Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

Dr Aluta

Senior Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
121
Reaction score
39
Kwa muda mrefu nimekua nikisikia watu wengi wakikanusha uwepo wa Mungu na wakatoa evidence nyingi tu katika ukanushaji huo especially Jamii inteligence.

Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham kama Mungu hayupo huyu binadamu aliyemuumba ni nani? au kajileta mwenyewe hapa duniani.

Unajua hata ukiliona gari barabani yupo aliyeunda gari hilo.

Wanasayansi wanaopinga uwepo wa mungu wamejitahidi kueleza sana asili ya dunia na vitu vingine vingi.

Naomba izingatiwe kwamba nataka kufahamu asili ya mwanadamu sio Mungu. Ni kweli mungu anaweza akawa hayupo je binadamu wa kwanza alimuumba nani?

Uje na lengo la kuelimishana.

Nawasilisha.
 
Kwa muda mrefu nimekua nikisikia watu wengi wakikanusha uwepo wa Mungu na wakatoa evidence nyingi tu katika ukanushaji huo especially Jamii inteligence.Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham kama Mungu hayupo huyu binadamu aliyemuumba ni nani? au kajileta mwenyewe hapa duniani. Unajua hata ukiliona gari barabani yupo aliyeunda gari hilo. Wanasayansi wanaopinga uwepo wa mungu wamejitahidi kueleza sana asili ya dunia na vitu vingine vingi. Naomba izingatiwe kwamba nataka kufahamu asili ya mwanadam sio mungu. ni kweli mungu anaweza akawa hayupo je binadamu wa kwanza alimuumba nani? uje na lengo la kuelimishana. nawasilisha.

kwani ni lazima aumbwe!? Hawezi akawa alitokea tu?
 
Hivi kitu ukikiumba kitajua kimeumbwa lini, kwa mfano gari linafahamu limetngenezwa lini?, hata sisi wanadamu hatuwezi kujua Mungu katuumba au tumetokea wapi, kwani hata kama tulikuwa tunafahamu lazima tusahau kwani nimiaka mingi sana!
Kiukweli ukiangaliatu hii Dunia lazima uamini kuwa kunakiongozi anaeiongoza na kamwe haiwezi dunia kujifanyia yenyewe vyote hivyo na tena kwa mpangilio uliosawa,
kiukweli ni jambo lakushangaza sana watu kutaka kujua ya huko nyuma ilihalitu mwanadamu huwa haweze kukumbuka matukio yake mwenyewe kipindi alikuwa mtoto , namaanisha kwamba mtu huwa hana uwezo wa kukumbuka matukio ya kuanzia amezaliwa hadi miaka minne wengine hadi miaaka sita.
My take..... Tuaminitu kwani hakuna hasara ya kuamini ila inaweza kuwepo hasara yakutokuamini kama ukijakukuta ni kweli. Mwanadamu kaumbwa huko tusipopakumbuka na ameumbwa na huyo tuliyemsahau na hatuwezi kumuona kwasababu yeye katuumba.
Nimaoni yangutu.
 
Hivi kitu ukikiumba kitajua kimeumbwa lini, kwa mfano gari linafahamu limetngenezwa lini?, hata sisi wanadamu hatuwezi kujua Mungu katuumba au tumetokea wapi, kwani hata kama tulikuwa tunafahamu lazima tusahau kwani nimiaka mingi sana!
Kiukweli ukiangaliatu hii Dunia lazima uamini kuwa kunakiongozi anaeiongoza na kamwe haiwezi dunia kujifanyia yenyewe vyote hivyo na tena kwa mpangilio uliosawa,
kiukweli ni jambo lakushangaza sana watu kutaka kujua ya huko nyuma ilihalitu mwanadamu huwa haweze kukumbuka matukio yake mwenyewe kipindi alikuwa mtoto , namaanisha kwamba mtu huwa hana uwezo wa kukumbuka matukio ya kuanzia amezaliwa hadi miaka minne wengine hadi miaaka sita.
My take..... Tuaminitu kwani hakuna hasara ya kuamini ila inaweza kuwepo hasara yakutokuamini kama ukijakukuta ni kweli. Mwanadamu kaumbwa huko tusipopakumbuka na ameumbwa na huyo tuliyemsahau na hatuwezi kumuona kwasababu yeye katuumba.
Nimaoni yangutu.


Mimi nina hakika hakuna mtu mwenye jibu sahihi kuhusu uumbaji, kila mtu anajaribu kujibu swali hili kwa kadri anavyofikiri.

amini kuna kuzaliwa na kufa, hakuna ccha ziada, watu watajaribu kusema ukifa unaenda pepon au motoni lakini je wao waliwahi kufa wakaona hayo maeneo? unaweza sema majibu yako kwenye vitabu vya dini lakini hivyo vitabu pia vimeandikwa na binadamu, hata kama vinaeleza kwamba waliandika kwa uwezo wa mungu, je ina maana mungu hataki kuapdate mafundisho yake ili watu wapate imani kama walivyopata wale wa zamani.
 
