Kama mkeo yupo Facebook mchunguze tena kwa umakini

Sio umbea mtu amekuza maandishi mpaka mwisho ukiona utashindwa soma?
Unajua maana ya umbea??

Wewe hapo uliofanya ni umbea, hilo jambo za convo za huyo bi mdashi wala hazikuhusu ila wewe kwa umbea wako ukachungulia na umekuja kuyaleta huku ambako wala hujaombwa hizo habari ambazo si zako.
 
Mbona face book mchoshoo, Whatsap unatumiwa mipicha pichaa hadi ya mpenz wa mtu akiwa sebuleni amenunaa ama anakoromaaa usikuu.

anyway kila mtu na mtu wakeee waishi waishivyoo
Ahhahah kiboko
 
A
Unajua maana ya umbea??

Wewe hapo uliofanya ni umbea, hilo jambo za convo za huyo bi mdashi wala hazikuhusu ila wewe kwa umbea wako ukachungulia na umekuja kuyaleta huku ambako wala hujaombwa hizo habari ambazo si zako.
Ta zako niikiziona nitasoma tu
 
Huwezi mzuia kahaba kuutumia mwili hata kwa email wanawasiliana Nini fb na telegram.
Kila mwanadamu kaumbwa na chembe ya uhalifu ndani yake
 
Watu wa humu ni takataka, umepewa angalizo, kuwa kama mkeo yupo FB kuwa makini huenda akawa na mahusiano ya Siri huko.
Wewe umekomalia jamaa aliyeleta mada ni mbeya
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Acha kujitoa ufaham haijalishi ni wapi ila wake za watu skuizi wanaliwa mnoooo,hapo unashangaa anawasiliana na huyo kwenye fesibuku wakati kaolewa,kumbe pia yupo magroup ya kuuza k,na kashaitembeza Kila mkoa
 
Sio umbea mtu amekuza maandishi mpaka mwisho ukiona utashindwa soma?
kuna siku nipo kwenye daladal nikiwa nakodolea simu ya watu mdada alikuwa akiandika text kwenye simu yake alivyoona navizia akafuta alafu akaandika "wewe unaesoma text zangu k lako" nilitaman nimle likibao kwa kunitusi ila ndio hvy
 
Umbea huo mwanaume haukupendezi
 
kuna siku nipo kwenye daladal nikiwa nakodolea simu ya watu mdada alikuwa akiandika text kwenye simu yake alivyoona navizia akafuta alafu akaandika "wewe unaesoma text zangu k lako" nilitaman nimle likibao kwa kunitusi ila ndio hvy
Wewe nawe hujui kuiba
 
Unakuta mke kaposti picha yake kajipodoa, muda mfupi kala like mia tano, reply za kutosha na imoji za kumwaga plus mengine ya kutongozwa. Inaudhi sana, kama hauko vizuri kichwani utaanza kuwapa nakoz za uso watu wanaomtongoza mitandaoni. Sometime ni ulimbukeni tu
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kumbe unapitia account ya mkeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…