Kama mitandao ya kijamii ingekuwa inapiga Kura basi CHADEMA ingekuwa madarakani vinginevyo acheni CCM itawale

Kama mitandao ya kijamii ingekuwa inapiga Kura basi CHADEMA ingekuwa madarakani vinginevyo acheni CCM itawale

Mwaka 2020 magufuli alipigiwa kura za ndiyo siku 2 kabla ya uchaguzi mkuu. Vijana waliofanya hiyo kazi waliahidiwa kupewa 5000/= mpaka leo hawajapewa . ( ushahidi upo)
Vituo vilifunguliwa saa 9 usiku na kazi ilikuwa kutumbukiza kura kwa wagombea wa ccm
 
Habari JF,

Hivi kama watu, hasa vijana hampigi kura nini mnategemea? Katika Uchaguzi mkuu wa 2020 watanzania waliojiandikisha kupiga Kura ni milioni 29.8 , lakini ambao hawakupiga kura ni milioni 14.8.

Sasa kama watu milioni 14.8 hawakupiga kura, si ndio hawa wanaojaza mikutano ya CHADEMA na kusumbua Social media ?Maana kwa Uzoefu wangu Wana CCM mambo ya Chama na Uchaguzi wako serious nayo sana hivyo hilo ni kundi kubwa la Upinzani.

Watu hawajapiga kura ,wameshindwa Uchaguzi ,hawatambui matokeo mambo mengine kama Bunge inabidi yaendelea JPM angefanyaje ? Hivyo nyie wenyewe ndio chanzo cha kina Halima na wenzake .

CHADEMA na vyama vingine anzeni kuelimisha wananchi umuhimu wa kupira kura muache kulialia kwenye media , mimi siku ya Uchaguzi nlikutana na vijana kama watatu hawajapiga Kura wote sababu kwamba kura Yake 1 itabadilisha nini?

Hizi kelele za mitandaoni ni watu wachache sana.​
Hata Mungu wako aliyeko kuzimu kabla hajafa alaitamani mitandao ya simu ingefungwa yote lakini ameiacha mitandao ikiendelea kumuelezea kuwa alikuwa shujaa wa wajinga.
 
Back
Top Bottom