Kama Mwanamke anakukwaza, hakutii ; Quran inasema mpatie kipigo akili ikae sawa

Kama Mwanamke anakukwaza, hakutii ; Quran inasema mpatie kipigo akili ikae sawa

makaveli10

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
31,583
Reaction score
92,670
Hatua ya kwanza. Kuwapa nasaha,
Ikishindikana hapo, muwahame.. Yaani muwaache majumbani pekee yao.
Umemuhama kakufuata lakini bado anaendelea na tabia zake, ruksa kumshikisha adabu, japo namo kuna maelekezo ni vipi kumshikisha adabu.
 
Mimi leo nitawatetea Waislamu 😅😅 kwa hiyo aya Haisemi Wapigwe...

Inamaana kuwa Mpaka Kufikia Kumpiga Umepita Steps Kubwa sana...

Ukisoma Vizuri hiyo aya utaelewa...

  1. Kwanza Aya inaanza kwa Kukupa Daraja Kubwa kwamba Mwanaume ni Msimamizi wa Mwanamke kwa fadhila za Mungu (Inamaana kama mwanamke akifanya Maovu kwanza tunaanza na Wewe mwanaume kwamba usimamizi wako ni Mbovu)
  2. Pili Aya Inasema kama mwanamke akikosea yaani Akichelea Kufanya Itiifu cha kwanza Mnasihi, (Kunasihi maana Yake Kumshauri kuwa hicho kitu anachofanya Sio chema)..
  3. Baadaye kama Bado Hajakusikia Umeamrishwa Kumpa Adhabu ya Kumuhama Kitandani (Yaani usilale naye) yaani we Nenda kalale Sebuleni na Yeye alale chumbani kama Bado hajakusikiliza kwa hicho..Sasa ndo unapiga.. Lakini ni Lazima Upite steps zote bila kuacha hata moja....Yaani Huwezi anza kupiga halafu ukaanza kushauri .....Au ukaanza kuama kitanda halafu ukapiga baadae ukashauri
  4. Mwisho anasema Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure ....Yaani we Umeona tayari ameshakutii ulipomnasihi basi unaanza kufoka Foka kama jinga mara ooh Huu ni upuuzi mara Huu ujinga sitaki tena ujirudie mara huu ni.Us*** hapo Mkuu Makosa yanakurudia wewe na Ukimpiga kama Akikurudishia Bhasi dhambi iko kwako
Hao wanahangaika tu kuichafua Quran kwa kugugo,aya iko wazi katika hizo hatua,sasa sijui mtu anshindwaje kuelewa!!..ndiyo maana wanaamini mtu huyohuyo mtoto wa Mungu, huyohuyo Mungu na kuna mwingine roho mtakatifu wote ni kitu kimoja
 
Huwa natamani sana nikutane na Muislamu ila ambaye ni mwanaharakati wa haki za watoto na kina mama, kisha anieleze twist zipi huwa anatumia kwenye maandiko kama haya.

Pia anijibu yeye hutetea vipi tabia chafu za Mtume kugegeda katoto ka miaka tisa.
Habari za mtume kuoa mtoto ni uwongo kama ilivyo habari za adhabu ndani ya kaburi
 
الرِّجَالُ قَوَّامُونَ عَلَى النِّسَاءِ بِمَا فَضَّلَ اللَّهُ بَعْضَهُمْ عَلَىٰ
بَعْضٍ وَبِمَا أَنْفَقُوا مِنْ أَمْوَالِهِمْ ۚ فَالصَّالِحَاتُ قَانِتَاتٌ حَافِظَاتٌ لِلْغَيْبِ بِمَا حَفِظَ اللَّهُ ۚ وَاللَّاتِي تَخَافُونَ نُشُوزَهُنَّ فَعِظُوهُنَّ وَاهْجُرُوهُنَّ فِي الْمَضَاجِعِ وَاضْرِبُوهُنَّ ۖ فَإِنْ أَطَعْنَكُمْ فَلَا تَبْغُوا عَلَيْهِنَّ سَبِيلًا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلِيًّا كَبِيرًا

Quran 4:34
Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni. Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu.
Ukiifuatilia Quran utakuwa mtu wa hajabu na mwenye hasira muda wote kwani wenzetu wanaishi maisha ya karne ya 6 na kwa makusudi hawataki kwenda na wakati na ndiyo maana wanaamini vitu vilivyopitwa na wakati.
 
Mambo ya Walawi 12:2
[2]Nena na hao wana wa Israeli, uwaambie, Mwanamke akitunga mimba na kuzaa mtoto mume, ndipo atakuwa yu najisi siku saba; kama katika siku za kutengwa kwake kwa ajili ya hedhi, ndivyo atakavyokuwa najisi.


