Kama Mungu ni mkamilifu, kwanini aliipitisha urethra (mrija wa mkojo) katikati ya tezi dume?

Kama Mungu ni mkamilifu, kwanini aliipitisha urethra (mrija wa mkojo) katikati ya tezi dume?

SankaraBoukaka

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2019
Posts
1,213
Reaction score
1,918
Wakati tunaamini kuwa Mungu ni mkamilifu, bado tunakutana na mambo magumu kuhusu baadhi ya maumbile ya mwili wa binadamu.

Mojawapo ya maswali hayo ni muundo wa tezi dume na jinsi urethra inavyopita katikati yake. Hii inaleta changamoto zifuatazo:

1. KUKOSEWA KATIKA MUUNDO?

  • Kutegemea Umri: Tezi dume hukua kadri umri unavyozidi, hasa kwa wanaume wazee. Hili linazidisha hatari ya matatizo ya mkojo.
  • Msongamano wa Urethra: Tezi dume inapopanuka, hubana urethra na kusababisha matatizo ya kupitisha mkojo. Swali ni: Kwa nini Mungu hii urethra asingeipitisha pembeni yake au sehemu tofauti isiyohusiana moja kwa moja na tezi dume?

2. MADHARA YA KIAFYA YA TEZI DUME:

  • Kuzuia Mkojo: Ugonjwa wa tezi dume (Benign Prostatic Hyperplasia - BPH) husababisha mkojo kushindwa kupita kwa urahisi, hali inayosababisha maumivu na maambukizi ya njia ya mkojo.
  • Hatari ya Maambukizi: Matatizo ya mkojo yanayohusiana na tezi dume yanaweza kuongeza hatari ya maambukizi kwenye kibofu na figo.
  • Shinikizo kwa Mwili: Kuongezeka kwa shinikizo la mkojo kwenye kibofu kunaweza kusababisha matatizo makubwa kama kudhoofika kwa misuli ya kibofu.
Mimi sijaona kwanini Mungu alipitisha huu mrija wa mkojo katikati ya Tezi dume na kutupa shida wanaume tunapoelekea kula PENSHENI zetu baada ya kuwa MANAMBA kwa miaka 30+...
 
Duuh em nijaribu. Kwa hiyo kama hujapata Tezi dume hiyo njia inakua safi tu?

Tuseme unashangaa Mjororo kupukutika baada ya kupata PANGUSA?

Ambapo nikijaribu kuleta kwenye swali lako natakiwa kuuliza, kwanini Mungu hakutuumba na Mjororo wa chuma, sio?

Sio mtaalamu wa mambo ya afya, ruksa kunikosoa.
 
Tatizo la kushiba kiporo unamhoji hadi Muumba aliyekuumba!

Mungu ni mkamilifu kwa viumbe wote!

Ukiona umeumbwa makalio yametengana usihoji kwanini yametengana wakati alitakiwa kuyaunga liwe tako moja!

Unachopaswa kujua lipo kusudi la kila umbo cha mhimu ni wewe kuzingatia matumizi!

Tukirudi kwenye msingi wa swali lako!
Mwili unatabia ya kubalance wenyewe viungo vyote!

Tezi dume inamuunganiko mkubwa na miguu (au matumizi ya nguvu)
Kwamba unatakiwa utembee umbali japo hatua 1000 kwa siku au utumie nguvu kiasi cha kutoka jasho ( imeandikwa mtakula kwa jasho)

Lile jasho ndilo hubalance tezi dume!

Ile kula kwa jasho haikuwa na maana tu ya adhabu bali pia ni sehemu ya kubalance mwili!

Jasho lisipotoka tezi inanenepa na kuziba! Sasa hapo makosa ni ya nani wakati Mungu kasema kuleni kwa jasho?
 
Duuh em nijaribu. Kwa hiyo kama hujapata Tezi dume hiyo njia inakua safi tu?

Tuseme unashangaa Mjororo kupukutika baada ya kupata PANGUSA?

Ambapo nikijaribu kuleta kwenye swali lako natakiwa kuuliza, kwanini Mungu hakutuumba na Mjororo wa chuma, sio?

Sio mtaalamu wa mambo ya afya, ruksa kunikosoa.
Noma sana!
 
