Kama Mwanamke anakukwaza, hakutii ; Quran inasema mpatie kipigo akili ikae sawa

Kama Mwanamke anakukwaza, hakutii ; Quran inasema mpatie kipigo akili ikae sawa

Yani nimlee mwanangu kwa nguvu zote halafu panya buku mmoja aje ajipigie kama ngoma , eti kaambiwa kwenye kitabu cha huko mashariki ya kati 🤔🤔🤔, ole wake nisikie naifyetulia miguu yake mbali ,ajikongoje na magongo tu aisee🤔🤔
🤣🤣🤣🤣🙌
 
Unajua Nimeangalia Comments Nyingi Humu Za Ndugu zangu wakristo wakishabikia Kuhusu hili swala Wakajisahau hata wao Wana Aya na Mafungu yanayofanana na Hayo tena Huenda Zaidi ya Hayo na Yenye Hatari zaidi...

Mnawaonea Sana waislam Lakini Vitabu vyote viko Sawa..

Nianze kuchambua Sasa

Mithali 20:30

"Machubuko ya fimbo husafisha uovu, Na mapigo hufikilia ndani ya mtima"

Mtu akitandikwa Bakora Vizuri zikamwingia Kabisa na akapata machubuko Basi uovo wake hautajirudia Tena (Kuliingana na Biblia)..

Hapa.Chini Ni Mchungaji akiwatandika Barabara Waumini Waliokiri Kiwa Na Dhambi ili.kuondoa Uovu wao kama.Ilivyosema Mithali...Je tutamlaumu kwa Kufanya Hivyo? BIBLIA inasema Michubuko Ya fimbo Husafisha Uovu?



Tukimuacha Mchungaji Kwa Kufata Maandiko ama kwa kuamua Kwenda sambamba na Maandiko Tuendelee

Mithali 23:12-14

"Elekeza moyo wako kusikiliza mafundisho; Tega masikio yako kusikia maneno ya maarifa.

Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.


Utampiga kwa fimbo, Na kumwokoa nafsi yake na Kuzimu."

Biblia Inaelekeza Kumpiga Mtoto kw Fimbo mpaka akili yake Ikae Sawa na Usimnyime Kipogo hicho Ns unatakiwa Utembeze Bakora Ili uokoe Nafai yake...

Sasa Kosa La Quran Kuonekana Kitabu Kibaya Ni kipi Kama Tunatetea Upande Tuangalie na Kwetu kukoje?

Quran Imesema Mwanamke asipokutii (Tuseme labda Kuchepuka) ifate Taratibu za kumshauri, Ukiona Bado hakusikii, Hama chumba (Tafsida hiyo maana yake Mnyime haki yake ya Ndoa)..ukiona bado hakusikii Mchape Pigo lisiloumiza..

Hiyo Ni Quran Sasa Bible Inasemaje Kuhusu Mke asiyesikia au Mke Muovu..

Mithali 21:9

"Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi."

kwahyo Ni afadhali Kumuhama Chumba Kuliko kukaa Ndani na Mwanamke Mgomvi asiyesikia Ushauri wako au Unasihi wako Its same as Aya uliyoleta..hiyo.Ni steps 2 Kutoka kwenye aya Uliyoleta..

Kuhusu Kutii

Waefeso 5:22-25

"22 Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu.

23 Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili.

24 Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo.

25 Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake;"



Mwanaume Akilala na Mke wake akakuta Mke wake Sio Bikra akashitaki na Kusema Mke wake sio Bikra na ana mchukia..

mwanaime Akiwa Amedanganya na wazee wa Mke wakathibitisha kuwa Binti alikuwa Bikra Atatozwa Pesa kadhaa Na ataachiwa Huru na Yule mwanamke haruhusiwi kuondoka kwa Mumewe....

Ila kama mwanamke akakutwa Sio Bikira Basi Huyo mke Atapigwa kwa Mawe mpaka Kufa (Kumbukumbu la Torati 22:13-21)


Na Mengine Mengi soma Hapa Chini...
Screenshot_20241029_075834_Biblia Takatifu.jpg

Screenshot_20241029_075925_Biblia Takatifu.jpg


Sasa Nilitaka Kusema Nini Dini zote zina Makosa Yanayofanana au Yanayozidiana Kunyoosheana Vidole Hakuwezi kuondoa Makosa Yaliyopo Kwako au Kukufanya Ujisikie vizuri kwa Kumsema Mwingine..

