Kama Mwanamke anakukwaza, hakutii ; Quran inasema mpatie kipigo akili ikae sawa

Kama Mwanamke anakukwaza, hakutii ; Quran inasema mpatie kipigo akili ikae sawa

Mmeridhika na mliowashikia majambia wakaja? Umewahi kujiuliza hii kitu iliingiaje kwenye familia yako? Huenda kwa nguvu ya jambia! Sasa wewe leo uko huru sio lazima ubaki huko.
Mzazi wangu ama ukoo wamgu haukushikwa jambi, lakini pia mie sio muislam kisa nimeukuta, nimesoma nimeridhika nao.

Kuhusu majambia ilibidi useme wapi ili nikuelekeze,

Majambia ya kwanza kabisa mtume na wafuasi wake,
Mtume alikiwa akiishi maka, akatangaza utume wake maka, wakamkataa akawa akiwahubiria wakamkataa, wakawa wanamfanyia vitimbi yeye na mateso kwa watu wanaoslimu,
Akapata nafasi ya kuishi madina, watu wa madina wakampokea, akaishi na watu wake, lakini watu wa maka bado wakawa wanawafanyia vitimbi, ikiwemo kupora misafara yao ya biasha na kadhalika, hapo sasa ikabidi mtume na wafuasi wake wakazichape kujitetea.

SHIDA IKO WAPI kushika jambia hapo?
 
Waafrika, hispanic na wachina wamekimbia nini kwao wakaenda ulaya na marekani?
Hivi Spain si iko Ulaya au wewe unafikiri iko wapi? Waafrika wanaokimbilia Ulaya ni kwa sababu tu wanaenda kutafuta maisha si Uislam au Ukristu, ushaelewa?
 
Mzazi wangu ama ukoo wamgu haukushikwa jambi, lakini pia mie sio muislam kisa nimeukuta, nimesoma nimeridhika nao.

Kuhusu majambia ilibidi useme wapi ili nikuelekeze,

Majambia ya kwanza kabisa mtume na wafuasi wake,
Mtume alikiwa akiishi maka, akatangaza utume wake maka, wakamkataa akawa akiwahubiria wakamkataa, wakawa wanamfanyia vitimbi yeye na mateso kwa watu wanaoslimu,
Akapata nafasi ya kuishi madina, watu wa madina wakampokea, akaishi na watu wake, lakini watu wa maka bado wakawa wanawafanyia vitimbi, ikiwemo kupora misafara yao ya biasha na kadhalika, hapo sasa ikabidi mtume na wafuasi wake wakazichape kujitetea.

SHIDA IKO WAPI kushika jambia hapo?
Unafikiri angekuwa Yesu angefanyaje? Ilibidi huyu bwana apewe mafundisho ya Yesu kuhusu kuwa watu wa amani na kutolipa kisasi, kugeuza shavu la pili
 
Unafikiri angekuwa Yesu angefanyaje? Ilibidi huyu bwana apewe mafundisho ya Yesu kuhusu kuwa watu wa amani na kutolipa kisasi, kugeuza shavu la pili
Kibao cha kushoto ugeuze shavu la kulia inategemea, yesu hayakumkuta ya mtume.
Mtu anakata njia za biashara, misosi haiingi kisha we ukae tu, ni ujinga huo.
 
Hatua ya kwanza. Kuwapa nasaha,
Ikishindikana hapo, muwahame.. Yaani muwaache majumbani pekee yao.
Umemuhama kakufuata lakini bado anaendelea na tabia zake, ruksa kumshikisha adabu, japo namo kuna maelekezo ni vipi kumshikisha adabu.
NIpe kifungu niko hapa mahamani nina kesi ya jinai. Wakili wangu anakusubili
 
Hatua ya kwanza. Kuwapa nasaha,
Ikishindikana hapo, muwahame.. Yaani muwaache majumbani pekee yao.
Umemuhama kakufuata lakini bado anaendelea na tabia zake, ruksa kumshikisha adabu, japo namo kuna maelekezo ni vipi kumshikisha adabu.

Ungeanza kwanza kuelimisha watu kuhusu dhambi ambazo Mungu huzichukia sana kama vile;
1. Kuacha Uasharati
2. Kuacha kupunja kwenye mizani
3. Kuacha kupindisha sheria na kufanya asiyestahiki ashinde kesi
4. Kula mali ya mayatima
5. Kuamini uchawi na kudhuru watu kwa namna yoyote ila kwa kutumia Uchawi/Ushirikina
6. Kuua nafsi isiyo na hatia nk nk nk
 
Na hizi sheria ndio zinawaharibu zaidi, zinawatia ujeuri.
Kila jambo halikosi uongozi, watizame simba, sijui bata, hata sisimizi na mcjwa.
Mwanaume ni kiongozi wa mwanamke nae ana haki zake japo anaongozwa.

Tanzania tuna raisi ni cheo kikubwa lakini mwananchi wa kawaida nae ana haki zake mbele ya huyo raisi.
sure man!!
 
Hatua ya kwanza. Kuwapa nasaha,
Ikishindikana hapo, muwahame.. Yaani muwaache majumbani pekee yao.
Umemuhama kakufuata lakini bado anaendelea na tabia zake, ruksa kumshikisha adabu, japo namo kuna maelekezo ni vipi kumshikisha adabu.
34. Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni. Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu. 34
35.
Na mkichelea kutakuwapo mfarakano baina ya mke na mume basi pelekeni muamuzi kutokana na jamaa za mume, na muamuzi kutokana na jamaa za mke.. Wakitaka mapatano Mwenyezi Mungu atawawezesha. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi Mwenye khabari. 35
 
Mi ninawavuta mashavu alafu nalamba kibao kama mwalimu anavyoazibu wanafunzi wa darasa la nne au unavuta sikio alafu unafinya au unatafuta muanzi unamweka za mgongo yani kama unaadhibu mwanafunzi
 
Nyie modes huu uzi, mbona mmefanya kama mie ndio muandishi..

Kiini haswa alicholeta muanzisha uzi baada ya kichwa cha habari, mmefuta.
 
34. Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni. Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu. 34
35.
Na mkichelea kutakuwapo mfarakano baina ya mke na mume basi pelekeni muamuzi kutokana na jamaa za mume, na muamuzi kutokana na jamaa za mke.. Wakitaka mapatano Mwenyezi Mungu atawawezesha. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi Mwenye khabari. 35
umemaliza, hizo aya hazihitaji maelezo mengi, mwenye ufahamu hata wa darasa la 3 D, anaweza elewa kilichoandikwa hapo.
 
Hao wanahangaika tu kuichafua Quran kwa kugugo,aya iko wazi katika hizo hatua,sasa sijui mtu anshindwaje kuelewa!!..ndiyo maana wanaamini mtu huyohuyo mtoto wa Mungu, huyohuyo Mungu na kuna mwingine roho mtakatifu wote ni kitu kimoja
Leta aya inasemaje sasa tuone upotoshaji wa jamaaaa
 
Sawa.
Je, Qurani inasemaje kama mwanamume anamtesa na kumfanyia vitendo vibaya Mwanamke ?
 
Back
Top Bottom