Bibi yako yuko wapi?Kwanza kabisa, thibitisha huyo Mungu mmoja yupo kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bibi yako yuko wapi?Kwanza kabisa, thibitisha huyo Mungu mmoja yupo kweli.
Ushashiba tende sheikh? We amini unavoaminiJidanganye
Pita makaburini utathibitisha kwamba Uislamu ndio dini pekee inayosema kila nafsi itaonja mautiThibitisha haya madai yako.
Nakuelimisha na wewe utoke ktk upotofu ili uone nuruUshashiba tende sheikh? We amini unavoamini
Daaah hatari sijafatilia origin zao ila uozo umejaa tu.Naukute hawa wote ni jews
Kwasababu huyo Mungu mmoja alituumba kwa Mfano wake(tuna umungu ndani yetu na akatupa hiyari kupitia huo uwezo aliotujaaliya,Sijawahi kuelewa kwa nini kuna watu wanasema mungu ni mmoja ila duniani kuna dini nyingi mbalimbali tofauti kila moja ikiwa na maelezo tofauti kabisa kuhusu mungu.
Logical non sequitur fallacy.Bibi yako yuko wapi?
Umeandika kiengereza kama msomi kweli, kumbe 0 brainLogical non sequitur fallacy.
Thibitisha Mungu yupo.
Umeandika kiengereza kama msomi kweli, kumbe 0 brain
Mimi naamini yupo wewe kama huamini kimpango wakoNikiandika hata kilatini, wewe hutakijua, unafikiri Kiingereza tu.
Kiingereza si usomi.
Hujathibitisha Mungu yupo.
Swali si unaamini au huamini.Mimi naamini yupo wewe kama huamini kimpango wako
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.Sijawahi kuelewa kwa nini kuna watu wanasema mungu ni mmoja ila duniani kuna dini nyingi mbalimbali tofauti kila moja ikiwa na maelezo tofauti kabisa kuhusu mungu.
Kama London ni moja duniani, kwa nini kuna njia nyingi (routes) za kufika huko?Sijawahi kuelewa kwa nini kuna watu wanasema mungu ni mmoja ila duniani kuna dini nyingi mbalimbali tofauti kila moja ikiwa na maelezo tofauti kabisa kuhusu mungu.