Kama ni hivyo basi wasingetoa taarifa kuwa wameibiwa maana yaonekana wamesindwa kumpata huyo jamaa.huyo mkopaji lazima alikuwa anashirikiana na wafanyakazi wa hizo benki. Benki ni taasisi binafsi kwa asilimia kubwa na wao ndiyo wanatakiwa kuwachunguza wateja wao. Hiyo mikopo haikuwa na securities zo zote au amepewa tu kienyeji (labda kwa kuwa mzungu au muhindi).
SIASA SIASANI.Kama ni hivyo kwanini mkuu wa nchi aliongelee ikiwa kila kitu chajulikana?
Atupa faida gani?
Ziwepo pia taratibu za kuwalinda watoa taarifa "Whistleblowers" na wapewe ushirikiano.Hawajalala, ni mchongo,
Branch managers wote Wana mfumo uliounganishwa jikoni.
Haiwezekani ipite 5 banks wasijue.
Usisahau humuhumu JF watu wanaombaomba tu hela kutwa nzimaHapa JF hayo mambo yako ya kuacha tamaa watu hawatakuelewa nenda kanisani/msikitini huko utapata kusikika na kueleweka.
Watu hapa wanatafuta pesa kwa namna yeyote hata iwe kwa uchawi nk.
Kila mtu ana akili na mawazo yake.
Kama wewe umeridhika na maisha yako hapo Kibaigwa hongera sana endelea hivyo hivyo.
Inaonekana unajua alipo wewe utuambie yuko wapi.Kwani Manji wa Yanga yuko wapi?
Well said! 👍🏾Hata wewe unaweza ukakopa marekani na kukimbilia Tanzania.CIA sijui TISS siyo mungu na siyo kila kitu kinawahusu.
Mkuu huyu aliyetajwa na Raisi hajaiba kakopa kwaiyo anaweza kuzipeleka pesa zake alizokopa Ulaya.Na labda aingine nchi zingine kuhifadhi fedha hizo kwani huko Ulaya sasa hivi wamejipanga kukataa fedha chafu kuingizwa katika banking systems zao.
Sasa hivi wameweka masharti kadha wa kadha yanozuia kuweka fedha kama hizo kuzuia utakatishaji fedha na kuchukua fedha za wizi.
Labda kule visiwani Jersey na kwingine.
Ok ila hiyo ilikuwa ni zamani sana twazungumzia miaka 20 sasa.Hata wewe unaweza ukakopa marekani na kukimbilia Tanzania.CIA sijui TISS siyo mungu na siyo kila kitu kinawahusu.
Ila sasa hivi (kama umenielewa) Ulaya wana sheria kali za kupokea fedha kutoka nje ya bara la Ulaya khasa baada ya mgogoro wa Ukraine kuna regulations nyingi dhidi ya fedha zinoingizwa huko.Mkuu huyu aliyetajwa na Raisi hajaiba kakopa kwaiyo anaweza kuzipeleka pesa zake alizokopa Ulaya.
ndiyo mana nikasema siyo bure hiyo kuna namna.Kama ni hivyo basi wasingetoa taarifa kuwa wameibiwa maana yaonekana wamesindwa kumpata huyo jamaa.
Na hata kama ni binafsi bado mabenki yanawajibika na sheria za masuala ya mabenki na uendeshaji wake.
Hivyo sheria, kanuni na miongozo yote ambayo hutolewa na BOT kupitia wizara ya fedha vyote hivyo vimewekwa kapuni?
Sijaelewa amekopa bankJana, raisi wa Jamhuri ya ya Muungano na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na Usalama Tanzania kaeleza kwamba kuna mtu amekopa benk 5 au 6 tofauti za Tanzania na hajulikani alipo, yaani amekimbia na kutoka nchini.
Sasa huu ni mtihani kwa TISS, vyombo vya fedha, uhamiaji na wizara ya mambo ya ndani kwa ujumla.
Haiwezekani mtu mmoja akafanya jambo hilo zito na asepe kilaini hivyo hiyo ni ishara tosha kwamba idara yetu ya usalama na vyombo vingine vimelala au vimejiruhusu kupwaya kupita kiasi.
Lakini mimi ntaikosoa zaidi idara ya usalama kwani yenyewe ndio yaweza kuchagiza shughuli zote za ulinzi na usalama wa nchi.
Natambua idara hii ina uwezo mkubwa tu ina maofisa mahiri tu ambao wamepata mafunzo ndani na nje ya nchi hivyo wana ueledi, umahiri, uerevu na kila aina ya mbinu za kimkakati na kimedani kuhakikisha nchi yetu ipo salama.
