Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

Kwanini uviite vitakatifu ilihali vinapingana vyenyewe?
Na utakatifu wa kitu hupimwaje?

Na unasemaje hana mfano wakati vitabu vyenu vyasema kuwa alituumba kwa mfano wake?

Hizi ngonjera zinafaa makanisani na misikitini tu.

mungu yupo ila kinacho watatiza msimtambue ni kule kutaka kumpa mungu umbile,akili yako ukiiweka kwamba labda mungu anaonekana hivi au vile,huwezi kumtambua utapoteza muda wako!
 
mungu yupo ila kinacho watatiza msimtambue ni kule kutaka kumpa mungu umbile,akili yako ukiiweka kwamba labda mungu anaonekana hivi au vile,huwezi kumtambua utapoteza muda wako!

do you mean that God is out of our imaginative power?

but let me tell this,something that is out of your imagination,it does not exist at all,because imagination is just random pieces of knoweledge&wisdom
 
do you mean that God is out of our imaginative power?

but let me tell this,something that is out of your imagination,it does not exist at all,because imagination is just random pieces of knoweledge&wisdom

tumia lugha ya taifa mzee!sio wote tunajua kiingereza!hiyo haimaanishi kwamba sijui kila kitu!
 
Mkuu unajikanganya sana, labda nirudie tena mi sipo hapa kutaka kujua source ya mungu. mi nataka kujua source ya mwanadamu. mnaniambia alievolve lakin bado hujaleta uchanganuz kuhusu huyu evolve.

EVERYTHING is doing EVERYTHING on its own right NOW but we are getting into troubles to look for external being.
 
Mkuu unajikanganya sana, labda nirudie tena mi sipo hapa kutaka kujua source ya mungu. mi nataka kujua source ya mwanadamu. mnaniambia alievolve lakin bado hujaleta uchanganuz kuhusu huyu evolve.

EVERYTHING is doing EVERYTHING on its own right NOW but we are getting into troubles to look for external being who is doing it.
 
nyote mnaokanusha uwepo wa Mwenyez Mungu, hamkusoma vitabu vya dini. Em siku moja chukua Msahaf wa kiswahl then pitia baadh ya mistar af jiulize nan kaandka? alipata wap mistar inayosh mpak leo? kwanin baadh v2 vilivyotajw karne hizo eszimegunduliw hv karibun? kwann maisha yetu yapo kitabun? je huyo alieetunga alikua na akili gan? fikiri mfumo wa maisha..
1- kuna maisha 2mbon pa mama
2- maisha mikonon pa mama
3-maisha ya utoto
4-maisha ya utuuzima
5-maisha ya uzee
6- maisha ya kabur
yoote hayo yametajwa kitabun.. je yapo?
Na kama hamuamin uwepo wake eti kisa haonekani na je mbona mnaamin kwamba fulan ana akili labda darasan je akili zinaonekana? na mbona upepo haunekan lakin watu wana amin upo?
Allah yupo..!
 
nyote mnaokanusha uwepo wa Mwenyez Mungu, hamkusoma vitabu vya dini. Em siku moja chukua Msahaf wa kiswahl then pitia baadh ya mistar af jiulize nan kaandka? alipata wap mistar inayosh mpak leo? kwanin baadh v2 vilivyotajw karne hizo eszimegunduliw hv karibun? kwann maisha yetu yapo kitabun? je huyo alieetunga alikua na akili gan? fikiri mfumo wa maisha..
1- kuna maisha 2mbon pa mama
2- maisha mikonon pa mama
3-maisha ya utoto
4-maisha ya utuuzima
5-maisha ya uzee
6- maisha ya kabur
yoote hayo yametajwa kitabun.. je yapo?
Na kama hamuamin uwepo wake eti kisa haonekani na je mbona mnaamin kwamba fulan ana akili labda darasan je akili zinaonekana? na mbona upepo haunekan lakin watu wana amin upo?
Allah yupo..!

Kwani hata wewe siunaweza kuandika kitabu kwa kuitazama tu jamii?
Muandikaji wa kitabu anajua kwamba kuna mimba, mtoto, kijana, mzee, na kufa ambayo ni kaburi. Je? Wale wanaofia huko maporini nao tuseme mungu alikosea kuandika kuwa yapo pia maisha ya porini?

Leta ngonjera nyingine maana hizi zinaabudiwa na wasiotaka kufikirisha akili zao
 
Kwani hata wewe siunaweza kuandika kitabu kwa kuitazama tu jamii?
Muandikaji wa kitabu anajua kwamba kuna mimba, mtoto, kijana, mzee, na kufa ambayo ni kiburi. Je? Wale wanaofia huko maporini nao tuseme mungu alikosea kuandika kuwa yapo pia ya waliofia porini?

