Kama mlikuwa hamjui: CCM imeliongoza hili Taifa kwa uongo tangu ikiwa TANU hadi sasa.

Kama mlikuwa hamjui: CCM imeliongoza hili Taifa kwa uongo tangu ikiwa TANU hadi sasa.

Yameshawahi kusemwa sana. Tatizo la vijana wa nchi hii na Watanzania wengi ham fuatilia historia ya nchi yenu na kusoma vitabu.
Historia haitakusaidia kitu zungumzia mikakati yenu nyie nyumbu. Huwezi kuishinda CCM kwa kushinda humu JF nendeni kwa wananchi ingawa kila mara mnawatukana kuwa ni wajinga
 
Back
Top Bottom