Kama Moses Phiri ataendelea hivi mpaka Jan 2023 Manzoki wa nini?

Kama Moses Phiri ataendelea hivi mpaka Jan 2023 Manzoki wa nini?

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Kama Moses Phiri ataendelea na moto huu huu maana yake hatumhtaj manzoki kwa sasa.

PHIRI ameonyesha ni goal scorer mzuri. Kufika January tutaona mwenendo wake lakini anaonyesha ni mzuri wa kujiposition, CHAMA asiumie tu.

SIMBA NGUVU MOJA
 
Na phiri akiumia? Halafu kwa uwezo wa Manzoki angekuwa anapiga hat trick kila wiki na kwa ushindani ulivyo sasa hivi ubingwa unaweza ukaamuliwa kwa uwiani wa magoli
 
Kama Moses Phiri ataendelea na moto huu huu maana yake hatumhtaj manzoki kwa sasa.

PHIRI ameonyesha ni goal scorer mzuri. Kufika January tutaona mwenendo wake lakini anaonyesha ni mzuri wa kujiposition, CHAMA asiumie tu.

SIMBA NGUVU MOJA
Manzoki bado tunamhitaji sana. Maana hadi sasa hivi kikosi chote cha Simba striker wa maana ni mmoja tu, huyo Phiri.

Sasa kwa mashindano yote ambayo Simba inashiriki, ni risk kuna mambo mengi; Kuumia, game kukataa, kadi za njano, misumari, na kadhalika.

Ili kuleta dhana halisi ya kikosi kipana, ni muhimu sana kumnasa Manzoki kipindi cha dirisha dogo la usajili, la sivyo hali ya safu yetu ya ushambuliaji itakua ya kumtegemea mtu mmoja tu.
 
Manzoki bado tunamhitaji sana. Maana hadi sasa hivi kikosi chote cha Simba striker wa maana ni mmoja tu, huyo Phiri. Sasa kwa mashindano yote ambayo Simba inashiriki, ni risk kuna mambo mengi; Kuumia, game kukataa, kadi za njano, misumari, na kadhalika. Ili kuleta dhana halisi ya kikosi kipana, ni muhimu sana kumnasa Manzoki kipindi cha dirisha dogo la usajili, la sivyo hali ya safu yetu ya ushambuliaji itakua ya kumtegemea mtu mmoja tu.
Bado mnamuota Manzoni? Mnaujuwa mkataba wake China?
 
Pale mikia fc wanaposhauriana juu ya mchezaji aliyekwisha sajiliwa na timu nyingine ndipo naikumbuka kauli adhimu ya Al Haj Ismail Aden Rage kwamba wanasimba wote ni mbumbumbu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama Moses Phiri ataendelea na moto huu huu maana yake hatumhtaj manzoki kwa sasa.

PHIRI ameonyesha ni goal scorer mzuri. Kufika January tutaona mwenendo wake lakini anaonyesha ni mzuri wa kujiposition, CHAMA asiumie tu.

SIMBA NGUVU MOJA
Bado mnamjadili Manzoki.? Daaaaah
 
Kama Moses Phiri ataendelea na moto huu huu maana yake hatumhtaj manzoki kwa sasa.

PHIRI ameonyesha ni goal scorer mzuri. Kufika January tutaona mwenendo wake lakini anaonyesha ni mzuri wa kujiposition, CHAMA asiumie tu.

SIMBA NGUVU MOJA
Halafu kile kishika uchumba chetu utarejesha wewe?
 
Umbumbu kipaji, ivi unathubutu vipi kumzungumzia mchezaji wa timu Nyingine aliye sajiliwa Kwa milion 900 na ushee wakati wewe ulikua na nafasi ya kumchukua Kwa milioni 400/=ukashindwa!! Ivi mnafikiria Kwa kutumia kichwa au kichwa kimebaki kama muundo tu wa maumbile ya mwanadamu.
Ismail Aden Lage kauliyako imetengeneza tatizo kubwa kuliko kauli yenyewe.[emoji2][emoji2]
 
.
1662192007967.jpg
 
Manzoki bado tunamhitaji sana. Maana hadi sasa hivi kikosi chote cha Simba striker wa maana ni mmoja tu, huyo Phiri.

Sasa kwa mashindano yote ambayo Simba inashiriki, ni risk kuna mambo mengi; Kuumia, game kukataa, kadi za njano, misumari, na kadhalika.

Ili kuleta dhana halisi ya kikosi kipana, ni muhimu sana kumnasa Manzoki kipindi cha dirisha dogo la usajili, la sivyo hali ya safu yetu ya ushambuliaji itakua ya kumtegemea mtu mmoja tu.


Hapo kwenye misumari.. hata akija huyo mwingine hatapigwa misumari?
 
Lazima uwe na back up mkuu kuna mechi mchezaji game zinamkataa
 
Hapo kwenye misumari.. hata akija huyo mwingine hatapigwa misumari?
Ukiwa na washambuliaji zaidi ya mmoja unaongeza chances za kuwa na mshambuliaji at least mmoja ambae yuko fiti kwa kila mechi mkuu. Unawaongezea kazi wapiga misumari, kuliko ukiwa na mmoja tu, ni rahisi kwao wanajua pa kupiga ni pamoja tu. Easy.
 
Back
Top Bottom