Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hehehe😃😃Akiwambia ni Mchana toka nje uangalie.
Mdomo au Maneno huumba.
AminaKauli yake ipo siku itatimia
Babu wa watu asije akazimia leo. Si kasema ccm itatawala milele?Anamkosea sana Babu Wassira.
wewe wenje kwahiyo tuamini ipi!? ile ya hata mpige upinzani ila CCM itaunda serikali ulikuwa ujaluoni kwenu.
Acha ujuha lucaLakini Rais Bora hawezi kutoka nje ya CCM. Ni CCM pekee yenye uwezo wa Kutoa Rais Bora. Na Taifa letu haliwezi kuongozwa na Rais nje ya CCM kwa kuwa ni CCM pekee yenye uwezo wa kutoa RAIS bora .
Wewe ni marehemuLakini Rais Bora hawezi kutoka nje ya CCM. Ni CCM pekee yenye uwezo wa Kutoa Rais Bora. Na Taifa letu haliwezi kuongozwa na Rais nje ya CCM kwa kuwa ni CCM pekee yenye uwezo wa kutoa RAIS bora .
Hayo ni maneno ya Nyerere! Rais wa Tanzania anaweza kutoka chama chochote, ila rais bora atatoka ndani ya chama cha mapinduzi!.Akiwambia ni Mchana toka nje uangalie.