Kama mke wako ni pisi Kali na anafanya kazi kwenye makao makuu ya halmashauri au kwa DC nakuapia wale vijana wa idara pendwa wakimtaka hachomoi

Kama mke wako ni pisi Kali na anafanya kazi kwenye makao makuu ya halmashauri au kwa DC nakuapia wale vijana wa idara pendwa wakimtaka hachomoi

Nimekusoma

Ila wanakutanaga na vyuma kuna wanaume

Wengine wakishajua kinguvu hawawezi wao
Wana mshtakia mungu

Kuna mtu alikuwa mzito alikuwa anajipigia mke wa jamaa tena kibabe dharau

Mme akasoteshwa,akaamua kukaa pembeni

Yule kigogo mpk leo mtu wa kukaa kitandani tu

Sijui nn alifanyiwa[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
Uchawi huo.

Waafrika uchawi wetu una nguvu sana. Hivi kwanini tusitumie uchawi kuroga tuchukue kombe la dunia?
 
Mbona unaongea vitu vya hovyo, Hawa jamaa mbona njaa kali sana tunakaa nao na mikuki Yao ya bia kibao mara nauli, mkuu usiseme vitu ambavyo huna uhakika navyo kuwapaisha watu hawana lolote naongea kwa experience siyo hearsay!!
Mambo mengine siwezi zungumza hapa ila machache nimesema wazazi, madogo, binamu, Kaka, dada was there and others still there don't live live with assumptions man of God
Upo sahihi kabisa.Wapo wengine ni ndugu zetu wana njaa kali hela hawana wanagongea hadi hela za nauli.

Wanaonufaika zaidi nk wale top lakini hawa wadogo ni masikini kama walivyo watumishi wengine.Tatizo watu wanaaminishwa sana na story za vijiweni ila sie tunaishi nao kabisa ni choka mbaya.
 
Wenzetu mnaoaga wanawake wa wapi? Sina mke ila Nina MPENZI. Nina muamini zaidi ya 100% na ni kisu cha haja with brain.
Naweza kua nae mbali miez hata miwili na hana tatizo na sijawahi ona dalili wala matendo ya uhuni. Kifup ni Mwanamke na Nusu.
Kwa anaebisha mimi najitolea kumpa namba ajaribu aone nachosema. Kifupi ni kisu na nusu
Usipime kina kwa kudumbukia, ipo siku hutaamini macho yako!!! Again don't ever trust a waman
 
Wenzetu mnaoaga wanawake wa wapi? Sina mke ila Nina MPENZI. Nina muamini zaidi ya 100% na ni kisu cha haja with brain.
Naweza kua nae mbali miez hata miwili na hana tatizo na sijawahi ona dalili wala matendo ya uhuni. Kifup ni Mwanamke na Nusu.
Kwa anaebisha mimi najitolea kumpa namba ajaribu aone nachosema. Kifupi ni kisu na nusu
Daaah usifanye hivi mkuu, usitoe namba
 
Wale vijana kwenye ile idara kwanza ni wapole na sio wazungumzaji Sana Ila vikao vyote top vya DC au DED wanakuwepo. Na huwa hawaongei Sana ni wakimya Ila wenye nguvu za kimamlaka hatar.

Kama mke ni pis Kali wakimtaka watamla tuuuu huwezi bisha. Kwanza wanafahamika kwa uwazi kutokana na shughuli za kila siku za kiserikali halafu kitengo Chao kinaogopewa kinyama halafu kwasababu wana hela chafu na wako smart aisee nkeo piskali itakuwa tu jamaa yangu.

Hayo ndio maisha.
Yani mkeo kaliwa ndio mrejesho au mimi tuu ndio sielewi apa
 
Wenzetu mnaoaga wanawake wa wapi? Sina mke ila Nina MPENZI. Nina muamini zaidi ya 100% na ni kisu cha haja with brain.
Naweza kua nae mbali miez hata miwili na hana tatizo na sijawahi ona dalili wala matendo ya uhuni. Kifup ni Mwanamke na Nusu.
Kwa anaebisha mimi najitolea kumpa namba ajaribu aone nachosema. Kifupi ni kisu na nusu
Mkuu tema mate chini . We ndio wakumwamin mwanamke kwa asilimia tajwa apo?? Uwiiiii....ngoja tusubir mzunguko wa dunia ukamilike 🤣🤣ila ....dah ! Time will tell
 
Wale vijana kwenye ile idara kwanza ni wapole na sio wazungumzaji Sana Ila vikao vyote top vya DC au DED wanakuwepo. Na huwa hawaongei Sana ni wakimya Ila wenye nguvu za kimamlaka hatar.

Kama mke ni pis Kali wakimtaka watamla tuuuu huwezi bisha. Kwanza wanafahamika kwa uwazi kutokana na shughuli za kila siku za kiserikali halafu kitengo Chao kinaogopewa kinyama halafu kwasababu wana hela chafu na wako smart aisee nkeo piskali itakuwa tu jamaa yangu.

Hayo ndio maisha.

Hao vijana ndio kinanani, ufanya kazi gani?
 
Wenzetu mnaoaga wanawake wa wapi? Sina mke ila Nina MPENZI. Nina muamini zaidi ya 100% na ni kisu cha haja with brain.
Naweza kua nae mbali miez hata miwili na hana tatizo na sijawahi ona dalili wala matendo ya uhuni. Kifup ni Mwanamke na Nusu.
Kwa anaebisha mimi najitolea kumpa namba ajaribu aone nachosema. Kifupi ni kisu na nusu
NIPATIE NAMBA YAKE ILA ISIWE YAKO TUU..

nimeandika kwa herufi kubwa kuonyesha uhitaji wa hali ya juu
 
Hao Dawa Yao Ni moja tu, tafuta picha Yake kwa kila namna Halafu nenda pemba.

ONYO: Uwe na roho ngumu maana atakachofanywa inabidi uwe na roho ngumu. Na adhabu utachagua wewe! Either awe mgonjwa maisha yote, afe au awe chizi.


Jamani kuwa na pesa sio kuwa na nguvu zote, usiombe ukaingia anga za watu wanaojua sehemu za kukuumiza bila pesa.
 
Back
Top Bottom