Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

Solar system inaelezeka kwa nini iko vile na sio maajabu San kuwa vile,sijui kama unauelewa was physics.



Mfumo wa kula na kunywa sijui na vitu gani inaelezeka pia,
Hoja ya kwamba"" Ingetokea kunampishano kwa maana pangekuwa na binaadamu hali au hanywi na tofauti zingine basi tungesema tumetokea kbahati mbaya au bahati nasibu."" Haina mashiko kwa kuwa kuna wanyama ,wadudu n.k na tuko tofauti kimfumo
Lakini pia inasemekana katika ulimwengu kuna uwezekano was kuwepo viumne wengu katika safari ama Galax za mbali we unaonaje hilo?.Lakini pia juz tu NASA wamegundua uwezekano wa maisha sayat ya Mars sasa anzeni kuandaa biblia na Koran za kupeleka huko kisha mseme mungu(kama yupo)aliumba dunia na mars kisha.

Karibu katika ulimwengu huru
.........Free ideas......
katika uumbwaji wa sola system ni kweli ilikuwa hiyo phisics inayosema ilikuwa ni theory yaani ideal za wataalamu fulani lakini kila mmoja ana maono tofauti na menzie na katika maono hayo ya udhaifu mwingi so wakalinganisha udhaifu na kuchukua theory zenye au yenye madhaifu machache...na unapo sema hoja haina mashiko simply tuu kuwa mfumo wa binaadamu hauwezi onesha kuwa mungu ndo aloumba mwili wa binaadamu unaujua mwili wa binaadamu vizuri katika utendaji kazi wake ..binaadamu is complex organizim hajatokea kibahati mbaya bwana au elimu ya mazingira isemavyo..hiyo theory Inasema kuwa mwanzo palikuwa na radi kali pamona na utando mkuubwa wa gass ya hidrogen na nitrogen.. Nitrogen na oxige na hydroge vikawa vinapigwa na radi vikafanya ionization zikaanguka chini kama amonium nitrate.. Siku hazigandi chumvichumvi za nitrate zikabadilika kuwa amino acidi... Eeh amino acidy zikawa protein.. Protein zikaanza kute deoxyrebose hatimaye firt chromosome ikaudwa..chromozome kikaunda celi ya kwanza wanaiita primitive cell yaana prokaryotic cell ikawa kiumbe wa kwanza huyo kuishi duniani.. Baadae ikafwata sequence za evolution kutoka nyungunyungu samaki apes goliras adi akawa binaadamu.. HIVI HII THEORY KWA MTU MWENYE UTASHI ATAIAMINI KUWA VILE VITU VYOTE VIMETOKEA KIBAATI NASIBU.. radi kilasiku zipo nitrogen nyingi sanaa mbona hayatokei hayo yaliyosemwa yalitokea ndo maana NKASEMA NATAKA ATOKEE BINADAMU KUTOKA MTARONI. free idea usiamini udhaifu ulio wazi
 
katika uumbwaji wa sola system ni kweli ilikuwa hiyo phisics inayosema ilikuwa ni theory yaani ideal za wataalamu fulani lakini kila mmoja ana maono tofauti na menzie na katika maono hayo ya udhaifu mwingi so wakalinganisha udhaifu na kuchukua theory zenye au yenye madhaifu machache...na unapo sema hoja haina mashiko simply tuu kuwa mfumo wa binaadamu hauwezi onesha kuwa mungu ndo aloumba mwili wa binaadamu unaujua mwili wa binaadamu vizuri katika utendaji kazi wake ..binaadamu is complex organizim hajatokea kibahati mbaya bwana au elimu ya mazingira isemavyo..hiyo theory Inasema kuwa mwanzo palikuwa na radi kali pamona na utando mkuubwa wa gass ya hidrogen na nitrogen.. Nitrogen na oxige na hydroge vikawa vinapigwa na radi vikafanya ionization zikaanguka chini kama amonium nitrate.. Siku hazigandi chumvichumvi za nitrate zikabadilika kuwa amino acidi... Eeh amino acidy zikawa protein.. Protein zikaanza kute deoxyrebose hatimaye firt chromosome ikaudwa..chromozome kikaunda celi ya kwanza wanaiita primitive cell yaana prokaryotic cell ikawa kiumbe wa kwanza huyo kuishi duniani.. Baadae ikafwata sequence za evolution kutoka nyungunyungu samaki apes goliras adi akawa binaadamu.. HIVI HII THEORY KWA MTU MWENYE UTASHI ATAIAMINI KUWA VILE VITU VYOTE VIMETOKEA KIBAATI NASIBU.. radi kilasiku zipo nitrogen nyingi sanaa mbona hayatokei hayo yaliyosemwa yalitokea ndo maana NKASEMA NATAKA ATOKEE BINADAMU KUTOKA MTARONI. free idea usiamini udhaifu ulio wazi

