Kama mna dada wa kazi nyumbani kuna shida gani akifua na kupika chakula anachokula mume?

Kama mna dada wa kazi nyumbani kuna shida gani akifua na kupika chakula anachokula mume?

Unampaje afisa malezi nguo za mumeo afue au kumpikia chakula unamkosea adabu na kumvunjia heshima
Yaan akiwa anafua akutane na boxer aanze kudhaminisha hapa ndipo inapokaa bunduki sijui itakuwa ya size gani hapana kwakweli ukiwakuta chumban pamoja
Utajua hujui
 
Ndio maana mwanzoni nikaandika nikafuta, nikaegemea ukuta huku mwisho kabisa mwa darasa sababu mara zote nyinyi huwa mnataka tuandike na kufikiri mnavyotaka au mliyonayo vichwani mwenu
Mkuu bwana :KEKLaugh::BearLaugh: thinking yako inaonesha wewe ni mtu wa aina gani, na majibu gani unastahili, anyhu sasa ukipita na dada wa kazi ndio umemkomoa waifu?:BearLaugh::KEKLaugh:
 
Mkuu bwana :KEKLaugh::BearLaugh: thinking yako inaonesha wewe ni mtu wa aina gani, na majibu gani unastahili, anyhu sasa ukipita na dada wa kazi ndio umemkomoa waifu?:BearLaugh::KEKLaugh:
Wala siishi kwa kumkomoa mtu, wewe ukiona hivi, sisi twaona vile. Nimekwambia mapema tu, tatizo ni namna ya ufikiri wenu mnavyokuwa mnautaka uwe kwa wengine pia.
 
kifupi dada wa kazi hana kazi maalumu, kazi yoyote itakayotokea ni yake, hana mwajiri maalumu, anaweza tumwa hata na mgeni, kingine ni kwamba madada wa kazi wengi nwanapitia aina fulani ya ngono, tuiite ngono shirikishi, yaani asipobanduliwa na baba mwenye nyumba, basi atapitiwa na watoto wenye nyumba, ama wageni wenye nyumba, ama shemeji mwenye nyumba ama jirani mwenye nyumba ama wote hao kwa muda tofauti, yaani anaamka alfajir, analala alfajir kasoro, ama kama kuna mtu anaweza niambia kazi za dada wa kazi za ndani ni kazi gani, na kibaya zaidi wanawake wenzao ndio huwa wanawatumikisha kama wameajiri roboti ndani, ni mara chache sana kumkuta baba mwenye nyumba anamtumikisha namna hiyo mfanyakazi za ndani. kuna baadhi ya nchi jirani wafanyakazi za ndani ni wanaume, mfano Burundi, nimeona wafanyakazi wa ndani kwenye nyumba nyingi ni wa kiume, huyu akichoka amagoma, na akigoma inabidi uinuke ukafanye mwenyewe maana mashine inakuwa imechoka kweli.
 
Sijui ni umaskini lakini binafsi huwa sipendi kabisa toka moyoni mwangu kufuliwa, wala kutengewa chakula, au kuengewa maji ya kuoga, nina njaa hakujapikwa naingia kwa jiko napika.

Mtazamo wangu mke sio mtumwa wangu, kabla yake niliishije na baada ya ujio wake ni badalishe mfumo wa maisha.
Umeoa?
 
Shida ipo hasa kwenye kufua bila sababu ya msingi huyo binti hatokaa aguse nguo za babamwenyenyumba.
 
Tunapowanyatia usiku mnene ili kuwatimizia hamu na ashiki zao, muwe wavumilivu pia
 
Back
Top Bottom