Kama mke wako ni pisi Kali na anafanya kazi kwenye makao makuu ya halmashauri au kwa DC nakuapia wale vijana wa idara pendwa wakimtaka hachomoi

Uchawi huo.

Waafrika uchawi wetu una nguvu sana. Hivi kwanini tusitumie uchawi kuroga tuchukue kombe la dunia?
 
Upo sahihi kabisa.Wapo wengine ni ndugu zetu wana njaa kali hela hawana wanagongea hadi hela za nauli.

Wanaonufaika zaidi nk wale top lakini hawa wadogo ni masikini kama walivyo watumishi wengine.Tatizo watu wanaaminishwa sana na story za vijiweni ila sie tunaishi nao kabisa ni choka mbaya.
 
Usipime kina kwa kudumbukia, ipo siku hutaamini macho yako!!! Again don't ever trust a waman
 
Daaah usifanye hivi mkuu, usitoe namba
 
Yani mkeo kaliwa ndio mrejesho au mimi tuu ndio sielewi apa
 
Mkuu tema mate chini . We ndio wakumwamin mwanamke kwa asilimia tajwa apo?? Uwiiiii....ngoja tusubir mzunguko wa dunia ukamilike 🀣🀣ila ....dah ! Time will tell
 

Hao vijana ndio kinanani, ufanya kazi gani?
 
NIPATIE NAMBA YAKE ILA ISIWE YAKO TUU..

nimeandika kwa herufi kubwa kuonyesha uhitaji wa hali ya juu
 
Hao Dawa Yao Ni moja tu, tafuta picha Yake kwa kila namna Halafu nenda pemba.

ONYO: Uwe na roho ngumu maana atakachofanywa inabidi uwe na roho ngumu. Na adhabu utachagua wewe! Either awe mgonjwa maisha yote, afe au awe chizi.


Jamani kuwa na pesa sio kuwa na nguvu zote, usiombe ukaingia anga za watu wanaojua sehemu za kukuumiza bila pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…