Its very complicated
 
katika uumbwaji wa sola system ni kweli ilikuwa hiyo phisics inayosema ilikuwa ni theory yaani ideal za wataalamu fulani lakini kila mmoja ana maono tofauti na menzie na katika maono hayo ya udhaifu mwingi so wakalinganisha udhaifu na kuchukua theory zenye au yenye madhaifu machache...na unapo sema hoja haina mashiko simply tuu kuwa mfumo wa binaadamu hauwezi onesha kuwa mungu ndo aloumba mwili wa binaadamu unaujua mwili wa binaadamu vizuri katika utendaji kazi wake ..binaadamu is complex organizim hajatokea kibahati mbaya bwana au elimu ya mazingira isemavyo..hiyo theory Inasema kuwa mwanzo palikuwa na radi kali pamona na utando mkuubwa wa gass ya hidrogen na nitrogen.. Nitrogen na oxige na hydroge vikawa vinapigwa na radi vikafanya ionization zikaanguka chini kama amonium nitrate.. Siku hazigandi chumvichumvi za nitrate zikabadilika kuwa amino acidi... Eeh amino acidy zikawa protein.. Protein zikaanza kute deoxyrebose hatimaye firt chromosome ikaudwa..chromozome kikaunda celi ya kwanza wanaiita primitive cell yaana prokaryotic cell ikawa kiumbe wa kwanza huyo kuishi duniani.. Baadae ikafwata sequence za evolution kutoka nyungunyungu samaki apes goliras adi akawa binaadamu.. HIVI HII THEORY KWA MTU MWENYE UTASHI ATAIAMINI KUWA VILE VITU VYOTE VIMETOKEA KIBAATI NASIBU.. radi kilasiku zipo nitrogen nyingi sanaa mbona hayatokei hayo yaliyosemwa yalitokea ndo maana NKASEMA NATAKA ATOKEE BINADAMU KUTOKA MTARONI. free idea usiamini udhaifu ulio wazi

Kwako Bwana Rajab kisauti

Nimeangalia maelezo yako.
Nionavyo mimi ni kwamba hujawahi kupata maelezo ya kisayansi yaliyo sahihi na ya kina kuhusu mwanzo wa viumbe hai duniani. Vitabu vipo vingi sana vinavyoeleza jambo hili. Kwa sasa wanasayansi wote wanakubaliana juu ya maelezo rasmi ya mwanzo wa viumbe. Maelezo uliyoyatoa hapo ni mepesi sana na hayaeleweki. Wanasayansi wanakubaliana kuwa viumbe vilianzia kwenye maji au baharini. Wanaanzia na 'primordial soup' ambamo kulikuwa na 'compounds' za kila aina ambazo zilikuwa zinaungana na kutengana. Nitaomba utafute vitabu hivyo au nenda kwenye encyclopedia ya Wikipedia (ipo kwenye mtandao wa intaneti) uanze kujielewesha kutokea hapo. Ninakushauri kwamba utakapokuwa unavisoma vitabu hivyo au maelezo husika usitafute weakness ya maelezo kwani hutaelewa. Maelezo ni magumu. Kumbuka sisi ni sawa na mpelelezi wa makosa ya jinai anayechunguza mauaji yaliyofanyika kutokana na risasi. Mpelelezi huyu anafika sehemu ya tukio bila kuwakuta wahusika na sasa anatakiwa kujenga taswira ya tukio lilivyokuwa. Ndivyo ilivyo kwetu wanadamu wa sasa. Wanasayansi wanapojaribu kugundua kilichotokea miaka zaidi ya bilioni 7 iliyopita wakati hata viumbe wa majini hawakuwepo ni changamoto kubwa sana. Hatuwezi kuwalaumu wanapojaribu kutoa maelezo sahihi ya kilichojiri wakati ule. Dini kwa upande wake maelezo yake yana mapungufu mengi sana kuliko wanasayansi. Kwa mfano dini ya Kikristu inasema umri wa dunia ni miaka 6,000 tu. Wachina peke yao wana historia ya miaka zaidi ya 5,000. Yapo mengi ya maelezo ya dini ambayo yanaacha maswali mengi kuliko majibu. Ingawa sayansi pia haina majibu yote lakini maswali ni mengi katika dini. Fahamu kuwa dini si ukristu peke yake. Kuna Uhindu, kuna Zoroastrian, kuna Uislamu, kuna Tao kuna dini za kienyeji, nk.
 
