Kama Mwanahisa nawapongeza sana NMB kwa kutugawia gawio kubwa na inayoridhisha

Kama Mwanahisa nawapongeza sana NMB kwa kutugawia gawio kubwa na inayoridhisha

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Binafsi niwapongeze sana uongozi mzima wa National Microfinance Bank(NMB) chini ya uongozi wa Mkurugenzi Mtendaji Mama Zaipuna kwa kazi nzuri mnayoifanya na kutuwezesha sisi wanahisa kupata gawio kubwa na ya kutosha kwa kila hisa. Leo nimeingiziwa kwenye akaunti yangu siyo chini ya millioni moja kama gawio.

Nawashauri uongozi wa Mabenki mengine yaige mfano wenu na hata ikiwezekana waje wajifunze kutoka kwenu yale mazuri yanayoleta mafanikio kwa wanahisa.

HONGERENI SANA NMB.
 
Binafsi niwapongeze sana uongozi mzima wa National Microfinance Bank(NMB) chini ya uongozi wa Mkurugenzi Mtendaji Mama Zaipuna kwa kazi nzuri mnayoifanya na kutuwezesha sisi wanahisa kupata gawio kubwa na ya kutosha kwa kila hisa. Leo nimeingiziwa kwenye akaunti yangu siyo chini ya millioni moja kama gawio. Nawashauri uongozi wa Mabenki mengine yaige mfano wenu na hata ikiwezekana waje wajifunze kutoka kwenu yale mazuri yanayoleta mafanikio kwa wanahisa. HONGERENI SANA NMB.
Hisa sh ngapi, na mara ya mwisho kukupa gawio ilikuwa lini?
 
Daah wabarikiwe sana nimeona mzigo leo kesho mapema kulipa madeni kwa mangi
 
Binafsi niwapongeze sana uongozi mzima wa National Microfinance Bank(NMB) chini ya uongozi wa Mkurugenzi Mtendaji Mama Zaipuna kwa kazi nzuri mnayoifanya na kutuwezesha sisi wanahisa kupata gawio kubwa na ya kutosha kwa kila hisa. Leo nimeingiziwa kwenye akaunti yangu siyo chini ya millioni moja kama gawio.

Nawashauri uongozi wa Mabenki mengine yaige mfano wenu na hata ikiwezekana waje wajifunze kutoka kwenu yale mazuri yanayoleta mafanikio kwa wanahisa.

HONGERENI SANA NMB.

NB: Hakuna gawio zuri, bali kuna gawio linalotokana na sera ya ugawaji inayomvutia muwekezaji. Kitaalamu wapo wanaopenda gawio kubwa, dogo na wasiopenda gawio kabisa. Na wote hakuna anayepoteza wala kupata zaidi ya mwingine.

Hongera sana mkuu kwa kupokea gawio kubwa na la kutosha. Furaha yako ni ishara tosha umewekeza sehemu sahihi.
 
Na mimi nilipata gawio langu wiki iliyopita Tsh.367,000,na kwa kweli limeongezeka maana mwaka jana nilipata Laki Mbili,nataka niziuze tu Hisa zangu sasa,tatizo sijui utaratibu wa kufuata
 
Tuelewesheni namba ya kununua hisa na he gawio au faida inapatikanaje baada ya muda gani
 
Tuelewesheni namba ya kununua hisa na he gawio au faida inapatikanaje baada ya muda gani
Nenda dse au mtafute stock brokers yyt ofisi I mean atakuelewesha,ila voda usiguse

Ova
 
Na mimi nilipata gawio langu wiki iliyopita Tsh.367,000,na kwa kweli limeongezeka maana mwaka jana nilipata Laki Mbili,nataka niziuze tu Hisa zangu sasa,tatizo sijui utaratibu wa kufuata
Certificate si unayo ya hisa zako

Ova
 
Kama una ID,passport utapata tu kutoka kwao

Ova
 
Back
Top Bottom