zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Ndio umfungukieKwanza hata Kabla ya kuhoji Hivyo Alipaswa Kujua Faida ya TeziDume (Prostate) kukaa Pale 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio umfungukieKwanza hata Kabla ya kuhoji Hivyo Alipaswa Kujua Faida ya TeziDume (Prostate) kukaa Pale 🤣🤣
Ila unasogeza umri wa kuishiHata ukiwa na ela haisaidii utachelewesha siku tu
Tupe elimu daktariKwanza hata Kabla ya kuhoji Hivyo Alipaswa Kujua Faida ya TeziDume (Prostate) kukaa Pale 🤣🤣
acha kumdhihaki Mungu, ametuumba wanaadamu katika umbo lililobora kabisa, hayo mengine ni makosa yetu wenyewe, tunakiuka mafundisho ya Mola, kila kitu kina instruction manual ,sasa sisi tunakosea matumizi ya miili yetuWakati tunaamini kuwa Mungu ni mkamilifu, bado tunakutana na mambo magumu kuhusu baadhi ya maumbile ya mwili wa binadamu.
Mojawapo ya maswali hayo ni muundo wa tezi dume na jinsi urethra inavyopita katikati yake. Hii inaleta changamoto zifuatazo:
1. KUKOSEWA KATIKA MUUNDO?
- Kutegemea Umri: Tezi dume hukua kadri umri unavyozidi, hasa kwa wanaume wazee. Hili linazidisha hatari ya matatizo ya mkojo.
- Msongamano wa Urethra: Tezi dume inapopanuka, hubana urethra na kusababisha matatizo ya kupitisha mkojo. Swali ni: Kwa nini Mungu hii urethra asingeipitisha pembeni yake au sehemu tofauti isiyohusiana moja kwa moja na tezi dume?
2. MADHARA YA KIAFYA YA TEZI DUME:
Mimi sijaona kwanini Mungu alipitisha huu mrija wa mkojo katikati ya Tezi dume na kutupa shida wanaume tunapoelekea kula PENSHENI zetu baada ya kuwa MANAMBA kwa miaka 30+...
- Kuzuia Mkojo: Ugonjwa wa tezi dume (Benign Prostatic Hyperplasia - BPH) husababisha mkojo kushindwa kupita kwa urahisi, hali inayosababisha maumivu na maambukizi ya njia ya mkojo.
- Hatari ya Maambukizi: Matatizo ya mkojo yanayohusiana na tezi dume yanaweza kuongeza hatari ya maambukizi kwenye kibofu na figo.
- Shinikizo kwa Mwili: Kuongezeka kwa shinikizo la mkojo kwenye kibofu kunaweza kusababisha matatizo makubwa kama kudhoofika kwa misuli ya kibofu.
Alitaka mwanadamu ajijue hana ujanjaWakati tunaamini kuwa Mungu ni mkamilifu, bado tunakutana na mambo magumu kuhusu baadhi ya maumbile ya mwili wa binadamu.
Mojawapo ya maswali hayo ni muundo wa tezi dume na jinsi urethra inavyopita katikati yake. Hii inaleta changamoto zifuatazo:
1. KUKOSEWA KATIKA MUUNDO?
- Kutegemea Umri: Tezi dume hukua kadri umri unavyozidi, hasa kwa wanaume wazee. Hili linazidisha hatari ya matatizo ya mkojo.
- Msongamano wa Urethra: Tezi dume inapopanuka, hubana urethra na kusababisha matatizo ya kupitisha mkojo. Swali ni: Kwa nini Mungu hii urethra asingeipitisha pembeni yake au sehemu tofauti isiyohusiana moja kwa moja na tezi dume?
2. MADHARA YA KIAFYA YA TEZI DUME:
Mimi sijaona kwanini Mungu alipitisha huu mrija wa mkojo katikati ya Tezi dume na kutupa shida wanaume tunapoelekea kula PENSHENI zetu baada ya kuwa MANAMBA kwa miaka 30+...
- Kuzuia Mkojo: Ugonjwa wa tezi dume (Benign Prostatic Hyperplasia - BPH) husababisha mkojo kushindwa kupita kwa urahisi, hali inayosababisha maumivu na maambukizi ya njia ya mkojo.
- Hatari ya Maambukizi: Matatizo ya mkojo yanayohusiana na tezi dume yanaweza kuongeza hatari ya maambukizi kwenye kibofu na figo.
- Shinikizo kwa Mwili: Kuongezeka kwa shinikizo la mkojo kwenye kibofu kunaweza kusababisha matatizo makubwa kama kudhoofika kwa misuli ya kibofu.
Utasema kwanini Mungu hakuwawekea watu vyuma badala ya mifupa inayovunjika kirahisi.Wakati tunaamini kuwa Mungu ni mkamilifu, bado tunakutana na mambo magumu kuhusu baadhi ya maumbile ya mwili wa binadamu.
