DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
πππ kabisa wajukuu itakuwa wanafata anga za babu yaoHahahaha....................nikiwachukulia Kwa namna walivyo wajanja, hawakawii kung'olea wachumba π
Mtu akichukua pieces 3 au zaidi bei haishuki?
π ππππ kabisa wajukuu itakuwa wanafata anga za babu yao
Inakuwa shilingi ngapi?Of course Bei inapoa
Inakuwa shilingi ngapi?
Hauna model nyingine walau ya Chini kidogo Mkuu?Unahitaji hiyo Mercedes benz au model nyingine? Hiyo Benz imebaki moja Used ila model nyingine zipo ila ni mpya
Kuna hii Toyota 550,000/=ukichukua Kuanzia tatu 400,000/=
View attachment 3144002
Hauna model nyingine walau ya Chini kidogo Mkuu?
Poa poa, ofisi yenu umesema ipo wapi?Za bei nafuu zinakua ni Used ndo hizo zinaanzia 250 mkuu chini yako yanakuaga mabovu spana mkononi[emoji3]
Poa poa, ofisi yenu umesema ipo wapi?
Za bei nafuu zinakua ni Used ndo hizo zinaanzia 250 mkuu chini ya hapo yanakuaga mabovu spana mkononi[emoji3]
Tabata kubwa, sema ni Tabata ipi? Nakuja leo leo..Tabata Dar es salaam,karibuu
Tabata kubwa, sema ni Tabata ipi? Nakuja leo leo..
Natamani ninunue niwe naendesha mwenyewe.
Traffic hawasumbui? Anaweza tumia kwenda shule?
Shukrani πTabata Dar es salaam,karibuu
Kabisaπ€£π€£Laki na nusu mwisho wetuπ€£π€£
Hahaha............kwakuwa Mimi na Mzee mwenzangu wa Kipare tunakupenda Mjukuu wetu, nitaongea naye tuongeze ongeze kidogo walau uchukue ile ya milioni 15 πHapana babu, la kwangu.
π€£π€£π€£π€£ nataka hili la laki maana litakuwa halina gharama.Hahaha............kwakuwa Mimi na Mzee mwenzangu wa Kipare tunakupenda Mjukuu wetu, nitaongea naye tuongeze ongeze kidogo walau uchukue ile ya milioni 15 π
Hatuwezi kuruhusu upande hiyo ya laki 1 π€
Mzee wa hovyo kabisaπ€£π€£π€£Enzi hizo hata ukiwa konda wa hiyo gari lazima Jioni upate Mke wa mchongo mkiwa mnacheza kibaba Baba π