imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Wakati wa JK ndio maana ya kumtuma Lowassa akawabembeleze Wacanada.Hilo uliloliandika hapa halina ushahidi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati wa JK ndio maana ya kumtuma Lowassa akawabembeleze Wacanada.Hilo uliloliandika hapa halina ushahidi!
Hahahaa Yule Mzee Manyau nyau
Kuna jambo lolote linalohalalisha kumpoteza mtu!!??Ndugu zangu mkipotea ndugu zenu wanahangaika sana
Mwaka huu lazima itimie stake asitake,Maana ni kusudi na mpango wa Mungu iwe hivyo.Kauli yake ipo siku itatimia
We leta tu theories of human rights.Kuna jambo lolote linalohalalisha kumpoteza mtu!!??
Rejeeni utabiri wa Shekh YahayaKauli yake ipo siku itatimia
Hujajibu swali dada.We leta tu theories of human rights.
Sawa Kesho ndio mnakuja na #bring back sijui nani mara nani baadae kidogo mnachoka mnaendelea na shughuli nyingine … Dunia ni uwanja wa vita , HAKI MBINGUNI … usianzishe vita usivyoweza kuvimalizaHujajibu swali dada.
Usipende kufanya jambo kufurahisha watu joka litakukuta uko peke yako unalia kama mtoto.Mwenzake alipiga pushup, mwaka huu mama atafutiwe dela acheze kisingeli staili ya kuinama na kutikisa kalio moja moja
Una vitisho kama utaishi milele.Usipende kufanya jambo kufurahisha watu joka litakukuta uko peke yako unalia kama mtoto.
Yuko nzwiiiWasira anasemaje?
Unaogopa?Una vitisho kama utaishi milele.
Nenda pale Makumbusho uliza mtu alikuwa anaitwa "kinyonga" yupo wapi au nini kilimtokea!!
Andika Rais akianza Kwa kumnukuu baba wa taifa ....
HahahahMwenzake alipiga pushup, mwaka huu mama atafutiwe dela acheze kisingeli staili ya kuinama na kutikisa kalio moja moja
Naam!!Rejeeni utabiri wa Shekh Yahaya
Sawa muumini wa majizi.Lakini Rais Bora hawezi kutoka nje ya CCM. Ni CCM pekee yenye uwezo wa Kutoa Rais Bora. Na Taifa letu haliwezi kuongozwa na Rais nje ya CCM kwa kuwa ni CCM pekee yenye uwezo wa kutoa RAIS bora .