Mojawapo ya maswali hayo ni muundo wa tezi dume na jinsi urethra inavyopita katikati yake. Hii inaleta changamoto zifuatazo:
1. KUKOSEWA KATIKA MUUNDO?
- Kutegemea Umri: Tezi dume hukua kadri umri unavyozidi, hasa kwa wanaume wazee. Hili linazidisha hatari ya matatizo ya mkojo.
- Msongamano wa Urethra: Tezi dume inapopanuka, hubana urethra na kusababisha matatizo ya kupitisha mkojo. Swali ni: Kwa nini Mungu hii urethra asingeipitisha pembeni yake au sehemu tofauti isiyohusiana moja kwa moja na tezi dume?
2. MADHARA YA KIAFYA YA TEZI DUME:
Mimi sijaona kwanini Mungu alipitisha huu mrija wa mkojo katikati ya Tezi dume na kutupa shida wanaume tunapoelekea kula PENSHENI zetu baada ya kuwa MANAMBA kwa miaka 30+...
- Kuzuia Mkojo: Ugonjwa wa tezi dume (Benign Prostatic Hyperplasia - BPH) husababisha mkojo kushindwa kupita kwa urahisi, hali inayosababisha maumivu na maambukizi ya njia ya mkojo.
- Hatari ya Maambukizi: Matatizo ya mkojo yanayohusiana na tezi dume yanaweza kuongeza hatari ya maambukizi kwenye kibofu na figo.
- Shinikizo kwa Mwili: Kuongezeka kwa shinikizo la mkojo kwenye kibofu kunaweza kusababisha matatizo makubwa kama kudhoofika kwa misuli ya kibofu.
Hii imekaa vizuri kiongozi. Umemjibu kwa hoja kabisaTatizo la kushiba kiporo unamhoji hadi Muumba aliyekuumba!
Mungu ni mkamilifu kwa viumbe wote!
Ukiona umeumbwa makalio yametengana usihoji kwanini yametengana wakati alitakiwa kuyaunga liwe tako moja!
Unachopaswa kujua lipo kusudi la kila umbo cha mhimu ni wewe kuzingatia matumizi!
Tukirudi kwenye msingi wa swali lako!
Mwili unatabia ya kubalance wenyewe viungo vyote!
Tezi dume inamuunganiko mkubwa na miguu (au matumizi ya nguvu)
Kwamba unatakiwa utembee umbali japo hatua 1000 kwa siku au utumie nguvu kiasi cha kutoka jasho ( imeandikwa mtakula kwa jasho)
Lile jasho ndilo hubalance tezi dume!
Ile kula kwa jasho haikuwa na maana tu ya adhabu bali pia ni sehemu ya kubalance mwili!
Jasho lisipotoka tezi inanenepa na kuziba! Sasa hapo makosa ni ya nani wakati Mungu kasema kuleni kwa jasho?
Ndg mwana sayansi ulitaka iwekwe kiunoni?Wakati tunaamini kuwa Mungu ni mkamilifu, bado tunakutana na mambo magumu kuhusu baadhi ya maumbile ya mwili wa binadamu.
Mojawapo ya maswali hayo ni muundo wa tezi dume na jinsi urethra inavyopita katikati yake. Hii inaleta changamoto zifuatazo:
1. KUKOSEWA KATIKA MUUNDO?
- Kutegemea Umri: Tezi dume hukua kadri umri unavyozidi, hasa kwa wanaume wazee. Hili linazidisha hatari ya matatizo ya mkojo.
- Msongamano wa Urethra: Tezi dume inapopanuka, hubana urethra na kusababisha matatizo ya kupitisha mkojo. Swali ni: Kwa nini Mungu hii urethra asingeipitisha pembeni yake au sehemu tofauti isiyohusiana moja kwa moja na tezi dume?
2. MADHARA YA KIAFYA YA TEZI DUME:
Mimi sijaona kwanini Mungu alipitisha huu mrija wa mkojo katikati ya Tezi dume na kutupa shida wanaume tunapoelekea kula PENSHENI zetu baada ya kuwa MANAMBA kwa miaka 30+...
- Kuzuia Mkojo: Ugonjwa wa tezi dume (Benign Prostatic Hyperplasia - BPH) husababisha mkojo kushindwa kupita kwa urahisi, hali inayosababisha maumivu na maambukizi ya njia ya mkojo.
- Hatari ya Maambukizi: Matatizo ya mkojo yanayohusiana na tezi dume yanaweza kuongeza hatari ya maambukizi kwenye kibofu na figo.
- Shinikizo kwa Mwili: Kuongezeka kwa shinikizo la mkojo kwenye kibofu kunaweza kusababisha matatizo makubwa kama kudhoofika kwa misuli ya kibofu.