Leta ngonjera nyingine maana hizi zinaabudiwa na wasiotaka kufikirisha akili zao

ndugu mnapoambiwa kuhusu vitabu vya mungu mnakimbilia kusema vimeandikwa na watu,laiki wewe pia unaamini vitabu vilivyo andikwa kupinga uwepo wa mungu,uchunguze mwili wako jinsi ulivyo umbwa!uone jinsi ya mpangilio unavyo fanya kazi!halafu useme kwamba vitu hivyo vinafanya kazi kwa bahati nasibu!hapo ndipo utaweza kugundua yupo aliye tengeneza mapangilio huo!wewe toa ushahidi wa kimazingira kwamba mungu hayupo!
 
nyote mnaokanusha uwepo wa Mwenyez Mungu, hamkusoma vitabu vya dini. Em siku moja chukua Msahaf wa kiswahl then pitia baadh ya mistar af jiulize nan kaandka? alipata wap mistar inayosh mpak leo? kwanin baadh v2 vilivyotajw karne hizo eszimegunduliw hv karibun? kwann maisha yetu yapo kitabun? je huyo alieetunga alikua na akili gan? fikiri mfumo wa maisha..
1- kuna maisha 2mbon pa mama
2- maisha mikonon pa mama
3-maisha ya utoto
4-maisha ya utuuzima
5-maisha ya uzee
6- maisha ya kabur
yoote hayo yametajwa kitabun.. je yapo?
Na kama hamuamin uwepo wake eti kisa haonekani na je mbona mnaamin kwamba fulan ana akili labda darasan je akili zinaonekana? na mbona upepo haunekan lakin watu wana amin upo?
Allah yupo..!

Mkuu .... mi ninavyojua kuna watu walikuwepo kabla ya yesu ama mtume mohhamed ambao mawazo yao mpaka sasa bado yanaishi mfano: plato,aristotle akina socrates na wengine wengi tuuu...
pia hivo vitu ulivyoorodhesha hapo juu hata kabla ya msaafu ama biblia vilikuwa vinajulikana, hivo hakuna jipya.
pia kuhusu uthibitisho sio lazima uwe wa kuonekana... na ndio maana una milango mitano ya fahamu, kwa mfano hakuna anayebisha uwepo wa barid,joto,harufu,ladha n.k
Na kama wewe unahisi hakuna uthibitisho wa upepo pia unayo haki ya kukataa uwepo wa oxygen,hydrojen,nitrogen,carbon n.k
 
ndugu mnapoambiwa kuhusu vitabu vya mungu mnakimbilia kusema vimeandikwa na watu,laiki wewe pia unaamini vitabu vilivyo andikwa kupinga uwepo wa mungu,uchunguze mwili wako jinsi ulivyo umbwa!uone jinsi ya mpangilio unavyo fanya kazi!halafu useme kwamba vitu hivyo vinafanya kazi kwa bahati nasibu!hapo ndipo utaweza kugundua yupo aliye tengeneza mapangilio huo!wewe toa ushahidi wa kimazingira kwamba mungu hayupo!

Uthibitisho ni kutokuwepo kwake.

Unachopaswa wewe ni kuipinga hoja yangu kwa kumthibitisha.
Mimi nasema Tanzania hamna noti ya sh 700, wewe ukisema ipo ndio nitakuhitaji uithibitishe.
 
Mkuu .... mi ninavyojua kuna watu walikuwepo kabla ya yesu ama mtume mohhamed ambao mawazo yao mpaka sasa bado yanaishi mfano: plato,aristotle akina socrates na wengine wengi tuuu...
pia hivo vitu ulivyoorodhesha hapo juu hata kabla ya msaafu ama biblia vilikuwa vinajulikana, hivo hakuna jipya.
pia kuhusu uthibitisho sio lazima uwe wa kuonekana... na ndio maana una milango mitano ya fahamu, kwa mfano hakuna anayebisha uwepo wa barid,joto,harufu,ladha n.k
Na kama wewe unahisi hakuna uthibitisho wa upepo pia unayo haki ya kukataa uwepo wa oxygen,hydrojen,nitrogen,carbon n.k

akili,haionjwi,haiguswi,hainuswi,haihisiwi,haionwi,ila kila mtu anaijua kwa utendaji kazi wake!mungu utamjua kwa kazi zake!au ndugu yetu unajua uhai,unasura gani?au harufu gani,au una ladha gani?
 
Uthibitisho ni kutokuwepo kwake.

Unachopaswa wewe ni kuipinga hoja yangu kwa kumthibitisha.
Mimi nasema Tanzania hamna noti ya sh 700, wewe ukisema ipo ndio nitakuhitaji uithibitishe.

wewe unataka uonyeshwe noti ya 7000 ambayo haipo!lakini unakubali kwamba noti zipo ila si za 7000,umetoa mfano wa noti kwa sababu unaijua noti muonekano wake na jinsi inavyotengenezwa!sijui picha unayo ijenga kwamba mungu anaonekana vipi,sasa wewe unataka uthibitishiwe uwepo wa mungu!kwa muonekano upi!ulioujenga kichwani mwako?mkijadiliana na mtu uwepo wa kalamu ipo au haipo!utakataa uwepo wake kwa sababu ile taswira ya kalamu unaijua!sasa lazima kwanza umju mungu yukoje ili upinge kwamba mungu hayupo!
 
Back
Top Bottom