Kama mkeo yupo Facebook mchunguze tena kwa umakini

Kama mkeo yupo Facebook mchunguze tena kwa umakini

πŸ‘‹

Juzi morng nilikuwa ndio nimefika DSM nikachukua usafiri kwenda nyumban sasa nikiwa kwenye usafir mbele alikuwa maeekaa mama wa makamo nahisi alikuwa kwenye miaka 40 hivi.

Sasa alikuwa Facebook yupo messenger anachat na jamaa niliangaza macho kuona ase jamaa ana mwambia kuwa nakupigia video call nione kama kweli unakuja upo.

Kweli baada ya dakika moja tu alampigia video call mm nausoma mchezo tu akakata ndio naona tena jamaa anamuuliza mam yule kuwa umeagaje mama mwenyewe anafuraha ana mwambia nimeaga naenda kanisani jamaa alituma emoj ya kucheka baada ya muda akashuka kitu kinachofuata.

Sasa mke ndio huyu ukija kujua unafanyaje kama mkeo yupo Facebook azima simu yake ingia fb messenger unaweza jikuta unashare na mdogo wako kabisa.
Njoo saiti tubebe tofari uchoke ukirudi ulale hoi utakosa nguvu ya kuandika madunduu
 
Sawa nipe location
Rocation pqnda gari mpaka mbagqra shuka kata kuria nenda mbere utaona mnara basi kwa mbere wewe utaona wanauza miogo wewe njoo mbere tena kata kushoto angaria juu nenda utaone bonde shuka nalo ukishuka hesabu kona ya kwanza ya pili ingia angalia mbere mm ntakuona
 
Rocation pqnda gari mpaka mbagqra shuka kata kuria nenda mbere utaona mnara basi kwa mbere wewe utaona wanauza miogo wewe njoo mbere tena kata kushoto angaria juu nenda utaone bonde shuka nalo ukishuka hesabu kona ya kwanza ya pili ingia angalia mbere mm ntakuona
Sawa nakuja mkuu usitoke hapo
 
πŸ‘‹

Juzi morng nilikuwa ndio nimefika DSM nikachukua usafiri kwenda nyumban sasa nikiwa kwenye usafir mbele alikuwa maeekaa mama wa makamo nahisi alikuwa kwenye miaka 40 hivi.

Sasa alikuwa Facebook yupo messenger anachat na jamaa niliangaza macho kuona ase jamaa ana mwambia kuwa nakupigia video call nione kama kweli unakuja upo.

Kweli baada ya dakika moja tu alampigia video call mm nausoma mchezo tu akakata ndio naona tena jamaa anamuuliza mam yule kuwa umeagaje mama mwenyewe anafuraha ana mwambia nimeaga naenda kanisani jamaa alituma emoj ya kucheka baada ya muda akashuka kitu kinachofuata.

Sasa mke ndio huyu ukija kujua unafanyaje kama mkeo yupo Facebook azima simu yake ingia fb messenger unaweza jikuta unashare na mdogo wako kabisa.
πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Fb so poa...
 
Me nilitoka 2019 toka nilivoanza kuitumia 2014. Niliiripoti wakanipa siku 90 sawa na miezi mitatu ndo kwa heri mpaka leo

Now niko jf
Yaani hadi unaripotiwa huwa mnafanya nini waungwana πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Back
Top Bottom