Tuishi kwa Amani na Kidumisha Upendo
 
Kwamba maelekezo yote hujayaona wewe umeona kupiga tu? hakuna ajabu mwanamke kupigwa kama sio Mtiifu kwa mumewe , vinginevyo utulie wewe ulipiwe mahari uolewe, mkeo atakuwa yeye ndio baba
Sijaona unalalamika nini na unasema nini. Yaaani umebwabwaja. Mimi sijaona ajabu nimeweka msisitizo kuwa kama hawasikii wachapwe..... Wewe unapinga kisha unakubali...🤣
 
Unajua Nimeangalia Comments Nyingi Humu Za Ndugu zangu wakristo wakishabikia Kuhusu hili swala Wakajisahau hata wao Wana Aya na Mafungu yanayofanana na Hayo tena Huenda Zaidi ya Hayo na Yenye Hatari zaidi...

Mnawaonea Sana waislam Lakini Vitabu vyote viko Sawa..

Nianze kuchambua Sasa

Mithali 20:30

"Machubuko ya fimbo husafisha uovu, Na mapigo hufikilia ndani ya mtima"

Mtu akitandikwa Bakora Vizuri zikamwingia Kabisa na akapata machubuko Basi uovo wake hautajirudia Tena (Kuliingana na Biblia)..

Hapa.Chini Ni Mchungaji akiwatandika Barabara Waumini Waliokiri Kiwa Na Dhambi ili.kuondoa Uovu wao kama.Ilivyosema Mithali...Je tutamlaumu kwa Kufanya Hivyo? BIBLIA inasema Michubuko Ya fimbo Husafisha Uovu?

View attachment 3137918

Tukimuacha Mchungaji Kwa Kufata Maandiko ama kwa kuamua Kwenda sambamba na Maandiko Tuendelee

Mithali 23:12-14

"Elekeza moyo wako kusikiliza mafundisho; Tega masikio yako kusikia maneno ya maarifa.

Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.


Utampiga kwa fimbo, Na kumwokoa nafsi yake na Kuzimu."

Biblia Inaelekeza Kumpiga Mtoto kw Fimbo mpaka akili yake Ikae Sawa na Usimnyime Kipogo hicho Ns unatakiwa Utembeze Bakora Ili uokoe Nafai yake...

Sasa Kosa La Quran Kuonekana Kitabu Kibaya Ni kipi Kama Tunatetea Upande Tuangalie na Kwetu kukoje?

Quran Imesema Mwanamke asipokutii (Tuseme labda Kuchepuka) ifate Taratibu za kumshauri, Ukiona Bado hakusikii, Hama chumba (Tafsida hiyo maana yake Mnyime haki yake ya Ndoa)..ukiona bado hakusikii Mchape Pigo lisiloumiza..

Hiyo Ni Quran Sasa Bible Inasemaje Kuhusu Mke asiyesikia au Mke Muovu..

Mithali 21:9

"Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi."

kwahyo Ni afadhali Kumuhama Chumba Kuliko kukaa Ndani na Mwanamke Mgomvi asiyesikia Ushauri wako au Unasihi wako Its same as Aya uliyoleta..hiyo.Ni steps 2 Kutoka kwenye aya Uliyoleta..

Kuhusu Kutii

Waefeso 5:22-25

"22 Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu.

23 Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili.

24 Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo.

25 Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake;"



Mwanaume Akilala na Mke wake akakuta Mke wake Sio Bikra akashitaki na Kusema Mke wake sio Bikra na ana mchukia..

mwanaime Akiwa Amedanganya na wazee wa Mke wakathibitisha kuwa Binti alikuwa Bikra Atatozwa Pesa kadhaa Na ataachiwa Huru na Yule mwanamke haruhusiwi kuondoka kwa Mumewe....

Ila kama mwanamke akakutwa Sio Bikira Basi Huyo mke Atapigwa kwa Mawe mpaka Kufa (Kumbukumbu la Torati 22:13-21)


Na Mengine Mengi soma Hapa Chini...
View attachment 3137871
View attachment 3137872

Sasa Nilitaka Kusema Nini Dini zote zina Makosa Yanayofanana au Yanayozidiana Kunyoosheana Vidole Hakuwezi kuondoa Makosa Yaliyopo Kwako au Kukufanya Ujisikie vizuri kwa Kumsema Mwingine..

