REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
Vipi nikuambia sio muumini wa Catholic je nitakuwa simuamini Mungu au hayupo sababu sio Catholic?ww umetawaliwa akili bila wewe mwenyewe kujijua.
na kutolea mfano wa kanisa katoliki ukitoa sadaka inafika moja kwa moja hadi italia.
Kivipi natawaliwa akili kwa kitu ambacho ni accurate and valid proven?
Je wewe hutawaliwi na ideology ya hakuna Mungu?