Kama mwana Yanga SC kindakindaki Dismas Ten kaikubali Simba SC Wewe ni nani uikatae?

Kama mwana Yanga SC kindakindaki Dismas Ten kaikubali Simba SC Wewe ni nani uikatae?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
"Tukinuniana kwa hili Poa tu ila lazima ifike muda tuseme tu Ukweli kuwa Simba SC ndiyo Timu pekee iliyo set Standards ya Soka la Tanzania na Sisi wengine hatuna budi Kuiga na hata Kujifunza Kwao" Dismas Ten aliyewahi kuwa Msemaji wa Yanga SC na Mwandamizi wa Uongozi ndani ya Klabu hiyo ya Yanga SC.

Taarifa: East Africa Radio Kipindi cha Michezo cha Leo Ijumaa kuanzia Saa 2 Usiku hadi Saa 3 Usiku.
 
Kwa hyo unataka kusema Dismas ndo mchambuzi wetu?Ameshikilia akili zetu?anawaza kwa niaba yetu?Unadhani wanayanga ni sawa na ww unaetegemea akili za boss wa Tiktok?Genta bhana
 
Kwa hyo unataka kusema Dismas ndo mchambuzi wetu?Ameshikilia akili zetu?anawaza kwa niaba yetu?Unadhani wanayanga ni sawa na ww unaetegemea akili za boss wa Tiktok?Genta bhana
Huyu genta ndiyo nani Wandugu? Mbona mnamtaja sana huku hata wengi wenu mkinihusisha nae wakati Binafsi hata simjui hapa Jamiiforums?
 
"Tukinuniana kwa hili Poa tu ila lazima ifike muda tuseme tu Ukweli kuwa Simba SC ndiyo Timu pekee iliyo set Standards ya Soka la Tanzania na Sisi wengine hatuna budi Kuiga na hata Kujifunza Kwao" Dismas Ten aliyewahi kuwa Msemaji wa Yanga SC na Mwandamizi wa Uongozi ndani ya Klabu hiyo ya Yanga SC.

Taarifa: East Africa Radio Kipindi cha Michezo cha Leo Ijumaa kuanzia Saa 2 Usiku hadi Saa 3 Usiku.
Sawa tumekusikia popoma Mighter
 
Alichokiandika ndo hicho
Screenshot_20220416-101204.jpg
 
Kila mwaka Simba inapofanya vizuri kimataifa, Dismas Ten amekuwa akiipongeza Simba.
Jamaa sio mnafiki ni muungwana sana.
 
Kwahiyo akisema unatibuliwa mtalo tukubali??
 
Back
Top Bottom