Mambo ya Walawi 20:10
[10]Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, naam, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mtu mume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.


1 Wakorintho 11:6-7

[6]Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.

[7]Kwa maana kweli haimpasi mwanamume kufunikwa kichwa, kwa sababu yeye ni mfano na utukufu wa Mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.


1 Wakorintho 11:6-7,9
[6]Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.

[7]Kwa maana kweli haimpasi mwanamume kufunikwa kichwa, kwa sababu yeye ni mfano na utukufu wa Mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.

[9]Wala mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanamume.
Marhaba, vibaka wa wazayuni wapigwe angle zote
 
Mimi leo nitawatetea Waislamu 😅😅 kwa hiyo aya Haisemi Wapigwe...

Inamaana kuwa Mpaka Kufikia Kumpiga Umepita Steps Kubwa sana...

Ukisoma Vizuri hiyo aya utaelewa...

  1. Kwanza Aya inaanza kwa Kukupa Daraja Kubwa kwamba Mwanaume ni Msimamizi wa Mwanamke kwa fadhila za Mungu (Inamaana kama mwanamke akifanya Maovu kwanza tunaanza na Wewe mwanaume kwamba usimamizi wako ni Mbovu)
  2. Pili Aya Inasema kama mwanamke akikosea yaani Akichelea Kufanya Itiifu cha kwanza Mnasihi, (Kunasihi maana Yake Kumshauri kuwa hicho kitu anachofanya Sio chema)..
  3. Baadaye kama Bado Hajakusikia Umeamrishwa Kumpa Adhabu ya Kumuhama Kitandani (Yaani usilale naye) yaani we Nenda kalale Sebuleni na Yeye alale chumbani kama Bado hajakusikiliza kwa hicho..Sasa ndo unapiga.. Lakini ni Lazima Upite steps zote bila kuacha hata moja....Yaani Huwezi anza kupiga halafu ukaanza kushauri .....Au ukaanza kuama kitanda halafu ukapiga baadae ukashauri
  4. Mwisho anasema Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure ....Yaani we Umeona tayari ameshakutii ulipomnasihi basi unaanza kufoka Foka kama jinga mara ooh Huu ni upuuzi mara Huu ujinga sitaki tena ujirudie mara huu ni.Us*** hapo Mkuu Makosa yanakurudia wewe na Ukimpiga kama Akikurudishia Bhasi dhambi iko kwako
Doktori umeongea vizur sana na kudadavua inavyotakiwa

Bahati mbaya sana kila mjinga au mpuuzi ambaye huja kwa nia ya kuudhalilisha uislamu huwa haachwi hivi hivi bali hupata majibu yake

Kwa kuongezea tu,linapokuja swala la kupigwa kwanza mwanamke hapigwi usoni hata kidogo kwakuwa hiyo ndiyo reception lkn pili hapigwi kipigo cha mbwa mwizi bali kipigo cha kumkumbusha makosa yake

Ni kama vile nabii ayubu wakati wa maradhi yake wakati mkewe anamsema vibaya,aliapa kwamba akipona atakuja kumchapa na fimbo,lkn fimbo yenyewe ilikuwa ni njiti tu ya chelewa

Asante
 
الرِّجَالُ قَوَّامُونَ عَلَى النِّسَاءِ بِمَا فَضَّلَ اللَّهُ بَعْضَهُمْ عَلَىٰ
بَعْضٍ وَبِمَا أَنْفَقُوا مِنْ أَمْوَالِهِمْ ۚ فَالصَّالِحَاتُ قَانِتَاتٌ حَافِظَاتٌ لِلْغَيْبِ بِمَا حَفِظَ اللَّهُ ۚ وَاللَّاتِي تَخَافُونَ نُشُوزَهُنَّ فَعِظُوهُنَّ وَاهْجُرُوهُنَّ فِي الْمَضَاجِعِ وَاضْرِبُوهُنَّ ۖ فَإِنْ أَطَعْنَكُمْ فَلَا تَبْغُوا عَلَيْهِنَّ سَبِيلًا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلِيًّا كَبِيرًا

Quran 4:34
Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni. Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu.
Uislam huu jamani, hii dini ni CULT ya shetani, mkiifuatilia mtaumia shauri yenu. Angalieni Waarab wanavyoishi huko makwao kwa mateso na kukimbilia Ulaya ukimbizini kutafuta amani.
 
