Kama mwanamichezo umegundua nini mechi ya Simba na Yanga

Ukiifunga kila timu goli moja, unachukua ubingwa. No matter what!
Kama kuna mwingine kaifunga kila team goli nyingi kuanzia 2 na kuendelea kamwe hautachukua Ubingwa, hesabu nyepesi kama hii inakusumbuaje?hata hivyo lengo LA post Yangu ni kuzungumzia tu kuwa kuamini ktk ushindi wa goli moja ni utamaduni wao
 
Kama kuna mwingine kaifunga kila team goli nyingi kuanzia 2 na kuendelea kamwe hautachukua Ubingwa, hesabu nyepesi kama hii inakusumbuaje?hata hivyo lengo LA post Yangu ni kuzungumzia tu kuwa kuamini ktk ushindi wa goli moja ni utamaduni wao
Utakuwa umemfunga goli moja ..
Kwishney
 
Kama kuna mwingine kaifunga kila team goli nyingi kuanzia 2 na kuendelea kamwe hautachukua Ubingwa, hesabu nyepesi kama hii inakusumbuaje?hata hivyo lengo LA post Yangu ni kuzungumzia tu kuwa kuamini ktk ushindi wa goli moja ni utamaduni wao
Hata simba kutofanya vizuri mikoani ni utamaduni wao
 
Kweli Yanga hata kipindi cha pili wangecheza kama kipindi cha kwanza game ilikuwa yao.

Ila lile bus walilopaki nusra liwaangukie.
Kweli kabisa hata mimi nilikereka sana na uchezaji wa Yanga kipindi cha pili maana ilikua ni bahati tu kuto fungwa,,,kitu kingine kocha wa Yanga aache uoga,, ilitakiwa akomae kama first half...Kupaki basi ilikua ni kazi kuliko kushambulia
 
Chama kala buti sana leo cha kushangaza refa alikuwa anaangalia tu. Sio.chama tu hata Luis wamemkanyaga sana
Babu Onyango alikuwa alimwe second yellow card alivyomkwatua Farid..ya kwenu hamuyaoni
 
Kweli kabisa hata mimi nilikereka sana na uchezaji wa Yanga kipindi cha pili maana ilikua ni bahati tu kuto fungwa,,,kitu kingine kocha wa Yanga aache uoga,, ilitakiwa akomae kama first half...Kupaki basi ilikua ni kazi kuliko kushambulia
Huyo ndio.kocha wa Barcelona sijawahi kuona Barca wakipaki basi.si ajabu alikuwa mpishi au mfua jezi wa Barcelona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…