Leo hii shirika la ujasusi wa ndani la Russia la FSB limetangaza kumshikilia mwandishi wa jarida la Wall Street Journal kwa madai ya kujihusisha na ujasusi wa ndani yaani kwa kiingereza twasema "Espionage".
Hiyo ni kazi ya majasusi wa ndani ya Russia yaani "Counter Espionage Agents" ambao wapo macho masaa 24 kulinda nchi, mali zake au "Assets" na miundombinu yake na wananchi kwa ujumla.
Sasa ni wakati wa idara yetu ya usalama wa Taifa kujipambanua kumtafuta huyu mwizi wa fedha zetu ambazo zimehifadhiwa kwenye mabenki zikiwa ni akaunti zatu na mitaji pia. Ni wakati wa kushirikiana na vyombo ya ulinzi na usalama vya nchi jirani na pia ni wakati wa kumtambua mtu huyo ambae ni wazi atakuwa alikuwa na pasi ya kusafiria, makabrasha mbalimbali yanoonyesha anuani zake na kadhalika hata kama ni "fake documents".
Kuhusu mabenki yetu nina imani kwa wana taratibu zote kali ambazo ni lazima mkopaji azifuate na kwenye hili ni lazima iwe ni "inside job" wafanyakazi walohusika ni lazima wapatikane kabla ya Jumaa.
Niliwahi kutoa mapendekezo huko nyuma kuhusu kuifanyia mabadiliko idara ya usalama wa taifa Mapendekezo: Serikali ipitie upya Sheria ya Usalama wa Taifa na TISS iundwe upya kwa maslahi ya taifa na nikzaeleza kwa upana wake.
Pia niliwahi kueleza kwamba wapo watu watembea na wallet tu Mtu anaesafiri kwenda nje kila siku lakini anabeba wallet na passport tu, utamfikiriaje? na hawa huenda ni wale ambao huenda sehemu kufanya machafuko kama uporaji fedha katika taasisi za fedha bila kugundulika na hii ni hatari kwa taifa.
Na pia nikawahi kutoa wazo kama nchi yetu ipo tayari kwa vita vya kijasusi wa uchumi katika mada hii Ujasusi wa Kiuchumi na Kiteknolojia unakuwa kwa kasi, Je Tanzania iko tayari ambapo yawezekana kabisa huyu mtu aliefanya wizi huu wa kughushi ni wale akina Carlos Jackal ambae alikuwa na uwezo wa kuingia katika nchi yoyote na kumaliza kazi kisha kujiondokea asijulikane.
Carlos alikuwa ni jasusi ambae alifunzwa kulelewa na kuwa alipwa ujira na idara ya kijasusi ya Russia ya wakati huo KGB na kazi zake hazikuwa na mfano.
Lakini mtu huyu ambae amehusika na wizi wa mabilioni ya shilingi si wa aina ya Carlos Jackal lakini anaweza kuwa ni mhalifu wa kimataifa na huenda akarudi tena.
Hivyo Idara yetu ya TISS iamke isijisahau kwani majukumu yake si ya kisiasa bali ni ulinzi madhubuti wa nchi yetu vikiwemo vyombo vyetu vya fedha ambavyo kwa kushirikiana na vyombo vingine kama Uhamaji na hata huko nje Interpol tayari mtu huyu angekuwa yupo kwenye "Wanted List".
Ni mifumo ya kupata hiyo mikopo ndiyo imekuwa migumu lakini ukishakopa umekopa.TISS na CIA hawana mamlaka kwa sababu haujavunja sheria.Ok ila hiyo ilikuwa ni zamani sana twazungumzia miaka 20 sasa.
Wanigeria ndo walokuwa vinara wa kazi hiyo.
Jaribu sasa hivi uone ule moto kwanza siku umemaliza kukamilisha paperwork wao (benki husika na polisi) hukusubiria ile siku waenda kuchukua mzigo na utasaidiwa kwenda nao kituo cha polisi.
Huwa hawahangaiki sana maana wanafahamu kuwa mjinga ni weye utanasa tu.
Mkuu, benki yoyote ukienda kukopa ni lazima wafanye checks ikiwemo authentications za documents.Ni mifumo ya kupata hiyo mikopo ndiyo imekuwa migumu lakini ukishakopa umekopa.TISS na CIA hawana mamlaka kwa sababu haujavunja sheria.
