Kama Mkubwa wako anatamka Maneno haya hadharani wewe ni nani hadi ubishe?

Kama Mkubwa wako anatamka Maneno haya hadharani wewe ni nani hadi ubishe?

Samia ndoto anazoota zimesha mwambia kitu. Akiperuzi mitandaoni anakutana na jumbe za manabii wanasema jambo waliloambiwa na Mungu.Akisoma maoni ya watanzania jamiiforums anaona moto umewaka.

Chadema jipangeni vizuri.Oktoba 2025 tuna jambo letu.Mimi kama mtanganyika niliyechoshwa na dhuluma niko tayari kuiomba nguvu nyingine isiyoonekana ije kusaidia kuongeza kasi ya ushindi wa Chadema na kuwe na smooth transfer of power.
 
Siyo huyu alisema hata mkipigia Kura Chama Kingine ni CCM ndio itaunda Serikali ?!!!

 
Back
Top Bottom