الرِّجَالُ قَوَّامُونَ عَلَى النِّسَاءِ بِمَا فَضَّلَ اللَّهُ بَعْضَهُمْ عَلَىٰ
بَعْضٍ وَبِمَا أَنْفَقُوا مِنْ أَمْوَالِهِمْ ۚ فَالصَّالِحَاتُ قَانِتَاتٌ حَافِظَاتٌ لِلْغَيْبِ بِمَا حَفِظَ اللَّهُ ۚ وَاللَّاتِي تَخَافُونَ نُشُوزَهُنَّ فَعِظُوهُنَّ وَاهْجُرُوهُنَّ فِي الْمَضَاجِعِ وَاضْرِبُوهُنَّ ۖ فَإِنْ أَطَعْنَكُمْ فَلَا تَبْغُوا عَلَيْهِنَّ سَبِيلًا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلِيًّا كَبِيرًا

Quran 4:34
Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni. Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu.
Katawaze kwanza
 
Huwa natamani sana nikutane na Muislamu ila ambaye ni mwanaharakati wa haki za watoto na kina mama, kisha anieleze twist zipi huwa anatumia kwenye maandiko kama haya.

Pia anijibu yeye hutetea vipi tabia chafu za Mtume kugegeda katoto ka miaka tisa.
Haki wakipewa hawa mashoga inatosha

26442C66-6569-4A0D-9550-87D130869F02.png
 
الرِّجَالُ قَوَّامُونَ عَلَى النِّسَاءِ بِمَا فَضَّلَ اللَّهُ بَعْضَهُمْ عَلَىٰ
بَعْضٍ وَبِمَا أَنْفَقُوا مِنْ أَمْوَالِهِمْ ۚ فَالصَّالِحَاتُ قَانِتَاتٌ حَافِظَاتٌ لِلْغَيْبِ بِمَا حَفِظَ اللَّهُ ۚ وَاللَّاتِي تَخَافُونَ نُشُوزَهُنَّ فَعِظُوهُنَّ وَاهْجُرُوهُنَّ فِي الْمَضَاجِعِ وَاضْرِبُوهُنَّ ۖ فَإِنْ أَطَعْنَكُمْ فَلَا تَبْغُوا عَلَيْهِنَّ سَبِيلًا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلِيًّا كَبِيرًا

Quran 4:34
Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni. Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu.
Kwamba maelekezo yote hujayaona wewe umeona kupiga tu? hakuna ajabu mwanamke kupigwa kama sio Mtiifu kwa mumewe , vinginevyo utulie wewe ulipiwe mahari uolewe, mkeo atakuwa yeye ndio baba
 
Kumuelewesha mtu anayeamini kuna mtu alishuka chini duniani na kupigwa kwa kuvalishwa nepi ili wasamehewe dhambi ni kutangwa maji kwenye kinu.
Ukimaliza kurejea tafsiri zako, nenda kakate viuno na kuipigia magoti picha ya Brian Deacon
 
Mimi leo nitawatetea Waislamu 😅😅 kwa hiyo aya Haisemi Wapigwe...

Inamaana kuwa Mpaka Kufikia Kumpiga Umepita Steps Kubwa sana...

Ukisoma Vizuri hiyo aya utaelewa...

  1. Kwanza Aya inaanza kwa Kukupa Daraja Kubwa kwamba Mwanaume ni Msimamizi wa Mwanamke kwa fadhila za Mungu (Inamaana kama mwanamke akifanya Maovu kwanza tunaanza na Wewe mwanaume kwamba usimamizi wako ni Mbovu)
  2. Pili Aya Inasema kama mwanamke akikosea yaani Akichelea Kufanya Itiifu cha kwanza Mnasihi, (Kunasihi maana Yake Kumshauri kuwa hicho kitu anachofanya Sio chema)..
  3. Baadaye kama Bado Hajakusikia Umeamrishwa Kumpa Adhabu ya Kumuhama Kitandani (Yaani usilale naye) yaani we Nenda kalale Sebuleni na Yeye alale chumbani kama Bado hajakusikiliza kwa hicho..Sasa ndo unapiga.. Lakini ni Lazima Upite steps zote bila kuacha hata moja....Yaani Huwezi anza kupiga halafu ukaanza kushauri .....Au ukaanza kuama kitanda halafu ukapiga baadae ukashauri
  4. Mwisho anasema Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure ....Yaani we Umeona tayari ameshakutii ulipomnasihi basi unaanza kufoka Foka kama jinga mara ooh Huu ni upuuzi mara Huu ujinga sitaki tena ujirudie mara huu ni.Us*** hapo Mkuu Makosa yanakurudia wewe na Ukimpiga kama Akikurudishia Bhasi dhambi iko kwako
🤔 aaaah kumbe.
 
Back
Top Bottom