Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Na kweli ๐๐๐Km kuliwa ataliwa tu hata amfungie CCTV
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli ๐๐๐Km kuliwa ataliwa tu hata amfungie CCTV
Mimi ni me,kwanini unadhani mi ni ke!?Mi najua we me, kumbe ke๐ค๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃWanaume wa Dar mnachoweza ni umbea tuu na kushinda vibarazani na kanga moja.
Mapenzi sio kushikiana SIMU km anachezea mtinyama auchezee tu huko Ila asiuchezee mbele yakoNa kweli ๐๐๐
AhahahhUnanipangia tena matumizi na simu yangu bro
Suo siri bas tuHapo ukute na ana watoto wakubwa tu๐
Na Tanzania watumiaji ni wangapi?US na Canada Facebook inawatumiaji milioni 269. Europe ina watumiaji milioni 411.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume wa Dar mnachoweza ni umbea tuu na kushinda vibarazani na kanga moja.
Nimeona mna itana shem na mwachiluwi, ndo mana nikauliza??Mimi ni me,kwanini unadhani mi ni ke!?
Hilo ndo la msingi...heshima tu iwepoMapenzi sio kushikiana SIMU km anachezea mtinyama auchezee tu huko Ila asiuchezee mbele yako
Atuambie vizuri basi tujikinge na sisi,, au unasemaje ๐๐คฃ๐คฃKumbe kuna magonjwa mapya mjini na hatupeani tahadhari, aki sijapenda๐๐
Rudi usome post za nyuma mkuu, Mwachiluwi anataka kunipa binamu yake nimuoeNimeona mna itana shem na mwachiluwi, ndo mana nikauliza??
Mwachiluwi ni lofa wa kiwango Cha lami๐๐๐, ye mwenyewe Hana hata dem,๐๐Rudi usome post za nyuma mkuu, Mwachiluwi anataka kunipa binamu yake nimuoe
Aaaahaaa,asije akawa anataka kuniuzia mbuzi kwenye gunia mkuuMwachiluwi ni lofa wa kiwango Cha lami๐๐๐, ye mwenyewe Hana hata dem,๐๐
Yeah wewe km unaenda kuuchezea mtinyama uko nje nenda kauchezee tu Ila kikubwa heshima sio unaenda kuuchezea mtinyama huko unanogewa huko ukirudi ndani unaanza kuleta dharau hapo lazima nukutifue haiwezekaniHilo ndo la msingi...heshima tu iwepo
Sawasawa ๐๐คYeah wewe km unaenda kuuchezea mtinyama uko nje nenda kauchezee tu Ila kikubwa heshima sio unaenda kuuchezea mtinyama huko unanogewa huko ukirudi ndani unaanza kuleta dharau hapo lazima nukutifue haiwezekani
Nadhani TCRA watakua wanalo jibuNa Tanzania watumiaji ni wangapi?