Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wazee wa mahaba mpo?
Huwa sielewi ambavyo huwa kunakuwa na mjadala kuhusu dada wa kazi kufua nguo za baba mwenye nyumba au kupika chakula chake, yaani ishu ni nini?
Kama anafanya kazi nyingine ikiwemo kufua na kupikia wengine kama mna mtoto/watoto kwanini ni ishu zikifuliwa nguo za wenye nyumba na hasa baba au yeye kupika chakula cha familia ikiwemo baba? Kama mna mashine ya kufulia na kazi inazidi kuwa nyepesi, ni kuziweka kwa mashine na kwenda kuanika kama mashine inafua pekee.
Wanaweza kuamua kufuliana au kupikiana mara moja moja kwa mapenzi, lakini kwanini iwe lazima yaani?
Sasa wakwe na mawifi wakute dada wa kazi anafua nguo za ndugu yao au wajue chakula anachokula kinapikwa na dada wa kazi ni kisanga, why?
Na hapa nieleweke sizungumzii nguo za ndani, hizi wanatakiwa kujifulia au kufuliana kwa mapenzi yao.
Eti ishu huwa inakuwa wapi? Ni mpaka mke afue nguo za mume na kumpikia ndio anaonekana ana mpenzi sana?
Huwa sielewi ambavyo huwa kunakuwa na mjadala kuhusu dada wa kazi kufua nguo za baba mwenye nyumba au kupika chakula chake, yaani ishu ni nini?
Kama anafanya kazi nyingine ikiwemo kufua na kupikia wengine kama mna mtoto/watoto kwanini ni ishu zikifuliwa nguo za wenye nyumba na hasa baba au yeye kupika chakula cha familia ikiwemo baba? Kama mna mashine ya kufulia na kazi inazidi kuwa nyepesi, ni kuziweka kwa mashine na kwenda kuanika kama mashine inafua pekee.
Wanaweza kuamua kufuliana au kupikiana mara moja moja kwa mapenzi, lakini kwanini iwe lazima yaani?
Sasa wakwe na mawifi wakute dada wa kazi anafua nguo za ndugu yao au wajue chakula anachokula kinapikwa na dada wa kazi ni kisanga, why?
Na hapa nieleweke sizungumzii nguo za ndani, hizi wanatakiwa kujifulia au kufuliana kwa mapenzi yao.
Eti ishu huwa inakuwa wapi? Ni mpaka mke afue nguo za mume na kumpikia ndio anaonekana ana mpenzi sana?