Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

Tuambie chanzo cha huyo mungu wako sasa😀
Maana kitu mwenye akili kama yeye haiwezekani kikatokea kwa babati mbaya.

Mkuu unajikanganya sana, labda nirudie tena mi sipo hapa kutaka kujua source ya mungu. mi nataka kujua source ya mwanadamu. mnaniambia alievolve lakin bado hujaleta uchanganuz kuhusu huyu evolve.
 
Kwa muda mrefu nimekua nikisikia watu wengi wakikanusha uwepo wa Mungu na wakatoa evidence nyingi tu katika ukanushaji huo especially Jamii inteligence.Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham kama Mungu hayupo huyu binadamu aliyemuumba ni nani? au kajileta mwenyewe hapa duniani. Unajua hata ukiliona gari barabani yupo aliyeunda gari hilo. Wanasayansi wanaopinga uwepo wa mungu wamejitahidi kueleza sana asili ya dunia na vitu vingine vingi. Naomba izingatiwe kwamba nataka kufahamu asili ya mwanadam sio mungu. ni kweli mungu anaweza akawa hayupo je binadamu wa kwanza alimuumba nani? uje na lengo la kuelimishana. nawasilisha.

Katokana na uasili wa mazingira kama tu;

1-Uwepo wa flora na fauna ktk sayari ya earth na kutokuepo kwa vitu hivyo ktk sayari nyengine!
Nb: Sijaongelea Galaxies.

2-Uwepo wa mimea fulani ktk eneo fulani na mimea hiyo hiyo kushindwa kumea ktk maeneo mengine (on Earth).
Nb: Hiyo ni kutokana tu na nature ya eneo fulani namna linavyosapoti zalishaji na ukuaji wa mmea husika.

3- Uwepo wa aina fulani ya flora and/or fauna kutokana na nature ya eneo hilo. Eg: Sehemu za majangwa, baridi kali or Joto.

HOPE UMEELEWA.
 
Mtoa post usipate taabu na wanasayansi wanaosumbua kua Mungu hayupo,hao hao wamefanikiwa kutengeneza na kuunda vitu kibao vyenye spidi ya ajabu sana duniani kwa hili wamefanikiwa kuimudu dunia kwa kiasi kidogo sana!

Wameshindwa kumtengeneza mtu/umba mtu, wameweza robot na makatuni yao!
Wameshindwa kudhibiti majanga ya asili pamoja na Teknolojia yao!
Wameshindwa kuzuia kifo!
Wameshindwa kuongeza uhai wa maisha ya mwanadamu!

Kwi kwi kwi kwa hayo machache tu wanasanyansi na wapinga uwepo wa Mungu aliye mwanzo wa vyote wasinitaabishe!!
 
Mkuu hapa Kuna mawawili coz wanasayansi ( philosophes ) wamesema mungu hayupo af wana prove kabisa kwamba Dunia imeanzaje na mtu katoka wapi .. Af pia tena dini inatufundisha kwamba mungu yupo nayo pia ina prove

Wameprove wapi?nini maana ya nadharia?????....nipe hizo proofs....please
 
Mtoa post usipate taabu na wanasayansi wanaosumbua kua Mungu hayupo,hao hao wamefanikiwa kutengeneza na kuunda vitu kibao vyenye spidi ya ajabu sana duniani kwa hili wamefanikiwa kuimudu dunia kwa kiasi kidogo sana!

Wameshindwa kumtengeneza mtu/umba mtu, wameweza robot na makatuni yao!
Wameshindwa kudhibiti majanga ya asili pamoja na Teknolojia yao!
Wameshindwa kuzuia kifo!
Wameshindwa kuongeza uhai wa maisha ya mwanadamu!

Kwi kwi kwi kwa hayo machache tu wanasanyansi na wapinga uwepo wa Mungu aliye mwanzo wa vyote wasinitaabishe!!

Robot wakamilifu bado....
 