Mimi sijaona kwanini Mungu alipitisha huu mrija wa mkojo katikati ya Tezi dume na kutupa shida wanaume tunapoelekea kula PENSHENI zetu baada ya kuwa MANAMBA kwa miaka 30+...
Ni km vile Mungu anakwambia sasa wewe mwisho wako wa kupiga mashine ni hapa miaka 70 sasa ukiendelea kunjunjana unawashenyenta kifuatacho nitazima battery la moyo
 
Wakati tunaamini kuwa Mungu ni mkamilifu, bado tunakutana na mambo magumu kuhusu baadhi ya maumbile ya mwili wa binadamu.

Mojawapo ya maswali hayo ni muundo wa tezi dume na jinsi urethra inavyopita katikati yake. Hii inaleta changamoto zifuatazo:

1. KUKOSEWA KATIKA MUUNDO?

  • Kutegemea Umri: Tezi dume hukua kadri umri unavyozidi, hasa kwa wanaume wazee. Hili linazidisha hatari ya matatizo ya mkojo.
  • Msongamano wa Urethra: Tezi dume inapopanuka, hubana urethra na kusababisha matatizo ya kupitisha mkojo. Swali ni: Kwa nini Mungu hii urethra asingeipitisha pemebeni yake au sehemu tofauti isiyohusiana moja kwa moja na tezi dume?

2. MADHARA YA KIAFYA YA TEZI DUME:

  • Kuzuia Mkojo: Ugonjwa wa tezi dume (Benign Prostatic Hyperplasia - BPH) husababisha mkojo kushindwa kupita kwa urahisi, hali inayosababisha maumivu na maambukizi ya njia ya mkojo.
  • Hatari ya Maambukizi: Matatizo ya mkojo yanayohusiana na tezi dume yanaweza kuongeza hatari ya maambukizi kwenye kibofu na figo.
  • Shinikizo kwa Mwili: Kuongezeka kwa shinikizo la mkojo kwenye kibofu kunaweza kusababisha matatizo makubwa kama kudhoofika kwa misuli ya kibofu.
Mimi sijaona kwanini Mungu alipitisha huu mrija wa mkojo katikati ya Tezi dume na kutupa shida wanaume tunapoelekea kula PENSHENI zetu baada ya kuwa MANAMBA kwa miaka 30+...
Mungu hayupo mkuu.

Ukielewa hivyo, hayo mengine yata make sense.

Ukilazmisha Mungu yupo hata kutufanya tuwe tunakunyakunya kila siku ni tatizo.
 
Wakati tunaamini kuwa Mungu ni mkamilifu, bado tunakutana na mambo magumu kuhusu baadhi ya maumbile ya mwili wa binadamu.

Mojawapo ya maswali hayo ni muundo wa tezi dume na jinsi urethra inavyopita katikati yake. Hii inaleta changamoto zifuatazo:

1. KUKOSEWA KATIKA MUUNDO?

  • Kutegemea Umri: Tezi dume hukua kadri umri unavyozidi, hasa kwa wanaume wazee. Hili linazidisha hatari ya matatizo ya mkojo.
  • Msongamano wa Urethra: Tezi dume inapopanuka, hubana urethra na kusababisha matatizo ya kupitisha mkojo. Swali ni: Kwa nini Mungu hii urethra asingeipitisha pemebeni yake au sehemu tofauti isiyohusiana moja kwa moja na tezi dume?

2. MADHARA YA KIAFYA YA TEZI DUME:

  • Kuzuia Mkojo: Ugonjwa wa tezi dume (Benign Prostatic Hyperplasia - BPH) husababisha mkojo kushindwa kupita kwa urahisi, hali inayosababisha maumivu na maambukizi ya njia ya mkojo.
  • Hatari ya Maambukizi: Matatizo ya mkojo yanayohusiana na tezi dume yanaweza kuongeza hatari ya maambukizi kwenye kibofu na figo.
  • Shinikizo kwa Mwili: Kuongezeka kwa shinikizo la mkojo kwenye kibofu kunaweza kusababisha matatizo makubwa kama kudhoofika kwa misuli ya kibofu.
Mimi sijaona kwanini Mungu alipitisha huu mrija wa mkojo katikati ya Tezi dume na kutupa shida wanaume tunapoelekea kula PENSHENI zetu baada ya kuwa MANAMBA kwa miaka 30+...
Kwani wewe una uhakika huyo Mungu unayemhoji hapa JF yupo? Yupo wapi kwa sasa?
 