Kwako Bwana Rajab kisauti

Nimeangalia maelezo yako.
Nionavyo mimi ni kwamba hujawahi kupata maelezo ya kisayansi yaliyo sahihi na ya kina kuhusu mwanzo wa viumbe hai duniani. Vitabu vipo vingi sana vinavyoeleza jambo hili. Kwa sasa wanasayansi wote wanakubaliana juu ya maelezo rasmi ya mwanzo wa viumbe. Maelezo uliyoyatoa hapo ni mepesi sana na hayaeleweki. Wanasayansi wanakubaliana kuwa viumbe vilianzia kwenye maji au baharini. Wanaanzia na 'primordial soup' ambamo kulikuwa na 'compounds' za kila aina ambazo zilikuwa zinaungana na kutengana. Nitaomba utafute vitabu hivyo au nenda kwenye encyclopedia ya Wikipedia (ipo kwenye mtandao wa intaneti) uanze kujielewesha kutokea hapo. Ninakushauri kwamba utakapokuwa unavisoma vitabu hivyo au maelezo husika usitafute weakness ya maelezo kwani hutaelewa. Maelezo ni magumu. Kumbuka sisi ni sawa na mpelelezi wa makosa ya jinai anayechunguza mauaji yaliyofanyika kutokana na risasi. Mpelelezi huyu anafika sehemu ya tukio bila kuwakuta wahusika na sasa anatakiwa kujenga taswira ya tukio lilivyokuwa. Ndivyo ilivyo kwetu wanadamu wa sasa. Wanasayansi wanapojaribu kugundua kilichotokea miaka zaidi ya bilioni 7 iliyopita wakati hata viumbe wa majini hawakuwepo ni changamoto kubwa sana. Hatuwezi kuwalaumu wanapojaribu kutoa maelezo sahihi ya kilichojiri wakati ule. Dini kwa upande wake maelezo yake yana mapungufu mengi sana kuliko wanasayansi. Kwa mfano dini ya Kikristu inasema umri wa dunia ni miaka 6,000 tu. Wachina peke yao wana historia ya miaka zaidi ya 5,000. Yapo mengi ya maelezo ya dini ambayo yanaacha maswali mengi kuliko majibu. Ingawa sayansi pia haina majibu yote lakini maswali ni mengi katika dini. Fahamu kuwa dini si ukristu peke yake. Kuna Uhindu, kuna Zoroastrian, kuna Uislamu, kuna Tao kuna dini za kienyeji, nk.
nimepata Maelezo ya kisayansi ndo mana nikayatoa na hapo nimezungumzia theory inaitwa SPONTANEOUS THEORY OF ORIGIN OF LIFE..zipo nyingi kama special creation theory..steady state theory..na zingine zilizobaki hazina mashiko kama spontaneous theory...we we ulitaka nizungumzie theory ipi
 
teh teh teh

spontaneous theory kama ilivyo fafanuliwa na Aristotle haina hadhi ya kuitwa scientific theory

kiufupi spontaneous theory ndiyo haina mashiko.
 
rajabkisauti; theory Inasema kuwa mwanzo palikuwa na radi kali pamona na utando mkuubwa wa gass ya hidrogen na nitrogen.. Nitrogen na oxige na hydroge vikawa vinapigwa na radi vikafanya ionization zikaanguka chini kama amonium nitrate.. Siku hazigandi chumvichumvi za nitrate zikabadilika kuwa amino acidi... Eeh amino acidy zikawa protein.. Protein zikaanza kute deoxyrebose hatimaye firt chromosome ikaudwa..chromozome kikaunda celi

who told you this?,and which scientific theory support your premises?

by the way,kwa jinsi ulivyoifafanua hiyo nadharia hata mtoto wa shule ya msingi hawezi kuiamini

lakini kama ungekuwa familiar nayo,nafikiri ungeifafanua vizuri na kila mtu angeiamini hata viongozi wa dini!
 