Hivi kitu ukikiumba kitajua kimeumbwa lini, kwa mfano gari linafahamu limetngenezwa lini?, hata sisi wanadamu hatuwezi kujua Mungu katuumba au tumetokea wapi, kwani hata kama tulikuwa tunafahamu lazima tusahau kwani nimiaka mingi sana!
Kiukweli ukiangaliatu hii Dunia lazima uamini kuwa kunakiongozi anaeiongoza na kamwe haiwezi dunia kujifanyia yenyewe vyote hivyo na tena kwa mpangilio uliosawa,
kiukweli ni jambo lakushangaza sana watu kutaka kujua ya huko nyuma ilihalitu mwanadamu huwa haweze kukumbuka matukio yake mwenyewe kipindi alikuwa mtoto , namaanisha kwamba mtu huwa hana uwezo wa kukumbuka matukio ya kuanzia amezaliwa hadi miaka minne wengine hadi miaaka sita.
My take..... Tuaminitu kwani hakuna hasara ya kuamini ila inaweza kuwepo hasara yakutokuamini kama ukijakukuta ni kweli. Mwanadamu kaumbwa huko tusipopakumbuka na ameumbwa na huyo tuliyemsahau na hatuwezi kumuona kwasababu yeye katuumba.
Nimaoni yangutu.
Mkuu punguza Kamba utadhania unazungumza na watoto wenzio? na hapo kwenye Bluu nakupinga sababu mimi kuna matukio hadi leo hii nayakumbuka nilikuwa sijatimiza miaka miwili... hadi leo sijayasahahu na nilimuadithia Marehemu Dingi yangu miaka fulani aliniambia unakumbukumbu sana.. ungesema mtu hawezi kumbuka kitu akiwa chini ya mwaka mmoja ningekuelewa.....

Ki ujumla Wayahudi ndio wameanzisha kila kitu na bado wanaendelea kuiongoza na kuiendesha Dunia hayo Maswali yenu mkiwauliza Wayahudi watawapeni Majibu...

Wao ndio Walianzisha Mungu na Kumuabudu hadi leo hii anaabudiwa...

In the Beginning man create God and then problem stated
 
Mgandamizano wa hewa ya joto na baridi, vikikutana husababisha upepo.

mkuu ni bora ukatoa maelezo ya kutosha ingefaa zaid, kwa mfano unapotaja tuelewe oksijen,carbon. na utoe maelezo hizo hewa chanzo chake ni kip?
 
Faith cannot be fully explained by logic.
Logic Is faithless and faith Is illogical

l
 
Katokana na uasili wa mazingira kama tu;

1-Uwepo wa flora na fauna ktk sayari ya earth na kutokuepo kwa vitu hivyo ktk sayari nyengine!
Nb: Sijaongelea Galaxies.

2-Uwepo wa mimea fulani ktk eneo fulani na mimea hiyo hiyo kushindwa kumea ktk maeneo mengine (on Earth).
Nb: Hiyo ni kutokana tu na nature ya eneo fulani namna linavyosapoti zalishaji na ukuaji wa mmea husika.

3- Uwepo wa aina fulani ya flora and/or fauna kutokana na nature ya eneo hilo. Eg: Sehemu za majangwa, baridi kali or Joto.

HOPE UMEELEWA.

Hivi kama ni mazingira tu ni kwann isitoke ng'ombe akawa na akili za binaadam kwenye hayo mazingira tofauti?
 
Mtoa post usipate taabu na wanasayansi wanaosumbua kua Mungu hayupo,hao hao wamefanikiwa kutengeneza na kuunda vitu kibao vyenye spidi ya ajabu sana duniani kwa hili wamefanikiwa kuimudu dunia kwa kiasi kidogo sana!

Wameshindwa kumtengeneza mtu/umba mtu, wameweza robot na makatuni yao!
Wameshindwa kudhibiti majanga ya asili pamoja na Teknolojia yao!
Wameshindwa kuzuia kifo!
Wameshindwa kuongeza uhai wa maisha ya mwanadamu!

Kwi kwi kwi kwa hayo machache tu wanasanyansi na wapinga uwepo wa Mungu aliye mwanzo wa vyote wasinitaabishe!!

Ni vizuri ukaja na hoja nzuri na sio kariri uliyonayo kichwani.
 
Back
Top Bottom