tecknologia23
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 259
- 382
Acha uongooHawapo. Wote wadangaji tuu humu.
Sio utani mkuu. Mbona hawaji kwenye Uzi waoAcha uongoo
Sema usiogope semaNilitaka kusema jambo ila basi nimegairi
Mwanamke anashindwa hata kujilipia pesa ya daladala ama huba..Hawapo. Wote wadangaji tuu humu.
Mara nyingi huwa wanakimbiwa mana huwa wanajiona na confidence fulani hivi kwa kila kitu, Ila hata haipendezi kuhudumiwa rahaaa bana japo sio ndo izidi kihivooooo[emoji4]Njoo ujishaue kama upo hivi,
~ Mwanamke usiyeomba hela.
~ Njoo mwanamke unayependa na kula utakavyo kwa pesa yako bila kuhongwa wala kubegi mtu.
~ Njoo kama ni mwanamke anayefanya juhudi kuonekana unaweza kujifanyia shopping, kulipa chochote bila a guy.
~ Njoo jishaue kama humtegemei mtu kwa juhudi uliyopo, njoo uringe hapa jukwaani njoo.
~ Njooo kama unaendesha ndinga kali wala hujaongwa, wala hujasaka hela kwa a guy, ni juhudi yako wewe, njoo uje uongee hapa.
KweliMara nyingi huwa wanakimbiwa mana huwa wanajiona na confidence fulani hivi kwa kila kitu, Ila hata haipendezi kuhudumiwa rahaaa bana japo sio ndo izidi kihivooooo[emoji4]
🤣🤣🤣Siku ukikwama mmekwama wote
Suala la mwanaume libaki jinsi lilivyo Mungu alivyoliumba, pia upande wa mwanamke, mana kila mmoja ana upande wake ambao mwingine hauna, hata taasisi zipitishe sheria 100000000 halitakuja kuwa na usawa, sana sana ni kuonyeshana ubabe tuKama hawawezi kujigharamia mbona tunapigana nao vikumbo kwenye fursa mbalimbali zikiwemo ajira huku wakitokwa povu kutaka usawa wa 50/50.....kama vipi warudi kukaa nyumbani na kulea watoto badala ya kukomalia fursa na hawataki kuchangia chochote.
Wewe huwezi?Huyo atakua ni shemale[emoji1787]
Kwanza mimi ni mke na naamini katika ile feeling mume wangu akinispoil weee hata kama kaniletea Pepsi tu. Tunapiga kazi yes ila its nature mwanamke kuhudumiwaWewe huwezi?
Nadhani mada inawahusu wadada ambao hawajaolewa badoKwanza mimi ni mke na naamini katika ile feeling mume wangu akinispoil weee hata kama kaniletea Pepsi tu. Tunapiga kazi yes ila its nature mwanamke kuhudumiwa