Mimi nina hakika hakuna mtu mwenye jibu sahihi kuhusu uumbaji, kila mtu anajaribu kujibu swali hili kwa kadri anavyofikiri.

amini kuna kuzaliwa na kufa, hakuna ccha ziada, watu watajaribu kusema ukifa unaenda pepon au motoni lakini je wao waliwahi kufa wakaona hayo maeneo? unaweza sema majibu yako kwenye vitabu vya dini lakini hivyo vitabu pia vimeandikwa na binadamu, hata kama vinaeleza kwamba waliandika kwa uwezo wa mungu, je ina maana mungu hataki kuapdate mafundisho yake ili watu wapate imani kama walivyopata wale wa zamani.
na kwanini ajifiche wakati watu wanamtafuta.ina maana ni mchoyo na mbinafsi au ni msiri.anaweza kuwa yupo ila sie huyu tunayefundishwa na kuaminishwa.
 
Hujajibu swali.

Wewe unauemkubali mungu uliyeambiwa na watu tu, ambaye huwezi kumuelezea alivyo, alivyotokea wala sababu zake za kuwapo, ndiye ambaye huendeshwi na hoja za watu?

Nimekuuliza, katika thtead zote hizo kuna inayothibitisha kuwepo kwa mungu?

Swali la mimi kitoka wapi linahusianaje na kuwepo kwa mungu? Unaweza kunipa ihusiano usiopingika kati ya viwili hivi?

Au unarusha "non sequitur" tu bila kutambua?
mkuu ukimbana sana atakupa evidence za biblia ambazo pia ni watu wameandika.ila endelea kumweka kwenye kona.mwishowe atakimbia
 
Nikugeuzie kibao kidogo.
Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham kama Mungu hajaumbwa na mungu mwingine kaumbwa na nani? Au kajileta mwenyewe hapa duniani/ulimwenguni? Unajua hata ukiliona gari barabani yupo aliyeunda gari hilo. Waamini, walokole, wakristo,waislam wanaosema mungu hajaumbwa wamejitahidi sana kueleza asili ya Mungu na vitu vingine. Naomba izingatiwe kwamba nataka kufahamu asili ya Mungu sio mwanadamu. Ni kweli muumbaji wa huyo mungu aliyemuumba huyu mungu wanayesema kaumba vitu vingine anaweza akawa hayupo je? Mungu kaumbwa na nani? Uje na lengo la kuelimishana. Nawasilisha.

Mtazamo wa AKILIhuru.

Ukijiangalia wewe pamoja na mazingira yanayokuzunguka ukastaajabu sana isiwe kigezo cha kusema mungu yupo kisa tu umekosa majibu ya baadhi ya vitu!
Kwanini usimtazame huyo mungu na mazingira yake unayoyasoma kwenye vitabu????
Kwa mujibu wa maandiko ujuzi wa maisha ya mwanadamu na mazingira yake haujafikia hata nusu ya ujuzi wa maisha ya huyo mungu.
Sasa jiulize hivi...kwanini ukijiangalia wewe ukastaajabu unasema umeumbwa, lakini ukimuangalia huyo mungu unastaajabu zaidi lakini unasema hajaumbwa. Hii ikoje? Tatizo ni imani za ovyo zimewaharibu.

Ukisoma vitabu takatifu, vinakwambia yeye ni wa mwanzo na hakuna alomtangulia. Ndani ya ivo vitabu vinafundisha kuwa yeye ni MUWEZA WA KILA KITU, vitabu hivo vinafundisha kuwa hana MFANO, pia vitabu takatifu vibatufundisha kuwa yeye SIO KIUMBE. Majibu ya nani Mungu ndio hayo. Sasa kama sio kiumbe tena atakuwa kaumbwa? Mana kinachoumbwa ni kiumbe.
 
Ukisoma vitabu takatifu, vinakwambia yeye ni wa mwanzo na hakuna alomtangulia. Ndani ya ivo vitabu vinafundisha kuwa yeye ni MUWEZA WA KILA KITU, vitabu hivo vinafundisha kuwa hana MFANO, pia vitabu takatifu vibatufundisha kuwa yeye SIO KIUMBE. Majibu ya nani Mungu ndio hayo. Sasa kama sio kiumbe tena atakuwa kaumbwa? Mana kinachoumbwa ni kiumbe.

Kwanini uviite vitakatifu ilihali vinapingana vyenyewe?
Na utakatifu wa kitu hupimwaje?

Na unasemaje hana mfano wakati vitabu vyenu vyasema kuwa alituumba kwa mfano wake?

Hizi ngonjera zinafaa makanisani na misikitini tu.
 
Back
Top Bottom