Mimi nina hakika hakuna mtu mwenye jibu sahihi kuhusu uumbaji, kila mtu anajaribu kujibu swali hili kwa kadri anavyofikiri.

amini kuna kuzaliwa na kufa, hakuna ccha ziada, watu watajaribu kusema ukifa unaenda pepon au motoni lakini je wao waliwahi kufa wakaona hayo maeneo? unaweza sema majibu yako kwenye vitabu vya dini lakini hivyo vitabu pia vimeandikwa na binadamu, hata kama vinaeleza kwamba waliandika kwa uwezo wa mungu, je ina maana mungu hataki kuapdate mafundisho yake ili watu wapate imani kama walivyopata wale wa zamani.

Well said
 
au kajileta mwenyewe hapa duniani. Unajua hata ukiliona gari barabani yupo aliyeunda gari hilo.
Ni kweli kabisa kabisa unavyosema Dr. Aluta, ukiona gari barabarani ujue limeundwa na hata wazee wa busara walishasema "ukiona vyaelea ujue vimeundwa."

Vile vile ukiona kuna Mungu anaelea elea hewani ujue ameundwa. Sasa tuambie, Mungu na yeye kaundwa na nani?
 
Mkuu hapa Kuna mawawili coz wanasayansi ( philosophes ) wamesema mungu hayupo af wana prove kabisa kwamba Dunia imeanzaje na mtu katoka wapi .. Af pia tena dini inatufundisha kwamba mungu yupo nayo pia ina prove
 
Mkuu hapa Kuna mawawili coz wanasayansi ( philosophes ) wamesema mungu hayupo af wana prove kabisa kwamba Dunia imeanzaje na mtu katoka wapi .. Af pia tena dini inatufundisha kwamba mungu yupo nayo pia ina prove

unaweza kuquote ushahid wa wanasansi unaoeleza asili ya mwanadamu tupate faida.
 
Kwa muda mrefu nimekua nikisikia watu wengi wakikanusha uwepo wa Mungu na wakatoa evidence nyingi tu katika ukanushaji huo especially Jamii inteligence.Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham kama Mungu hayupo huyu binadamu aliyemuumba ni nani? au kajileta mwenyewe hapa duniani. Unajua hata ukiliona gari barabani yupo aliyeunda gari hilo. Wanasayansi wanaopinga uwepo wa mungu wamejitahidi kueleza sana asili ya dunia na vitu vingine vingi. Naomba izingatiwe kwamba nataka kufahamu asili ya mwanadam sio mungu. ni kweli mungu anaweza akawa hayupo je binadamu wa kwanza alimuumba nani? uje na lengo la kuelimishana. nawasilisha.

Nikugeuzie kibao kidogo.
Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham kama Mungu hajaumbwa na mungu mwingine kaumbwa na nani? Au kajileta mwenyewe hapa duniani/ulimwenguni? Unajua hata ukiliona gari barabani yupo aliyeunda gari hilo. Waamini, walokole, wakristo,waislam wanaosema mungu hajaumbwa wamejitahidi sana kueleza asili ya Mungu na vitu vingine. Naomba izingatiwe kwamba nataka kufahamu asili ya Mungu sio mwanadamu. Ni kweli muumbaji wa huyo mungu aliyemuumba huyu mungu wanayesema kaumba vitu vingine anaweza akawa hayupo je? Mungu kaumbwa na nani? Uje na lengo la kuelimishana. Nawasilisha.

Mtazamo wa AKILIhuru.

Ukijiangalia wewe pamoja na mazingira yanayokuzunguka ukastaajabu sana isiwe kigezo cha kusema mungu yupo kisa tu umekosa majibu ya baadhi ya vitu!
Kwanini usimtazame huyo mungu na mazingira yake unayoyasoma kwenye vitabu????
Kwa mujibu wa maandiko ujuzi wa maisha ya mwanadamu na mazingira yake haujafikia hata nusu ya ujuzi wa maisha ya huyo mungu.
Sasa jiulize hivi...kwanini ukijiangalia wewe ukastaajabu unasema umeumbwa, lakini ukimuangalia huyo mungu unastaajabu zaidi lakini unasema hajaumbwa. Hii ikoje? Tatizo ni imani za ovyo zimewaharibu.
 