Tuishi kwa Amani na Kidumisha Upendo

USIJIFICHIE KWENYE KIVULI CHA KUJIITA MKRISTO. ACHA UNAFIKI SHEIKH WANGU...SOMA QURAN UIFAHAMU UWE MUISLAMU SAFI NA UJIVUNIE UISLAMU WAKO
 
Hatua ya kwanza. Kuwapa nasaha,
Ikishindikana hapo, muwahame.. Yaani muwaache majumbani pekee yao.
Umemuhama kakufuata lakini bado anaendelea na tabia zake, ruksa kumshikisha adabu, japo namo kuna maelekezo ni vipi kumshikisha adabu.
Ah!! dunia ya leo imegeuka shehe wangu''siku hizi wazungu wametuletea mambo ya haki sawa mazee!!!!,,,,kuna sheria nyingi zinawapendelea wanawake,,ukisema umpe kichapo utaishia JELA na ukifanya mchezo huko jela utaliwa KIBOGA!!!,,njia bora ni hiyo ya KUWAHAMA!!!!,,,,,,,unapotelea kusikijulikana!!!
 
Haki wakipewa hawa mashoga inatosha

View attachment 3137817
Kumbe ndo manake MUNGU aliwaadhibu WAISRAIL kwa kuwatumia HAMAS [hii picha inatia sana KINYAA-najisikia kutapika],,'''' unajua ukisoma BIBLIA takatifu agano la kale MUNGU alikuwa akiwatia wana wa ISRAIL mikononi mwa maadui zao kila walipokuwa wakikengeuka,,,'kumbe ndo manake hii vita imekuwa ngumu kwao!! da!! nilikuwa sijui,,,kwa style hii,,,,,siwasapoti tena waisrail,,,manake ntakuwa napingana na makusudi ya MUNGU!!!,,,,,wacha wapigwe mpaka wakataze ushoga nchini mwao!!!!!....wapumbavu sana,,,,taifa takatifu linaruhusu sherehe za WASENGA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
USIJIFICHIE KWENYE KIVULI CHA KUJIITA MKRISTO. ACHA UNAFIKI SHEIKH WANGU...SOMA QURAN UIFAHAMU UWE MUISLAMU SAFI NA UJIVUNIE UISLAMU WAKO
Habari Komeo Lachuma Ni wapi Nimetaja Kuwa Mimi ni Mkristo, Mbudha au Muislamu??

Kuhusu Quran Yes, Nimeisoma Na naijua Vizuri japo Sio Katika Level ya wanaojua Na wajuzi Wenye Ilimu Kubwa Japo ʿUlūm al-Qurʾān, Nilimaliza na Nashukuru Mungu Fiqhi Nilisoma Japo Siwezi kujiita FuQha mbele ya Ulamaa wa FiQhi, Aqidah nilisoma Tena nashukuru Nilisoma Za Madhehebu karibu Sita..

Nimesoma Elimu ya Hadithi zaidi yaani Mustalah Al-hadith..


Vipi Najivunia Kusoma Hivyo Vyote,? Ndyo Tena sana najivunia Kuusoma Uislamu na kufahamu yaliyomo ndani...

Vipi kuhusu Biblia, Yes Naijua Biblia Vizuri sana Maana Nimekuwa Katika Dini ya Kikristo na kuzaliwa Humo Nimesoma Theology na Kupata elimu zaidi ya Dini ya Kikristo na nashukuru kwa Hilo, Theology ilinikuza sana maana Niliisoma Kabla ya Kuwa Mwislamu Nilitumika kama Mchungaji kanisa X.. ila Baada ya Miaka Minne Nikibadili dini na Nikaanza kuwa Mwislamu..

Nimewahi Pia Kuwa Myahudi na Kujifunza Mila mbalimbali Za Kiyahudi Kushila Tora, Talmud, Halakha Na sheria Zingine Ilikuwa Kawaida sana..

So Ninaulewa Mdogo pia Kuhusu Dini za Budha, Na Hindu..

Fiatilia Kuhusu Maelezo haya nayokuambia Leo nimewahi kuyatoa Maelezo haya Tangu zamani Sana Kila mwaka huwa nayarudia Tangu mwaka 2016 nilipoyaweka wazi hapa..

ila wengi huwa Mnauliza hili swali so imebidi nirudie tena..

Mbona Huwa naandika sasa Kuonhesha niko upande huu Leo na Upande huu Kesho..

Its simple Sipend kuona Upande Mwingine unaonyesha Upande mwingine ni Dhaifu..Tulichofunzwa na Tunachofunzwa katika Dini zote Duniani Ni UPENDO....

na Namalizia Kwa Kusema Kuwa UPENDO ndiyo Dini yangu na Ndiyi Njia yangu kuu...

Kwakuwa Unaonyesha Wewe Ni mkristo Ntakuacha na Neno Zuri kutoka kwenye Biblia...

Yakobo 1:26-27

"Mtu akidhani ya kuwa anayo dini, wala hauzuii ulimi wake kwa hatamu, hali akijidanganya moyo wake, dini yake mtu huyo haifai.

Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa."


Basi upendo Ndyo Dini yangu...
Screenshot_20241029_133436_Biblia Takatifu.jpg
 
Kumbe ndo manake MUNGU aliwaadhibu WAISRAIL kwa kuwatumia HAMAS [hii picha inatia sana KINYAA-najisikia kutapika],,'''' unajua ukisoma BIBLIA takatifu agano la kale MUNGU alikuwa akiwatia wana wa ISRAIL mikononi mwa maadui zao kila walipokuwa wakikengeuka,,,'kumbe ndo manake hii vita imekuwa ngumu kwao!! da!! nilikuwa sijui,,,kwa style hii,,,,,siwasapoti tena waisrail,,,manake ntakuwa napingana na makusudi ya MUNGU!!!,,,,,wacha wapigwe mpaka wakataze ushoga nchini mwao!!!!!....wapumbavu sana,,,,taifa takatifu linaruhusu sherehe za WASENGA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Free World wanajiita
 
Hatua ya kwanza. Kuwapa nasaha,
Ikishindikana hapo, muwahame.. Yaani muwaache majumbani pekee yao.
Umemuhama kakufuata lakini bado anaendelea na tabia zake, ruksa kumshikisha adabu, japo namo kuna maelekezo ni vipi kumshikisha adabu.
Ndio maana wengine hatutaki mambo yake. Uonevu umezidi huko.
 
Hatua ya kwanza. Kuwapa nasaha,
Ikishindikana hapo, muwahame.. Yaani muwaache majumbani pekee yao.
Umemuhama kakufuata lakini bado anaendelea na tabia zake, ruksa kumshikisha adabu, japo namo kuna maelekezo ni vipi kumshikisha adabu
Kumhama Nyumba au Chumba?
Aya gani Mkuu?
 
Kumhama Nyumba au Chumba?
Aya gani Mkuu?
Aya haijafunga iko wazi, imesema muwahame tupu..
Mfano mie nina nyumba 2, moja kiburugwa na nyingine charambe siwezi kumuhama, na vipi kama mie na yeye tumepanga chumba kimoja, namuhamaje na kachumba ndio kamoja, nikienda kwingine si ndio nishahama nyumba.

Sikupingi kwenye kuwahama vyumba lakini ukisema chumba maana yake tayari mpo na nyumba moja, mie nililielezea kwa ukubwa kabisa.
 
Ah!! dunia ya leo imegeuka shehe wangu''siku hizi wazungu wametuletea mambo ya haki sawa mazee!!!!,,,,kuna sheria nyingi zinawapendelea wanawake,,ukisema umpe kichapo utaishia JELA na ukifanya mchezo huko jela utaliwa KIBOGA!!!,,njia bora ni hiyo ya KUWAHAMA!!!!,,,,,,,unapotelea kusikijulikana!!!
Na hizi sheria ndio zinawaharibu zaidi, zinawatia ujeuri.
Kila jambo halikosi uongozi, watizame simba, sijui bata, hata sisimizi na mcjwa.
Mwanaume ni kiongozi wa mwanamke nae ana haki zake japo anaongozwa.

Tanzania tuna raisi ni cheo kikubwa lakini mwananchi wa kawaida nae ana haki zake mbele ya huyo raisi.
 
Doktori umeongea vizur sana na kudadavua inavyotakiwa

Bahati mbaya sana kila mjinga au mpuuzi ambaye huja kwa nia ya kuudhalilisha uislamu huwa haachwi hivi hivi bali hupata majibu yake

Kwa kuongezea tu,linapokuja swala la kupigwa kwanza mwanamke hapigwi usoni hata kidogo kwakuwa hiyo ndiyo reception lkn pili hapigwi kipigo cha mbwa mwizi bali kipigo cha kumkumbusha makosa yake

Ni kama vile nabii ayubu wakati wa maradhi yake wakati mkewe anamsema vibaya,aliapa kwamba akipona atakuja kumchapa na fimbo,lkn fimbo yenyewe ilikuwa ni njiti tu ya chelewa

Asante
🤣🤣🤣🤣 Kwamba ni njiti ya Chelsea,kweli hizi hadithi za kuvutia za watoto.
 
Kaeni huko huko, hujashikiwa bunduki uje huku.
Mmeridhika na mliowashikia majambia wakaja? Umewahi kujiuliza hii kitu iliingiaje kwenye familia yako? Huenda kwa nguvu ya jambia! Sasa wewe leo uko huru sio lazima ubaki huko.
 
Back
Top Bottom