DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
๐๐๐ kabisa wajukuu itakuwa wanafata anga za babu yaoHahahaha....................nikiwachukulia Kwa namna walivyo wajanja, hawakawii kung'olea wachumba ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐ kabisa wajukuu itakuwa wanafata anga za babu yaoHahahaha....................nikiwachukulia Kwa namna walivyo wajanja, hawakawii kung'olea wachumba ๐
Mtu akichukua pieces 3 au zaidi bei haishuki?
๐ ๐๐๐๐ kabisa wajukuu itakuwa wanafata anga za babu yao
Inakuwa shilingi ngapi?Of course Bei inapoa
Inakuwa shilingi ngapi?
Hauna model nyingine walau ya Chini kidogo Mkuu?Unahitaji hiyo Mercedes benz au model nyingine? Hiyo Benz imebaki moja Used ila model nyingine zipo ila ni mpya
Kuna hii Toyota 550,000/=ukichukua Kuanzia tatu 400,000/=
View attachment 3144002
Hauna model nyingine walau ya Chini kidogo Mkuu?
Poa poa, ofisi yenu umesema ipo wapi?Za bei nafuu zinakua ni Used ndo hizo zinaanzia 250 mkuu chini yako yanakuaga mabovu spana mkononi[emoji3]
Poa poa, ofisi yenu umesema ipo wapi?
Za bei nafuu zinakua ni Used ndo hizo zinaanzia 250 mkuu chini ya hapo yanakuaga mabovu spana mkononi[emoji3]
Tabata kubwa, sema ni Tabata ipi? Nakuja leo leo..Tabata Dar es salaam,karibuu
Tabata kubwa, sema ni Tabata ipi? Nakuja leo leo..
Natamani ninunue niwe naendesha mwenyewe.
Traffic hawasumbui? Anaweza tumia kwenda shule?
Shukrani ๐Tabata Dar es salaam,karibuu
Kabisa๐คฃ๐คฃLaki na nusu mwisho wetu๐คฃ๐คฃ
Hahaha............kwakuwa Mimi na Mzee mwenzangu wa Kipare tunakupenda Mjukuu wetu, nitaongea naye tuongeze ongeze kidogo walau uchukue ile ya milioni 15 ๐Hapana babu, la kwangu.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ nataka hili la laki maana litakuwa halina gharama.Hahaha............kwakuwa Mimi na Mzee mwenzangu wa Kipare tunakupenda Mjukuu wetu, nitaongea naye tuongeze ongeze kidogo walau uchukue ile ya milioni 15 ๐
Hatuwezi kuruhusu upande hiyo ya laki 1 ๐ค
Mzee wa hovyo kabisa๐คฃ๐คฃ๐คฃEnzi hizo hata ukiwa konda wa hiyo gari lazima Jioni upate Mke wa mchongo mkiwa mnacheza kibaba Baba ๐