Kwa muda mrefu nimekua nikisikia watu wengi wakikanusha uwepo wa Mungu na wakatoa evidence nyingi tu katika ukanushaji huo especially Jamii inteligence.Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham kama Mungu hayupo huyu binadamu aliyemuumba ni nani? au kajileta mwenyewe hapa duniani. Unajua hata ukiliona gari barabani yupo aliyeunda gari hilo. Wanasayansi wanaopinga uwepo wa mungu wamejitahidi kueleza sana asili ya dunia na vitu vingine vingi. Naomba izingatiwe kwamba nataka kufahamu asili ya mwanadam sio mungu. ni kweli mungu anaweza akawa hayupo je binadamu wa kwanza alimuumba nani? uje na lengo la kuelimishana. nawasilisha.

hakuumbwa, alievolve! hiyo law ya kila kitu kimeumbwa wewe umeitoa wapi?
 
Hivi kitu ukikiumba kitajua kimeumbwa lini, kwa mfano gari linafahamu limetngenezwa lini?, hata sisi wanadamu hatuwezi kujua Mungu katuumba au tumetokea wapi, kwani hata kama tulikuwa tunafahamu lazima tusahau kwani nimiaka mingi sana!
Kiukweli ukiangaliatu hii Dunia lazima uamini kuwa kunakiongozi anaeiongoza na kamwe haiwezi dunia kujifanyia yenyewe vyote hivyo na tena kwa mpangilio uliosawa,
kiukweli ni jambo lakushangaza sana watu kutaka kujua ya huko nyuma ilihalitu mwanadamu huwa haweze kukumbuka matukio yake mwenyewe kipindi alikuwa mtoto , namaanisha kwamba mtu huwa hana uwezo wa kukumbuka matukio ya kuanzia amezaliwa hadi miaka minne wengine hadi miaaka sita.
My take..... Tuaminitu kwani hakuna hasara ya kuamini ila inaweza kuwepo hasara yakutokuamini kama ukijakukuta ni kweli. Mwanadamu kaumbwa huko tusipopakumbuka na ameumbwa na huyo tuliyemsahau na hatuwezi kumuona kwasababu yeye katuumba.
Nimaoni yangutu.

Na mbona ukimuangalia huyo mungu wako unastaajabu sana lakini unasema hajaumbwa alafu ukijiangalia wewe unastaajabu kidogo tu alafu unasizitisha kuwa umeumbwa?
Vua imani yako tafadhali! 😀
 
Ni kweli kabisa kabisa unavyosema Dr. Aluta, ukiona gari barabarani ujue limeundwa na hata wazee wa busara walishasema "ukiona vyaelea ujue vimeundwa."

Vile vile ukiona kuna Mungu anaelea elea hewani ujue ameundwa. Sasa tuambie, Mungu na yeye kaundwa na nani?

Umempa mfano mzuri sana.
 
Mimi nina hakika hakuna mtu mwenye jibu sahihi kuhusu uumbaji, kila mtu anajaribu kujibu swali hili kwa kadri anavyofikiri.

amini kuna kuzaliwa na kufa, hakuna ccha ziada, watu watajaribu kusema ukifa unaenda pepon au motoni lakini je wao waliwahi kufa wakaona hayo maeneo? unaweza sema majibu yako kwenye vitabu vya dini lakini hivyo vitabu pia vimeandikwa na binadamu, hata kama vinaeleza kwamba waliandika kwa uwezo wa mungu, je ina maana mungu hataki kuapdate mafundisho yake ili watu wapate imani kama walivyopata wale wa zamani.

Very good :thumbup:
 
Kwa muda mrefu nimekua nikisikia watu wengi wakikanusha uwepo wa Mungu na wakatoa evidence nyingi tu katika ukanushaji huo especially Jamii inteligence.Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham kama Mungu hayupo huyu binadamu aliyemuumba ni nani? au kajileta mwenyewe hapa duniani. Unajua hata ukiliona gari barabani yupo aliyeunda gari hilo. Wanasayansi wanaopinga uwepo wa mungu wamejitahidi kueleza sana asili ya dunia na vitu vingine vingi. Naomba izingatiwe kwamba nataka kufahamu asili ya mwanadam sio mungu. ni kweli mungu anaweza akawa hayupo je binadamu wa kwanza alimuumba nani? uje na lengo la kuelimishana. nawasilisha.

Itawachukua muda sana kuelewa mambo haya maaana tayari mmeshachanganya mambo mawili tofauti amabayo ni IMANI KATIKA DINI na IMANI YA SAYANSI. Lakini maadiko ya biblia yanajibu sahii juu ya mabishano yenu kuwa "YAKAISALI MWACHIE KAISALI NA YALIYO YAKE MUNGU MPENI MUNGU"
 
Back
Top Bottom