Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,403
- 4,373
mungu yupo ila kinacho watatiza msimtambue ni kule kutaka kumpa mungu umbile,akili yako ukiiweka kwamba labda mungu anaonekana hivi au vile,huwezi kumtambua utapoteza muda wako!
Mungu yupo ila haya mavitabu ya kubuni tu.