Wakati tunaamini kuwa Mungu ni mkamilifu, bado tunakutana na mambo magumu kuhusu baadhi ya maumbile ya mwili wa binadamu.

Mojawapo ya maswali hayo ni muundo wa tezi dume na jinsi urethra inavyopita katikati yake. Hii inaleta changamoto zifuatazo:

1. KUKOSEWA KATIKA MUUNDO?

  • Kutegemea Umri: Tezi dume hukua kadri umri unavyozidi, hasa kwa wanaume wazee. Hili linazidisha hatari ya matatizo ya mkojo.
  • Msongamano wa Urethra: Tezi dume inapopanuka, hubana urethra na kusababisha matatizo ya kupitisha mkojo. Swali ni: Kwa nini Mungu hii urethra asingeipitisha pemebeni yake au sehemu tofauti isiyohusiana moja kwa moja na tezi dume?

2. MADHARA YA KIAFYA YA TEZI DUME:

  • Kuzuia Mkojo: Ugonjwa wa tezi dume (Benign Prostatic Hyperplasia - BPH) husababisha mkojo kushindwa kupita kwa urahisi, hali inayosababisha maumivu na maambukizi ya njia ya mkojo.
  • Hatari ya Maambukizi: Matatizo ya mkojo yanayohusiana na tezi dume yanaweza kuongeza hatari ya maambukizi kwenye kibofu na figo.
  • Shinikizo kwa Mwili: Kuongezeka kwa shinikizo la mkojo kwenye kibofu kunaweza kusababisha matatizo makubwa kama kudhoofika kwa misuli ya kibofu.
Mimi sijaona kwanini Mungu alipitisha huu mrija wa mkojo katikati ya Tezi dume na kutupa shida wanaume tunapoelekea kula PENSHENI zetu baada ya kuwa MANAMBA kwa miaka 30+...
Mimi as an evolutionist, nitauliza, what are the survival advantages of urethra going through the tezi dume and as a result of that, some men suffer from terrible complications of urethral discharge
 
Wakati tunaamini kuwa Mungu ni mkamilifu, bado tunakutana na mambo magumu kuhusu baadhi ya maumbile ya mwili wa binadamu.

Mojawapo ya maswali hayo ni muundo wa tezi dume na jinsi urethra inavyopita katikati yake. Hii inaleta changamoto zifuatazo:

1. KUKOSEWA KATIKA MUUNDO?

  • Kutegemea Umri: Tezi dume hukua kadri umri unavyozidi, hasa kwa wanaume wazee. Hili linazidisha hatari ya matatizo ya mkojo.
  • Msongamano wa Urethra: Tezi dume inapopanuka, hubana urethra na kusababisha matatizo ya kupitisha mkojo. Swali ni: Kwa nini Mungu hii urethra asingeipitisha pemebeni yake au sehemu tofauti isiyohusiana moja kwa moja na tezi dume?

2. MADHARA YA KIAFYA YA TEZI DUME:

  • Kuzuia Mkojo: Ugonjwa wa tezi dume (Benign Prostatic Hyperplasia - BPH) husababisha mkojo kushindwa kupita kwa urahisi, hali inayosababisha maumivu na maambukizi ya njia ya mkojo.
  • Hatari ya Maambukizi: Matatizo ya mkojo yanayohusiana na tezi dume yanaweza kuongeza hatari ya maambukizi kwenye kibofu na figo.
  • Shinikizo kwa Mwili: Kuongezeka kwa shinikizo la mkojo kwenye kibofu kunaweza kusababisha matatizo makubwa kama kudhoofika kwa misuli ya kibofu.
Mimi sijaona kwanini Mungu alipitisha huu mrija wa mkojo katikati ya Tezi dume na kutupa shida wanaume tunapoelekea kula PENSHENI zetu baada ya kuwa MANAMBA kwa miaka 30+...
Kumbuka enzi hizo wakati akifanya mchoro wa mirija, mishipa na misuli kupita kwenye nyama na mifupa hakukua na kompyuta ya kumsaidia kupanga vizuri, kila kitu kilifanyika kwenye giza. Tusubiri toleo lijalo ambalo litaboreshwa halitakuwa na tatizo hilo.
 
una akili kumzid Mungu wewe ni nan unatoa boko jitengeneze ..wewe ni pepo
 
Back
Top Bottom