Ukute naye afisa kitengo vinginevyo hizo benki ni zile mtu anakopa ml.50 kwa magunia 20 ya pumba za mchele na kusepaJana, raisi wa Jamhuri ya ya Muungano na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na Usalama Tanzania kaeleza kwamba kuna mtu amekopa benk 5 au 6 tofauti za Tanzania na hajulikani alipo, yaani amekimbia na kutoka nchini.
Sasa huu ni mtihani kwa TISS, vyombo vya fedha, uhamiaji na wizara ya mambo ya ndani kwa ujumla.
Haiwezekani mtu mmoja akafanya jambo hilo zito na asepe kilaini hivyo hiyo ni ishara tosha kwamba idara yetu ya usalama na vyombo vingine vimelala au vimejiruhusu kupwaya kupita kiasi.
Lakini mimi ntaikosoa zaidi idara ya usalama kwani yenyewe ndio yaweza kuchagiza shughuli zote za ulinzi na usalama wa nchi.
Natambua idara hii ina uwezo mkubwa tu ina maofisa mahiri tu ambao wamepata mafunzo ndani na nje ya nchi hivyo wana ueledi, umahiri, uerevu na kila aina ya mbinu za kimkakati na kimedani kuhakikisha nchi yetu ipo salama.
Leo hii shirika la ujasusi wa ndani la Russia la FSB limetangaza kumshikilia mwandishi wa jarida la Wall Street Journal kwa madai ya kujihusisha na ujasusi wa ndani yaani kwa kiingereza twasema "Espionage".
Hiyo ni kazi ya majasusi wa ndani ya Russia yaani "Counter Espionage Agents" ambao wapo macho masaa 24 kulinda nchi, mali zake au "Assets" na miundombinu yake na wananchi kwa ujumla.
Sasa ni wakati wa idara yetu ya usalama wa Taifa kujipambanua kumtafuta huyu mwizi wa fedha zetu ambazo zimehifadhiwa kwenye mabenki zikiwa ni akaunti zatu na mitaji pia. Ni wakati wa kushirikiana na vyombo ya ulinzi na usalama vya nchi jirani na pia ni wakati wa kumtambua mtu huyo ambae ni wazi atakuwa alikuwa na pasi ya kusafiria, makabrasha mbalimbali yanoonyesha anuani zake na kadhalika hata kama ni "fake documents".
Kuhusu mabenki yetu nina imani kwa wana taratibu zote kali ambazo ni lazima mkopaji azifuate na kwenye hili ni lazima iwe ni "inside job" wafanyakazi walohusika ni lazima wapatikane kabla ya Jumaa.
Niliwahi kutoa mapendekezo huko nyuma kuhusu kuifanyia mabadiliko idara ya usalama wa taifa Mapendekezo: Serikali ipitie upya Sheria ya Usalama wa Taifa na TISS iundwe upya kwa maslahi ya taifa na nikzaeleza kwa upana wake.
Pia niliwahi kueleza kwamba wapo watu watembea na wallet tu Mtu anaesafiri kwenda nje kila siku lakini anabeba wallet na passport tu, utamfikiriaje? na hawa huenda ni wale ambao huenda sehemu kufanya machafuko kama uporaji fedha katika taasisi za fedha bila kugundulika na hii ni hatari kwa taifa.
Na pia nikawahi kutoa wazo kama nchi yetu ipo tayari kwa vita vya kijasusi wa uchumi katika mada hii Ujasusi wa Kiuchumi na Kiteknolojia unakuwa kwa kasi, Je Tanzania iko tayari ambapo yawezekana kabisa huyu mtu aliefanya wizi huu wa kughushi ni wale akina Carlos Jackal ambae alikuwa na uwezo wa kuingia katika nchi yoyote na kumaliza kazi kisha kujiondokea asijulikane.
Carlos alikuwa ni jasusi ambae alifunzwa kulelewa na kuwa alipwa ujira na idara ya kijasusi ya Russia ya wakati huo KGB na kazi zake hazikuwa na mfano.
Lakini mtu huyu ambae amehusika na wizi wa mabilioni ya shilingi si wa aina ya Carlos Jackal lakini anaweza kuwa ni mhalifu wa kimataifa na huenda akarudi tena.
Hivyo Idara yetu ya TISS iamke isijisahau kwani majukumu yake si ya kisiasa bali ni ulinzi madhubuti wa nchi yetu vikiwemo vyombo vyetu vya fedha ambavyo kwa kushirikiana na vyombo vingine kama Uhamaji na hata huko nje Interpol tayari mtu huyu angekuwa yupo kwenye "Wanted List".