kila kitu kilicho umbwa kina aliye kiumba,mungu ni muumbaji hana sifa ya kuumbwa!hii ni sawa sawa na mtu akuulize aliyejifungua ni mwanamume au mwanamke.bila shaka swali hilo litakuwa halina maana kwa sababu wote tunajua kwamba mwamamume hana sifa ya kuzaa!hivyo mungu ni muumbaji hata sifa ya kuumbwa!
Kazi gani anazozifanya ? Mungu mwenyewe unayemsema hawezi hata kujitetea mpaka wewe ndo umtetee? Hawezi kujidhihirisha basi japo kwa sekunde?
ndugu yangu unasafari ndefu!unazungumzia maswala ya vipimo,hata kazi ya mungu hupimwa kwa kazi zake!
Hivi mkuu kabla ya Mungu kuwepo kulikuwa kuna nini?
hii inanipa picha kwamba unampa mungu umbile!kama vile unamfananisha na binaadam!hii itakupa shida sana!kuataa kwamba kitu hakipo ni lazima ukijue kitu hicho kikoje!kinaonekanaje,kama unaamini mungu hayupo ni lazima angalau ujue kwanza mungu huyu yukoje!mtu akikuuliza je ju ya meza kuna kalamu?kukubali kuwepo kwake au kukataa kutokuwepo kwake ni lazima kwanza uwe unaijua hiyo kalamu,utakataa vipi kwamba kalamu haipo mezani ikiwa haujui kalamu ni kitu gani?
Muumini katika ubora wako! Huyo Mungu wako ndo anaruhusu kusema maneno usiyo na hakika nayo?
hata inzi huishi kwa siku saba!yeye huona kaishi muda mrefu!siku utakapo funga kauli ndiyo utajua!
Utapimaje kazi ya Mungu ambae hata hajulikani?
Lakini pengine unajua jinsi ya kupima kazi zake mkuu utueleweshe na sisi tujue 😀
nimeshakutajia kazi zinavyofanyika ndani ya mwli wako!sijui unataka zipi zaidi!
Mkuu... je una uthibitisho wowote kuwa mungu ndiye aliyefanya hayo yote uliyoandika???
hakuna kilicho kabla ya mungu mkuu!
Kwanza kabisa lazima uelewe yafuatayo:-
1. Kutokuwepo kwa Mungu sio imani hivyo huwezi kumwambia mtu kuwa anaamini Mungu hayupo.
2. Mtu asieamini unamwambiaje ajue hicho kitu kipoje?
3. Huo mfano wako wa meza na kalamu ni mfano batili kwasababu kujua kama kalamu haipo sio lazima ujue kalamu ikoje, ukishaona meza iko tupu basi hapo utajua fika kuwa kalamu haipo.
nimeshakutajia kazi zinavyofanyika ndani ya mwli wako!sijui unataka zipi zaidi!
Kwa muda mrefu nimekua nikisikia watu wengi wakikanusha uwepo wa Mungu na wakatoa evidence nyingi tu katika ukanushaji huo especially Jamii inteligence.Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham kama Mungu hayupo huyu binadamu aliyemuumba ni nani? au kajileta mwenyewe hapa duniani. Unajua hata ukiliona gari barabani yupo aliyeunda gari hilo. Wanasayansi wanaopinga uwepo wa mungu wamejitahidi kueleza sana asili ya dunia na vitu vingine vingi. Naomba izingatiwe kwamba nataka kufahamu asili ya mwanadam sio mungu. ni kweli mungu anaweza akawa hayupo je binadamu wa kwanza alimuumba nani? uje na lengo la kuelimishana. nawasilisha.
ww kama huna imani ya mungu,hata akijitokeza huweza kuamini!macho pia hayana sifa ya kuthibisha ukweli!ukitaza kwenye lami wakati wa jua kali utaoni kuna madimbwa ya maji lakini kila ukisogea unakuta hakuna!kwa hiyo macho hayana sifa ya kumtambua mungu!
Mkuu kazi za mwili zina uhusiano gani na Mungu? Hivi mwenzetu biology hukusoma kabisa?
mnajazwa ujinga!hata computer inaweza kuwekewa prgm maalu na ikajiendesha yenyewe! Lakini yupo aliyefanya hayo yafanyike!
Huyo Mungu ana kazi kubwa sana kama huo ndo upeo wako ulipoishia.
pole sana ndugu!maneno mengi lakini hujatoa ushahidi wowote!wa kuonyesha kwamba mungu hayupo!
Kwasababu hayupo ndomana sina haja ya kutoa ushahidi. Kama angekuwepo na watu wakathibitisha basi ningelazimika kutoa ushahidi ila huku kutokuwepo kwake ni ushahidi tosha.
USIJITOE UFAHAMU WAKATI HATA WEWE MWENYEWE UMEKIRI UPO NAE KIIMANI TU