TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Hii kauli inaua sababu za kuomba vibali vya kupewa ukimbizi kwa sababu za uongo. Hawawezi kufurahi!Sasa Kamanda huutaki ukweli 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kauli inaua sababu za kuomba vibali vya kupewa ukimbizi kwa sababu za uongo. Hawawezi kufurahi!Sasa Kamanda huutaki ukweli 😄
Kwani kila anayegombania urais anatangazwa au ni hadi ashinde ndio atangazwe na tume ya uchaguzi ?!Mbona Lowassa alipohamia CHADEMA na kugombania Uraisi mlikataa kumtangaza?!
Anyway Raisi bora ndio nini wakati wote wanauza Rasilimali za Nchi.
Utabiri wa sheikh Yahaya unanyemelea
Unaposema "lakini rais bora hawezi kutoka nje ya CCM" maana yake umekiri kuwa uwezekano wa rais kutoka nnje ya CCM upo!!Lakini Rais Bora hawezi kutoka nje ya CCM. Ni CCM pekee yenye uwezo wa Kutoa Rais Bora. Na Taifa letu haliwezi kuongozwa na Rais nje ya CCM kwa kuwa ni CCM pekee yenye uwezo wa kutoa RAIS bora .
Asilimia kubwa ya wapumbavu hufikiria hivi.Lakini Rais Bora hawezi kutoka nje ya CCM. Ni CCM pekee yenye uwezo wa Kutoa Rais Bora. Na Taifa letu haliwezi kuongozwa na Rais nje ya CCM kwa kuwa ni CCM pekee yenye uwezo wa kutoa RAIS bora .
Imeshatimia.Kauli yake ipo siku itatimia
Halafu mlikuwa mnamchukilia poa!Siyo huyu alisema hata mkipigia Kura Chama Kingine ni CCM ndio itaunda Serikali ?!!!
Heri Udikteta Kuliko Maigizo ya Demokrasia
Tukumbushane tu..., Sisemi kwamba hili linatokea Sasa lakini Kutumika kwa Rasilimali Fedha na Muda kwenye Maigizo ya Demokrasia au Kutumia Pesa kwa Propaganda, ni bora Muda na Pesa hizo zikatumika kuleta maendeleo kwa Wananchi wanaojua Demokrasia haipo (Maigizo yana Gharama isiyo na Tija...www.jamiiforums.com
kweliKwa jinsi wizi wa kura unavyofanyika sioni Rais wa nchi akitoka chama cha upinzani
Mrahaba wa asilimia 3 ndio kula?😆😆UKITAKA KULA LAZIMA UKUBALI KULIWA !
😆😂🤣👍Akikwambia ni Mchana toka nje uangalie.
Acha ujinga wako hapa. Nani Kauza Rasilimali au umelewa gongoUnamaanisha Rais Bora ni yule anayeuza Rasilimali?
Acha ujinga wako hapa. Nani Kauza Rasilimali au umelewa gongoUnamaanisha Rais Bora ni yule anayeuza Rasilimali?
Hilo uliloliandika hapa halina ushahidi!Mrahaba wa asilimia 3 ndio kula?😆😆
Ndugu zangu mkipotea ndugu zenu wanahangaika sanaMwenzake alipiga pushup, mwaka huu mama atafutiwe dela acheze kisingeli staili ya kuinama na kutikisa kalio moja moja
Si kweli, sema utakuwa rais tuone kama mdomo wako utaumba huo urais wako.Mdomo au Maneno huumba.
Amina
Hahahaa Yule Mzee Manyau nyauIsije kuwa yule mnajimu marehemu wa magomeni anamtokea ndotoni.