mimi nawahamishia waislamu wote iraq na syria huko ndo kuna wenzao wasiopenda amani
 
Unaposema kero kwenye makanisa na misikiti inayojengwa kama utitiri je haileti kero?

Ni kero pale nyumba za kuishi zinapobadilishwa kuwa nyumba za ibada sehemu ambayo haikutengwa kujenga nyumba za ibada!! Kwa wale wanaoishi Dar. ni mashahidi Jinsi kero hii inavyoathiri amani ya watu kwa watu kukesha huku wakiimba kwenye makazi ya watu na hivyo kushindwa kupumzika baada ya kazi zao!! Utitili wa makanisa ya kilokole umekithiri na zaidi ya kusema wanafanya ibada wamejiingiza kwenye Biashara ya madawa ya kulevya wakishirikiana na wageni hasa wanigeria!!!
 
Zanzibar nchi nyingine mkuu , hivi Yule alisema tukiacha Zanzibar si itakua alqaida alikua nani vile?
 
Nimeshuhudia taarifa na video mtandaoni ikionyesha kanisa dogo la TAG maeneo ya Zanzibar likivunjwa na greda kwa amri ya wakuu fulani wa serikali wa Zanzibar.

Sababu za kimsingi za hayo kutokea ni kukosekana kwa uvumilivu wa kidini kwa baadhi ya wakazi wa Zanzibar dhidi ya imani zingine, jambo ambalo linalindwa na watawala wa Zanzibar kwa miongo yote. Japokuwa wakuu wa serikali huko Zanzibar wamekuja na sababu nyingine duni na kijinga (wanadai wamevunja kanisa hilo kwa sababu za taarifa za kitisho cha hali ya hewa kuhusu mvua inayoweza kuleta mafuriko maeneo hayo!).

Tunapaswa kutambua haya.
1. Karibu mitaa yote ya Zanzibar kuna misikiti mikubwa au midogo.

2. Karibu misikiti yote ya Zanzibar ina vipaza sauti (horn speaker) zinazopiga adhana kila siku kutwa mara tano.

3. Karibu misikiti yote ya Zanzibar imejengwa kwenye makazi ya watu au jirani kabisa na makazi ya watu.

4. Mpaka sasa Zanzibar haina maeneo rasmi ya wazi yaliyotengwa mahususi kujenga nyumba za Ibada tu na kujulikana kwa watu wote.

5. Serikali ya Zanzibar na serikali ya Tanzania kikatiba zote hazina dini na hazipaswi kufuata mlengo wa imani yoyote ya kidini zaidi ya kuheshimu na kulinda uhuru wa imani zote.

MAMBO MUHIMU YA KUTAFAKARI
-Kwa nini kuwe na shida kila mara dhidi ya taasisi za Kikristo zinapotaka kujenga makanisa, kuabudu kwa uhuru au kueneza imani yao maeneo ya Zanzibar?

-Kwa nini Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na serikali ya muungano zinashindwa kulinda uhuru wa kuabudu kwa wakristo waliopo Zanzibar?

-Kwa nini jamii za imani ya Kikristo zionekane kama ni wavamizi, wapitaji na wageni waliokosa mwenyeji kila mara huko Zanzibar?

TAFAKARI
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sjajua kwanini huu uzi umenichekesha tu aisee
 
Aliekwambia serekali haina dini nani ? Zanzibar wakaazi wake wa kiislamu lakini skuli zinafuata kalenda ya kikristo na wala hawajalalmika miaka yote wakati wao ndio majority.

Tumeondoshewa lugha ya kiarabu ambayo inaendana na uislamu sasa imekuwa kiengereza ili watu wafahamu biblia vizuri. Bado waislamu wa Zanzibar wamekaa kimya.

Mie nadhani huo uvumilivu unaotaka wewe utakuwa labda ni woga. Serekali lazima ina dini kwa maana serekali ni watu. Na watu wote wana dini zao!

Wacha wakristo wajaze hayo makanisa walioyo nayo kwanza kabla hawajajenga mengine!

Maasalaam,
[emoji23][emoji23] masa alkhayr bwana
 
Kuna sababu sio bure.. Nadhani itakuwa ni noise pollution si unajua tena walokole FULL KUPIGA MAKELELE, MZIKI MNENE KAMA DISCO.

Makanisa ya kistaarabu kama Catholic mbona yanahudumia wakristo wa Zanzibar bila tatizo lolote tokea enzi za Sultan..?

Fundisho:
Ukienda kwa mamwinyi kuwa na ibada za kistaarabu, watu washatoka kupiga urojo, gahwa wamepumzika wewe unawapigia makelele? Wengine wanamabusha.. teh teh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] duh!
 
Back
Top Bottom